Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Kuna vitu vingine hatuna mamlaka navyo kuviongeasasa mfano aliyetabiri kifo cha Rais nae aache PM wazi unategemea usalama hapo?
au yule aliye elezea dark days, Jinsi ishu ya March 17 ilivyoenda nae aache geti wazi
kmmke mtoa mada hutumii medula vizuri
Chukuaa kwanza namba yangu,then ufunge tuMwenye namna ya kufunga pm anisaidie nataka nifunge ila sijui
Hahaha..
Unamtafuta uchokoz dada wa watu mpole
Ni sawa na kuwa na msongo wa mawazo na kuamua kutoshirikisha watu, unaweza ukajinyonga.Mtu kufunga pm ana kuwa na sababu zake anazozijua yeye.Umalaya ni hulka haina mahusiano yoyote na kufunga PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asikusumbue uyo katoto,njoo kwangu mkubwa mwenzioPm inafungwa je nielekeze
Unajambo gan muhimu linalokufanya ukeshe kwenye mlango wa pm yangu we katoto
Katoto tena? π π πPm inafungwa je nielekeze
Unajambo gan muhimu linalokufanya ukeshe kwenye mlango wa pm yangu we katoto
Pm za wakubwa hazikufai utazeeka kabla ya umri[emoji23][emoji23][emoji23] ahahah jaman sasa jambo private aki com on
Hahaha..Mwenye namna ya kufunga pm anisaidie nataka nifunge ila sijui
Pm za wakubwa hazikufai utazeeka kabla ya umri
Nimekosea mkuu??π€£π€£π€£Katoto tena? π π π
Baada ya kusema hayo, fungua pm.1.Kila mtu ana haki ya kufunga PM. Ndiyo maana ikaitwa PM. The P in PM means Private.
2. Privacy ni haki ya kikatiba.
3.Kufunga PM si uchoyo. Mtu mwingine anaweza kufunga PM kwa kukuhurumia wewe.
4. Hata uchoyo nao ni haki ya mtu. Mtu ana haki ya kuwa mchoyo kwa kitu chake.
5. Wewe nawe una mailbox yako. Ifanye unachotaka. Acha kutamani ku control mailboxes za wenzako.
Ahahaha katoto af na mambo ya kikubwa sanaKatoto tena? π π π
manin hayo unayotaka tuyajenge???[emoji23][emoji23] nifungulie tuyajenge