Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenichekesha Aisee!Ila kweli halafu uwe umetoka kupiga zako kibarua juani umejichokea macho mekundu maskini ya Mungu tunajua Ni mvuta bangi na mkora mzoefu
Umeona Mungu hakupi vyote ila ànaweza akakunyima vyote
 
Ngoja tu wafunge, wanatusaidia sana, wangefunga wote huenda tungeokoka kwa mengi 😁😁

PM kuwa wazi ni temptation kwa Me walio wengi, ila ukijaribu na kuona PM ina kufuli ni "kuvuja kwa pakacha..."!
Pm huko kuna mengi 😅
Bora wafunge tu maana ni vilio
 
Hata kuweka milango kwenye nyumba zetu ni ubinafsi. Tujenge nyumba tusiweke milango
 
nimeingia jf mda huu nakutana na mkeka mrefu wa kutufokea sisi tuliofunga PM.

nasemaje, acha nionekane mbinafsi na mchoyo. liwake jua inyeshe mvua, PM sifungui. binafsi sihitaji ku establish network or friendship na mtu yoyote wa JF.

nimeridhika na network ya marafiki ambao nimefahamiananao linkedin, instagram na twitter.

jf tuishie kupiga story tu na kujadiliana masuala mbalimbali ya kijimii. kuchati PM is a BIG NO for me, ili iweje kwa mfano?, mwisho tuanze kuombana namba za simu....then what!.



.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…