Kufundisha Watu Kura ya Ndiyo (Serikali), Hapana (Maaskofu,UKAWA) ni Sahihi?

Kufundisha Watu Kura ya Ndiyo (Serikali), Hapana (Maaskofu,UKAWA) ni Sahihi?

Yeyote anayeamini kuwa Mungu yupo na ni muumba wa vyote atasikiliza kiongozi wake wa kiroho. Anayeamini vya duniani ipo siku atapiga mahesabu tu.

Ata akiambiwa kula kinyesi ata kula si ndiyo? akili za kuambiwa changanya na zako! usipende kuburuzwa wala kufanyiwa maamuzi wakti we mwenyewe unaakili timamu na wala sio mtoto mdogo, msipende kila kitu mpaka muwasikize viongozi wa dini, itakula kwenu.
 

Ata akiambiwa kula kinyesi ata kula si ndiyo? akili za kuambiwa changanya na zako! usipende kuburuzwa wala kufanyiwa maamuzi wakti we mwenyewe unaakili timamu na wala sio mtoto mdogo, msipende kila kitu mpaka muwasikize viongozi wa dini, itakula kwenu.
Mkuu, sijui ni nini kinatufanya kuwaamini mno 'wasakatonge'! Hao waliosema tupige kura ya 'HAPANA' ndio wametuambia Mungu yupo na kwamba ukifa utaenda PEPONI au JEHANAM kulingana na matendo yako hapa duniani. Sasa kama Mungu hakutupa masharti ya kuingia huko kwa nini tunaambiwa pana "Amri kumi za Mungu"?
 
katika familia yangu kuna kura 7 (saba) za hapana. Liwalo na liwe


haaa ukisikia mtu kuchanganyikiwa ndiko huku hao unaojivunia na kura 7 hawana sifa,afu unaamua kujitoa ufahamu liwe na liwe nani ana muda na wewe kwa ujinga wako wa kushindwa kuelewa,kipofu hawezi kumwongoza mwenzake wote watatumbukia shimoni.
 
CCM itabaki na BAKWATA yao coz hawajitambui mashehe ubwabwa
chanzo cha hao kuwa hivyo ni elimu. ANGALIA CV ZA VIONGOZI WA DINI YA KIKRISTO NA HAO ndipo utagundua kwanini kuwaza kwao ni tofauti na hao
 
chanzo cha hao kuwa hivyo ni elimu. Angalia cv za viongozi wa dini ya kikristo na hao ndipo utagundua kwanini kuwaza kwao ni tofauti na hao

nyie kuweni waungwana, acheni uchochezi usio na maana bhana, hatuzungumzii mambo ya cv hapa, kwani wewe umesoma au cv yako nzuri? Wekeni uzalendo mbele kwanza mambo mengine baadae.
 
nyie kuweni waungwana, acheni uchochezi usio na maana bhana, hatuzungumzii mambo ya cv hapa, kwani wewe umesoma au cv yako nzuri? Wekeni uzalendo mbele kwanza mambo mengine baadae.
wanayo sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa Katiba ya Chenge
 
hakutaka kuleta vurugu ndani ya kanisa sababu kuna mapadri ukawa ambao kutwa ni kuhubiri habari za ukawa wangezisoma hizo barua kwa nguvu kwa maana wamepotoka kiasi kuwa wanawaza siasa kuliko dini walizokabidhiwa.pia kuna waumini vichaa kanisani ambao wangeleta vurugu kanisani kama zisingesomwa.
Mzee pengo ni mtu mzima katulia aliona atafute wakati muafaka wa kutoa tamko.

hao mapadri habari ya ukawa ndio habari yao ya mujini..
NA UKAWA NDIO HABARI YA MUJINI. lazima mujining'inize mwaka huu
 
Mi nilidhani kwa mtu kama sisi kura ya ndio ni kwa waalioisoma katiba pendekezwa na kuikubali. Hapana ni kwa walioikataa au wasioiona bado au wasioielewa. Nisingependa waandishi wanavyoshabikia kutafuta watu wenye roho nyepesi tupopoane macho barabarani.
Katiba ina mambo mazuri mengi shida yetu ni yale mapungufu yafanyiwe kazi
 
mi nilidhani kwa mtu kama sisi kura ya ndio ni kwa waalioisoma katiba pendekezwa na kuikubali. Hapana ni kwa walioikataa au wasioiona bado au wasioielewa. Nisingependa waandishi wanavyoshabikia kutafuta watu wenye roho nyepesi tupopoane macho barabarani.
Katiba ina mambo mazuri mengi shida yetu ni yale mapungufu yafanyiwe kazi

ni vema ukayataja hayo mapungufu ambayo unahic wewe umeyaona ili wana jf wapate kukujibu juu ya hayo mapungufu. Ukikaa kimya utakuwa unatunza ugonjwa kwako we mwenyewe wa kutoelimika juu ya hayo mapungufu unayoyasema, dawa hapo ni kufunguka tuu, usione aibu we ya taje kama yapo.
 

ata akiambiwa kula kinyesi ata kula si ndiyo? Akili za kuambiwa changanya na zako! Usipende kuburuzwa wala kufanyiwa maamuzi wakti we mwenyewe unaakili timamu na wala sio mtoto mdogo, msipende kila kitu mpaka muwasikize viongozi wa dini, itakula kwenu.

kwani mavi wewe huyajui... Labda askofu wa lumumba ndo anaweza sema hiyo kitu mbofu....
 
mi nilidhani kwa mtu kama sisi kura ya ndio ni kwa waalioisoma katiba pendekezwa na kuikubali. Hapana ni kwa walioikataa au wasioiona bado au wasioielewa. Nisingependa waandishi wanavyoshabikia kutafuta watu wenye roho nyepesi tupopoane macho barabarani.
Katiba ina mambo mazuri mengi shida yetu ni yale mapungufu yafanyiwe kazi
mbo husemi hayo mapungufu ni yepiiii
 
wanajisumbua tu na kupoteza muda wangejibakia tu kuswalisha tu.wataaibika uchaguzi unaokuja.sijui sura zao watazificha wapi.
naona hasira za wana wa nchi hujazitambua weyee... Hebu muulize mwenyekiti wako wa kijiji unachoishi hapo ni wa chama kipi.. Utapata jibu zuri tu.
 
mkuu, sijui ni nini kinatufanya kuwaamini mno 'wasakatonge'! Hao waliosema tupige kura ya 'hapana' ndio wametuambia mungu yupo na kwamba ukifa utaenda peponi au jehanam kulingana na matendo yako hapa duniani. Sasa kama mungu hakutupa masharti ya kuingia huko kwa nini tunaambiwa pana "amri kumi za mungu"?

wakupimwa wewe sio mzima
 
Ni ajabu machapisho yalichapishwa machache sana lakini huku serikali hyo hyo ikichapisha kofia kwa kutumia takribani bilioni 122 zinazoshawishi umma kupigia kura ya ndio katiba hyo.

Huku ni kutufanya wananchi tuonekane hatujui lolote la kuliamua katika katiba hyo.

Sasa natangaza rasmi nitaweka big no kwenye kura ya maoni kwakuwa hata kilichoandikwa hakina maslahi kwangu na mjukuu wangu
 
Back
Top Bottom