Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
- Thread starter
- #101
Zile ZERO za Form 4 zije kujifunza ufundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo gesi siku ukipata tatizo la MOTO na utake Bima wakulipe HUTALIPWA maana umebadilisha mfumo wa gari bila kuwataarifu. Muwe mnasoma zile Policy mkikata Bima.Mbona kama unachanganya mambo, tujadili lipi kupungua kwa uwezo wa gari kwa 40% au compensation ya bima ikiwa tatizo litatokea..?
hahahahahahaUkishaona mtu mweusi anajihusisha na ufundi ogopa sana
Wengi hatusomi. Tunakata third party kuepuka mambo ya kukamatwa barabaraniHiyo gesi siku ukipata tatizo la MOTO na utake Bima wakulipe HUTALIPWA maana umebadilisha mfumo wa gari bila kuwataarifu. Muwe mnasoma zile Policy mkikata Bima.
Kaije mkuu? Kwamba gari za umeme ni?Achilia gesi hata gari za umeme nazo ni mavv tu.
Hatarii du😁😁Jana tu nilipanda gari bolt ilikuwa inatumia gesi. Alinieleza kuwa ukifunga gas inapungua sana nguvu na tulikuwa tunapitwa mpk na baiskeli . Gari ilikuwa Toyota
😁😁😁Ufunge gesi ili ugundue nn?
Mbona nasikia wewe unamiliki Range Rover kwa kupost tu memes na videos za vituko mitandaoni ila hiyo ni njia ya kizamani sana ya zama za ujima. Tumia za kisasa ili uweze kumiliki hata private jetHatarii
daah naww ukaamua umchane ovyoovyo 🤣Ulivyoandika hovyo hovyo inaonekana wewe Ni mtu wa hovyo hovyo na ulifungiwa mfumo hovyo hovyo na mafundi hovyo hovyo.