Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee mbona gesi umeikomlia hivyo au una sheli yako ? Unaona utakosa watejaGesi Ni janga
Nimenogesha tu hapo ila infact gari ilikuwa very slow haina nguvu kabisa na dereva alisema kuwa gas inafanya nyuvu ya injini kupungua sanaBaiskeli kama baiskel au ina maana nyingine?
Achilia gesi hata gari za umeme nazo ni mavv tu.Nimenogesha tu hapo ila infact gari ilikuwa very slow haina nguvu kabisa na dereva alisema kuwa gas inafanya nyuvu ya injini kupungua sana
Gari ya umeme una maanisha niniAchilia gesi hata gari za umeme nazo ni mavv tu.
Ufunge gesi ili ugundue nn?Mbali na kuchukua nafasi kubwa kwenye gari (kwa kuweka mitungi) pia gesi unapoteza nguvu ya gari 40%. Ukichaganya na mafundi wetu wa kibongo lazima uue gari na ufundi wao wa kuunga-unga.
NB: nilifunga gesi kwenye Toyota Surf, yaani full majanga
View attachment 2197574
PointTuchukue tahadhari tusije kuua magari kwa tamaa ya kupunguza gharama za mafuta tukajichanganya kwenye gesi
Kijiwe Cha kahawa kina nafuu. Huyu alikua kwenye kijiwwe Cha bangi chafu.Mbona umeandika hovyohovyo bila ushahidi ni kama uko kwemye kijiwe cha kahawa
Ununue Subaru 24m ukose pesa ya mafutaAisee nilitest gari juzi ya jamaa yangu Subaru amefunga gesi.
Nikweli kuna utofauti japo sio kivile sana shida ukitumia gesi gari inachelewa kuchanganya ukiiforce ukanyage gesi nyingi gari inavuma mno. Ila kwa safari za town sifikirii kama kuna shida unakimbia uende wapi kwa mfano ila petrol iache iitwe petrol.
Ni impreza mkuuUnunue Subaru 24m ukose pesa ya mafuta
Mbona kama unachanganya mambo, tujadili lipi kupungua kwa uwezo wa gari kwa 40% au compensation ya bima ikiwa tatizo litatokea..?Ni tahadhari tu nimetoa. Nilifunga kwenye Toyota Surf mtungi wa 10 na 5 kgs gari ikaanza kuwa nzito. Baadhi ya miinuko ikawa inapanda kwa tabu Ila nikihamia kutumia petrol gari inapata nguvu upya.
Pia Ni vizuri kujua iwapo litatokea tatizo kutokana na kuweka gesi Bima watalipa?