NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Upuuzi mwingine wa Serekali ya Ccm ni kuwaambia watu wasome katiba waielewe wakati wamechapisha nakala milioni 2, sasa sijui watakaopga kula ni hao tu mil2!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wahamasishwe tu kujitiokeza kwa wingi kupiga kura na viongozi wa serikali na dini.
Lakini viongozi wa vyama vya siasa ruksa kueleza wanataka watu wapige upande gani.
Ila nadhani kuna tatizo la viongozi hasa wa dini kuchanganya mambo kisa eti wamemsikia raisi kasema watu wapige kura ya ndiyo.Raisi ni mwenyekiti wa CCM taifa.Akiongea mambo ya kutaka watu wapige kura ya ndiyo anaongea msimamamo wa chama chake yeye akiwa kiongozi wa chama.
Lakini inapofika askofu ambaye anaongoza kanisa lenye wanachama wa UKAWA ,CCM na wasio na vyama naye akajitosa eti kupigia debe eti kura ya ndiyo au hapana hapo anakuwa hajui vizuri kazi yake kama kiongozi wa dini kwa waumini wake wenye vyama tofauti na misimamo tofauti ya kisiasa.Maaskofu ni vizuri wabakie kwenye majoho yao siasa wawaachie waumini.Askofu awaambie tu waende kupiga kura kwa kadri ya dhamiri zao kisha aendelee kuwaswalisha wakishatoka kupiga hiyo kura sawasawa na dhamiri zao.
Rais pia ni kiongozi wa nchi na yeye alipaswa kusisitiza watu wajitokeze kupigia kura katiba pendekezwa kwa kadri ya uelewa wao na c kusema wapigie kura ya ndio mkuu
Watu wahamasishwe tu kujitiokeza kwa wingi kupiga kura na viongozi watendaji wa serikali na dini.
Lakini viongozi wa vyama vya siasa ruksa kueleza wanataka watu wapige upande gani.
Ila nadhani kuna tatizo la viongozi hasa wa dini kuchanganya mambo kisa eti wamemsikia raisi kasema watu wapige kura ya ndiyo.Raisi ni mwenyekiti wa CCM taifa.Akiongea mambo ya kutaka watu wapige kura ya ndiyo anaongea msimamo wa chama chake yeye akiwa kiongozi wa chama.
Lakini inapofika askofu ambaye anaongoza kanisa lenye wanachama wa UKAWA ,CCM na wasio na vyama naye akajitosa eti kupigia debe eti kura ya ndiyo au hapana hapo anakuwa hajui vizuri kazi yake kama kiongozi wa dini kwa waumini wake wenye vyama tofauti na misimamo tofauti ya kisiasa.Maaskofu ni vizuri wabakie kwenye majoho yao siasa wawaachie waumini.Askofu awaambie tu waende kupiga kura kwa kadri ya dhamiri zao kisha aendelee kuwaswalisha wakishatoka kupiga hiyo kura sawasawa na dhamiri zao.
Kikwete na serikali yake wangelikuwa wanawaambia wana-ccm wapige kura ya ndiyo wala isingekuwa taabu. Lakini wanawaambia watanzania (wakiwemo ukawa na wasiokuwa na vyama) kwamba wapige kura ya ndiyo.
Mwisho, serikali husimamia mwili na dini husimamia roho. Kama ambavyo haiwezekani kutenganisha mwili na roho na bado mtu akabaki kuwa binadamu kamili ndivyo ilivyo vigumu kutenganisha dini na serikali kwenye jambo linalomhusu binadamu yuleyule.
not_yet_uhuru tambua kwamba serikali ni kaizari na maaskofu ni watumishi wa bwana..serikali kufundisha wananchi wapige kura ya ndio wako sahihi kabisa kwa kuwa katiba ni mtoto wao waliyemuasisi na wanataka kumhalalisha lakini ikitokea watumishi wa bwana wanaingilia serikali na kuwadanganya waumini kwamba ati watapata dhambi wakipiga kura ya ndio hapo unapaswa kutia shaka uadilifu wa hao watumishi wa bwana kwani wameenda kinyume na usemi wa "ya kaizari mpe kaizari na ya Mungu mpe Mungu". watuache tuisome kwani dunia yetu chaguo letu sisi ndio tutaamua tupige kura ya ndiyo au hapana
Baba Askofu Cardinali Pengo alipotoka na naamini hadi sasa atakuwa ameshagundua kosa lake kwenye hili na naamini ataliachia baraza la maaskofu na na Jukwaa la wakristo wafanye vyema kazi yao iliyotukuka. ukitaka kujua kuhusu hili hutamsikia tena Cardinali Pengo akiuongelea suala hili hadharani !!
