Kufunga gesi kwenye gari kunapunguza uwezo kwa 40%

Kufunga gesi kwenye gari kunapunguza uwezo kwa 40%

Mbali na kuchukua nafasi kubwa kwenye gari (kwa kuweka mitungi) pia gesi unapoteza nguvu ya gari 40%. Ukichaganya na mafundi wetu wa kibongo lazima uue gari na ufundi wao wa kuunga-unga.
NB: nilifunga gesi kwenye Toyota Surf, yaani full majanga

View attachment 2197574
Hii teknolojia kwa TZ bado Sana. Aina ya mafundi wanaofanya modification Ni changamoto Sana
 
Ndio maana kuna mifumo yote inaweka inafanya kazi..

Petrol inaripuka na kutoa power ya kutosha ukilinganisha na hiy 'Gas'

Kiuhalisia ni kwamba ukiwa unafanya towing au unatak utumie nguvu nyingi basi una change energy source.. kutoka 'Gas' kwenda kwenye Petrol..

Ni matumizi ya AKILI tu.
Siyo swala la akili, Swala la kiufundi, fundi anatakiwa atoe maelekezo juu ya matumizi ya gas.

Kila anaejitambua na kuweza kuendesha majukumu yake, ana akili, ila akili hazikuwezeshi kujua kila kitu. Vingine mpaka, ufundishwe ama uelekezwe.
 
Mkuu Abdallah_Kichwaz naomba uangalie katika Surf yako kama tobo hapo nilipozungushia limezibwa au kuna pipe. Maana yangu nilikuta kuna uwazi na unatoa hewa. Fundi alinishauri kuuziba. Kwa mantiki hiyo ningenda kujua kama yako kumezibwa au ni tundu lipo wazi.

Aksante kwa msaada wako
toyota_hilux_surf_auto_1627030168_6813c02e_progressive (1).jpg
 
Mkuu Abdallah_Kichwaz naomba uangalie katika Surf yako kama tobo hapo nilipozungushia limezibwa au kuna pipe. Maana yangu nilikuta kuna uwazi na unatoa hewa. Fundi alinishauri kuuziba. Kwa mantiki hiyo ningenda kujua kama yako kumezibwa au ni tundu lipo wazi.

Aksante kwa msaada wakoView attachment 2197732
Imezibwa
 
Mbali na kuchukua nafasi kubwa kwenye gari (kwa kuweka mitungi) pia gesi unapoteza nguvu ya gari 40%. Ukichaganya na mafundi wetu wa kibongo lazima uue gari na ufundi wao wa kuunga-unga.
NB: nilifunga gesi kwenye Toyota Surf, yaani full majanga

View attachment 2197574
Gari yako ni ya mwaka gani na ina engine gani? Tuanzie hapo.

Mind you, hizi CNG zitakupa matokeo mazuri kwenye modern engines.
 
Back
Top Bottom