Kufungisha ndoa takatifu huku Bibi Harusi akiwa mjamzito ni kuhalalisha uzinzi

Kufungisha ndoa takatifu huku Bibi Harusi akiwa mjamzito ni kuhalalisha uzinzi

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nawasalimu katika jina la chama pendwa CCM.

Leo nimekuja kitofauti.

Leo ninatoa maoni yangu kuhusu mambo ya mapenzi na ndoa. Kabla sijaelezea nataka kila msomaji ajikumbushe ule msemo usemao "fuata maneno yangu sio matendo".

Leo nitaongelea kitendo cha madhehebu yetu hasa ya kikristo kufungisha ndoa watu ambao tayari walishazini. Namaanisha zile harusi ambazo tayari bibi harusi ni mjamzito.

Kabla sijaandika huu uzi ilibidi nisome kwanza biblia kujiridhisha kama kuna sehemu iliruhusiwa watu kupeana tamu kabla ya ndoa. Biblia nzima hakuna sehemu iliyoruhusu hilo jambo. Sikuishia hapo nikasoma katiba ya nchi sikuona.

Nikasoma pia rasimu ya Warioba sikuona. Nikasoma katiba na ilani ya chama cha Mapinduzi pia sikuona ikiruhusu. Hata kwenye katiba ya Chama Cha Mbowe hawajaruhusu uzinzi kabla ya ndoa.

Nimebaki najiuliza hawa viongozi wa dini kwanini wasikemee hili jambo na kuweka ugumu kwenye kufungisha ndoa za watu wa namna hii? Hawaoni wanachangia mmomonyoko wa maadili kwa kuhalalisha uzinzi kabla ya ndoa?

Biblia imesema wazi kwamba kuliko kuwaka tamaa bora mtu aoe. Ila haijasema ukafanye tu ngono kupunguza tamaa zako.

Ninawasihi viongozi wangu wa kikristo wajirekebishe pale walipokosea badala ya kuendelea kufumbia macho uzinzi kabla ya ndoa. Hata kama hizo ndoa zinanufaisha kanisa kiuchumi tuzikatae au tuweke utaratibu mgumu.

Imeshafikia sehemu vijana wakipendana lazima wakulane hapohapo. Hata hapa JF kuna uzi wa kula tunda kimasihara.
 
Kuna couple zilikuwa zimepanga kufunga ndoa kwenye dhehebu la moravian

Kama kawaida ya wakristo maandalizi ya ndoa na pilikapilika za michango unakuta inachukua miezi kibao mpaka kufikia siku ya ndoa.

Ilikuwa mwezi wa tatu wameanza kutangaza ndoa yao itafungwa mwezi wa 9 ili kuwapa watu muda wa kujipanga waweze kuchangia.

Mwezi wa 9 unafika siku ya harusi pastor anashangaa kuona kibendi kwa bibi harusi. Pastor akawatolea nje akasema hii ndoa sifungishi maana tayari mshazini.

Wanandoa watarajiwa ikabidi waende Roman kule wakapokelewa na kuanzia hapo ndio wakawa rasmi waumini wa dhehebu hilo la Roma
 
Kuna couple zilikuwa zimepanga kufunga ndoa kwenye dhehebu la moravian

Kama kawaida ya wakristo maandalizi ya ndoa na pilikapilika za michango unakuta inachukua miezi kibao mpaka kufikia siku ya ndoa.

Ilikuwa mwezi wa tatu wameanza kutangaza ndoa yao itafungwa mwezi wa 9 ili kuwapa watu muda wa kujipanga waweze kuchangia.

Mwezi wa 9 unafika siku ya harusi pastor anashangaa kuona kibendi jwa bibi harusi. Pastor akawatolea nje akasema hii ndoa sifungishi maana tayari mshazini.

Wanandoa watarajiwa ikabidi waende Roman kule wakapokelewa na kuanzia hapo ndio wakawa rasmi waumini wa dhehebu hilo la Roma
Ilikuwa ni Moravian ushirika upi mkuu?
 
Akishajifungua wakafunga ndoa ndio itakuwa takatifu? Kama tunahitaji utakatifu basi watu wasigegedane kabla ya ndoa. Wafunge ndoa wote wakiwa hawajawahi kufanya tendo.
Mengine yote ni unafiki tu
 
Kuna couple zilikuwa zimepanga kufunga ndoa kwenye dhehebu la moravian

Kama kawaida ya wakristo maandalizi ya ndoa na pilikapilika za michango unakuta inachukua miezi kibao mpaka kufikia siku ya ndoa.

Ilikuwa mwezi wa tatu wameanza kutangaza ndoa yao itafungwa mwezi wa 9 ili kuwapa watu muda wa kujipanga waweze kuchangia.

Mwezi wa 9 unafika siku ya harusi pastor anashangaa kuona kibendi jwa bibi harusi. Pastor akawatolea nje akasema hii ndoa sifungishi maana tayari mshazini.

