Kufundisha Watu Kura ya Ndiyo (Serikali), Hapana (Maaskofu,UKAWA) ni Sahihi?

Kufundisha Watu Kura ya Ndiyo (Serikali), Hapana (Maaskofu,UKAWA) ni Sahihi?

Unayejiita Not_Yet_Uhuru, Maneno meeengi hayana hata hulka ya kuwa na busara. Unaposema unapiga kura unategemea nini? Kura maana yake kuna pande mbili. Hata hili hulioni? Ubovu wa Katiba Inayopendekezwa umetoka wapi, kama kweli wewe ni mzalendo wa dhati soma kuanzia utangulizi wake uone kama wananchi hawahusiki. Sema ukweli na ukweli utakuweka huru “………..KWA KUWA, sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu” Huo ni utangulizi tu, pata muda uisome vizuri ujionee na hatimaye muda ukifika usiwe kikwazo kwa Wananchi.

Hayo yote ukinyimwa huna pa kuyadai dadangu. Hivyo ni meneno kama yakwenye kanga hayaaksi uhalisia. Haki isiyo daiwa mahakamani ni ya nini?
 
u
vote-no.jpg
vn.jpg
i_am_voting__no_2_t266x200.gif
.


ukawa hapana ,katiba sio ya ukawa ni ya wananchi.
 
cjapata nakala bado ila jibu ni HAPANA hata km ntaipata iyo nakala ya katiba pendekezwa
w
labda waibebe juu tusiione waipitishe kimagendo
 
cjapata nakala bado ila jibu ni HAPANA hata km ntaipata iyo nakala ya katiba pendekezwa
w
labda waibebe juu tusiione waipitishe kimagendo
Salio la akili yako ndo limefikia hapo, hujielewei na sio mzalendo tafuta uraia kwengine, suala la kura ni siri ya mtu acha mbwembwe humu ndani
 
Salio la akili yako ndo limefikia hapo, hujielewei na sio mzalendo tafuta uraia kwengine, suala la kura ni siri ya mtu acha mbwembwe humu ndani

uraia hautolewi km peremende!! ila ngoja nikuache unaonekana hata hujui kinachoendelea nchini akili yako haijajua kuchambua vitu vya msingi bado
 
uraia hautolewi km peremende!! ila ngoja nikuache unaonekana hata hujui kinachoendelea nchini akili yako haijajua kuchambua vitu vya msingi bado
Ndo ufuate hizo process ili usiwe mtanzania coz unaonekana umepachoka basi hama uhamie nchi jirani
 
Enyi mnaochangia mkiingozwa na asiyeona not yet uhuru nani aliyewaroga!!! Mnashindwa kutumia akili zenu mnategemea akili za viongozi wa dini. Hebu soma kwanza katiba kama viongozi wenu walivyoshauri. Sisi ambao tumeisoma na tunaendelea kuisoma tunaona inafaa sana. Yale ambayo hayajawaridhisha ninyi msio na muda wa kusoma mnaosubiria kusomewa subiri kitu kinaitwa constitution amendment ndipo mnaweza kushauri mambo yenu yawekwe, lakini jinsi ilivyo sasa kwa kweli imetulia. Sisi ni ndiyo tu na ninyi mkifunguliwa ufahamu mtasema ndiyo. Kwa sasa sio kosa lenu ni kwamba mmefungwa ufahamu ndo mana nikauliza nani aliyewaroga. Tafakari na ifanyie kazi hekima hiyo ninayokupatia, maana wahenga wnasema no research no right to speak. Nanyi kwa sababu hamjafanya utafiti msizungumze kaa kimya.
 
Mmekosa hoja mnaanza kumsema Pengo. Mnasema Katiba haifai je ya kwenu inayofaa iko wapi. Acha msisimko na mob psychology. Nadhani baadhi yenu ni watu wazima ingawaje ni wafupi wa fikra. Fikiri kwanza kabla ya kutenda. Hiyo Katiba Inayopendekezwa Imeandikwa na itabaki na kudumu pia itapitishwa. Watu fulani walisema SCRIPTA MANENT SED VERBA VOLANT! WHAT IS WRITTEN WILL REMAIN BUT WORDS WILL EVAPORATE. Kwa hiyo ninyi ndugu maneno yenu yatayeyuka tu Katiba Inayopendekezwa itabaki. Chezea Katiba wewe!!!
 