Wapiga kura siku zote ni wengi kuliko wanachama wa vyama.Hivyo kiongozi wa siasa awe UKAWA au CCM kuwaomba watanzania na si wanachama wao tu wapige kura ya ndio au hapana ni sawa si kitu cha ajabu.Sababu ukitizama hata wabunge ,madiwani na raisi wanaowapa kura wengi si wanachama wa vyama vyao! unakuta chama eneo kinawanachama 100 kura za mbunge au raisi 1,000.Sio ajabu na nawaomba vyama vyote waendelee nalo tu.
Kuhusu mipaka kama ulivyosema kuna mwili na roho ni sawa.Lakini kila upande ni vizuri ukakaa eneo lake.Naogopa kiongozi wa kiroho akitoka akaenda kwenye upande wa mwilini aweza kukutana na vichaa walio mwilini sana wakafunua kanzu ya kiongozi ya dini na kuchungulia ndani kuna nini na kuanza kukufuru kwa watakachoona humo.Hivyo ni vizuri Kiongozi wa dini akajibakia kibla,au altareni au madhabahuni akiendelea na mambo yake ya rohoni kuliko kujitosa kichwa kichwa kwenye mambo ya siasa ambayo yanajulikana kabisa kuwa ni mchezo mchafu.
Upuuzi mwingine wa Serekali ya Ccm ni kuwaambia watu wasome katiba waielewe wakati wamechapisha nakala milioni 2, sasa sijui watakaopga kula ni hao tu mil2!
teh teh, kwa hiyo mkuu katiba ni ya wanasiasa tu? Pole sana mkuu!Watu wahamasishwe tu kujitiokeza kwa wingi kupiga kura na viongozi watendaji wa serikali na dini.
Lakini viongozi wa vyama vya siasa ruksa kueleza wanataka watu wapige upande gani.
Ila nadhani kuna tatizo la viongozi hasa wa dini kuchanganya mambo kisa eti wamemsikia raisi kasema watu wapige kura ya ndiyo.Raisi ni mwenyekiti wa CCM taifa.Akiongea mambo ya kutaka watu wapige kura ya ndiyo anaongea msimamo wa chama chake yeye akiwa kiongozi wa chama.
Lakini inapofika askofu ambaye anaongoza kanisa lenye wanachama wa UKAWA ,CCM na wasio na vyama naye akajitosa eti kupigia debe eti kura ya ndiyo au hapana hapo anakuwa hajui vizuri kazi yake kama kiongozi wa dini kwa waumini wake wenye vyama tofauti na misimamo tofauti ya kisiasa.Maaskofu ni vizuri wabakie kwenye majoho yao siasa wawaachie waumini.Askofu awaambie tu waende kupiga kura kwa kadri ya dhamiri zao kisha aendelee kuwaswalisha wakishatoka kupiga hiyo kura sawasawa na dhamiri zao.
teh teh, kwa hiyo katiba ni ya wanasiasa tu?Wapiga kura siku zote ni wengi kuliko wanachama wa vyama.Hivyo kiongozi wa siasa awe UKAWA au CCM kuwaomba watanzania na si wanachama wao tu wapige kura ya ndio au hapana ni sawa si kitu cha ajabu.Sababu ukitizama hata wabunge ,madiwani na raisi wanaowapa kura wengi si wanachama wa vyama vyao! unakuta chama eneo kinawanachama 100 kura za mbunge au raisi 1,000.Sio ajabu na nawaomba vyama vyote waendelee nalo tu.
Kuhusu mipaka kama ulivyosema kuna mwili na roho ni sawa.Lakini kila upande ni vizuri ukakaa eneo lake.Naogopa kiongozi wa kiroho akitoka akaenda kwenye upande wa mwilini aweza kukutana na vichaa walio mwilini sana wakafunua kanzu ya kiongozi ya dini na kuchungulia ndani kuna nini na kuanza kukufuru kwa watakachoona humo.Hivyo ni vizuri Kiongozi wa dini akajibakia kibla,au altareni au madhabahuni akiendelea na mambo yake ya rohoni kuliko kujitosa kichwa kichwa kwenye mambo ya siasa ambayo yanajulikana kabisa kuwa ni mchezo mchafu.
teh teh, kwa hiyo katiba ni ya wanasiasa tu?