Kufunga mkutano maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa - tarehe 3 na 4 januari, 2024 (Mgeni Rasmi: Doto Biteko)


..Ccm ndio hawataki maelewano na masikilizano.

..wamegoma kutekeleza mapendekezo ya Tume za Jaji Nyalali, Jaji Kissanga, na Jaji Warioba, kuhusu marekebisho ya Katiba na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi.

..Vyama vya upinzani having tatizo. Wenye matatizo na wakwamishaji ni Ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…