Nadhani mmenielewa. Na endapo utapinga hay uje na hoja yenye nguvu ambayo nayo itapanguliwa juu kwa juu kwa maana huna mizizi ya kusimamia kujenga hoja mtu wewe!!!
 
..maajabu haya...wao wanasema wakati ikifika pigia kura ya ndiyo mimi nikisema piga kura ya hapana kosa unalo..wanafiki


mnafiki mwenyewe ukizidiwa unakaa kimya,likes kwa katiba pendekezwa zimekua nyingi kuliko huo ulimbukeni wenu wa kupinga kila kitu,kwa taarifa yako katiba pendekezwa itapigiwa kura kibao za ndiyo,
 
kati ya watu ambao hawana hoja humu ndani wanakalia kuweka graphics na katuni unaoongoza, hiyo ni ishara ya uvivu wa kufikiri na kushindwa kujisimamia mwenyewe katika mambo yako kiasi kwamba bila kusaidiwa hustand,

tumia akili wewe hata nyumbani kwako umejaza makatuni ya kukuelekeza mlango ni upi, chumba n.k construct hoja hapa acha kukatunika mzembe wewe. Kura ya ndiyo kwa katiba pendekezwa haiepukiki!!!
 
Tyta, Uzalendo kwanza, Kinyume cha "NO" ni "YES" jiandikishe then ungana na wiliojiandikisha kupiga kura yako YES ili kupata KAatiba Mpya nchini.

....kwenye rasimu ya chenge hakuna uzalendo hata kidogo....Nina nakala (hardcopy) ya Rasimu ya Wananchi(Warioba)...Nimeisoma mwanzo mpaka mwisho....tangu mambo ya msingi niliyotegemea Kupitishwa yalipoondolewa sikuona sababu ya kupoteza muda kuisoma ya chenge....Nilichukua maamuzi hayo baada ya kuona muhtasari wa yaliyomo na yaliyoondolewa....kwa kifupi rasimu ya Chenge haina Tofauti na katiba ya sasa(kama ipo ni ndogo na insignificant)...na ni kheri kuchukua muda zaidi ili kupata katiba stahiki kwa miaka hamsini ijayo
 
..maajabu haya...wao wanasema wakati ikifika pigia kura ya ndiyo mimi nikisema piga kura ya hapana kosa unalo..wanafiki

wewe ndio mnafiki kwa kushabikia siasa kwenye katiba,kura yako ndiyo hatima yako!
 
....kwenye rasimu ya chenge hakuna uzalendo hata kidogo....nina nakala (hardcopy) ya rasimu ya wananchi(warioba)...nimeisoma mwanzo mpaka mwisho....tangu mambo ya msingi niliyotegemea kupitishwa yalipoondolewa sikuona sababu ya kupoteza muda kuisoma ya chenge....nilichukua maamuzi hayo baada ya kuona muhtasari wa yaliyomo na yaliyoondolewa....kwa kifupi rasimu ya chenge haina tofauti na katiba ya sasa(kama ipo ni ndogo na insignificant)...na ni kheri kuchukua muda zaidi ili kupata katiba stahiki kwa miaka hamsini ijayo

hata kama ungekuwa na coloured copy ya warioba is non sense kwa sasa haina nafasi,hiyo haitapigiwa kura uwe na akili unakalia chege utafikiri huyo ndo kashika akili yako,usiwe kama popo jiangalie.
 
hata kama ungekuwa na coloured copy ya warioba is non sense kwa sasa haina nafasi,hiyo haitapigiwa kura uwe na akili unakalia chege utafikiri huyo ndo kashika akili yako,usiwe kama popo jiangalie.

vn.jpg
 
Back
Top Bottom