Wanandoa watarajiwa ikabidi waende Roman kule wakapokelewa na kuanzia hapo ndio wakawa rasmi waumini wa dhehebu hilo la Roma
Mkuu scars hapa kuna utata. Huwa wanandoa watarajiwa wanahudhuria mafunzo siku chache kabla ya ndoa.
 
Nawasalimu katika jina la chama pendwa CCM. Leo nimekuja kitofauti.

Leo ninatoa maoni yangu kuhusu mambo ya mapenzi na ndoa. Kabla sijaelezea nataka kila msomaji ajikumbushe ule msemo usemao "fuata maneno yangu sio matendo".

Leo nitaongelea kitendo cha madhehebu yetu hasa ya kikristo kufungisha ndoa watu ambao tayari walishazini. Namaanisha zile harusi ambazo tayari bibi harusi ni mjamzito.

Kabla sijaandika huu uzi ilibidi nisome kwanza biblia kujiridhisha kama kuna sehemu iliruhusiwa watu kupeana tamu kabla ya ndoa. Biblia nzima hakuna sehemu iliyoruhusu hilo jambo. Sikuishia hapo nikasoma katiba ya nchi sikuona.

Nikasoma pia rasimu ya Warioba sikuona. Nikasoma katiba na ilani ya chama cha Mapinduzi pia sikuona ikiruhusu. Hata kwenye katiba ya Chama Cha Mbowe hawajaruhusu uzinzi kabla ya ndoa.

Nimebaki najiuliza hawa viongozi wa dini kwanini wasikemee hili jambo na kuweka ugumu kwenye kufungisha ndoa za watu wa namna hii? Hawaoni wanachangia mmomonyoko wa maadili kwa kuhalalisha uzinzi kabla ya ndoa?

Biblia imesema wazi kwamba kuliko kuwaka tamaa bora mtu aoe. Ila haijasema ukafanye tu ngono kupunguza tamaa zako.

Ninawasihi viongozi wangu wa kikristo wajirekebishe pale walipokosea badala ya kuendelea kufumbia macho uzinzi kabla ya ndoa. Hata kama hizo ndoa zinanufaisha kanisa kiuchumi tuzikatae au tuweke utaratibu mgumu.

Imeshafikia sehemu vijana wakipendana lazima wakulane hapohapo. Hata hapa JF kuna uzi wa kula tunda kimasihara.
Kuna sehemu kwenye biblia wamesema tusipeane tamu kabla ya ndoa? Nitoe matongotongo tafadhali...nipo hapa kujifunza
 
Sasa wewe watu wazima wakikubaliana kuzini kabla ya ndoa unapungukiwa nini? Kama ngono ingeumbiwa wanandoa tu, basi wanandoa pekee ndio wangekuwa na matamanio.

Gotta test drive that baby fore you take her a ride. That horse power might not be matching your expectations. Just saying.
 
Sheikh wangu hata huku kwa wavaa kubazi ikitokea hivyo wanadai kuwa
haramu haiwezi kuzuia jambo la halali/heri kufanyika maana siku zote baya hufutwa kwa jema.
Wabillah tawfiq
 
Kuna sehemu kwenye biblia wamesema tusipeane tamu kabla ya ndoa? Nitoe matongotongo tafadhali...nipo hapa kujifunza
Mimi sio msemaji. Waone viongozi wako wa dini kwa ufafanuzi zaidi.
 
Sheikh wangu hata huku kwa wavaa kubazi ikitokea hivyo wanadai kuwa
haramu haiwezi kuzuia jambo la halali/heri kufanyika maana siku zote baya hufutwa kwa jema.
Wabillah tawfiq
Sawa, ndoa itafungwa ila mtoto aliyekutwa na ndoa tumboni hahesabiki kuwa ni mtoto wa ndoa na hapati haki ya kumrithi baba yake.

Watoto watakaofuata ndio watakuwa watoto ndani ya ndoa.
 
Dunia ya Sasa lazim kutest kwanza usije uziwa mbuzi kwa gunia
 
Nawasalimu katika jina la chama pendwa CCM. Leo nimekuja kitofauti.

Leo ninatoa maoni yangu kuhusu mambo ya mapenzi na ndoa. Kabla sijaelezea nataka kila msomaji ajikumbushe ule msemo usemao "fuata maneno yangu sio matendo".

Leo nitaongelea kitendo cha madhehebu yetu hasa ya kikristo kufungisha ndoa watu ambao tayari walishazini. Namaanisha zile harusi ambazo tayari bibi harusi ni mjamzito.

Kabla sijaandika huu uzi ilibidi nisome kwanza biblia kujiridhisha kama kuna sehemu iliruhusiwa watu kupeana tamu kabla ya ndoa. Biblia nzima hakuna sehemu iliyoruhusu hilo jambo. Sikuishia hapo nikasoma katiba ya nchi sikuona.

Nikasoma pia rasimu ya Warioba sikuona. Nikasoma katiba na ilani ya chama cha Mapinduzi pia sikuona ikiruhusu. Hata kwenye katiba ya Chama Cha Mbowe hawajaruhusu uzinzi kabla ya ndoa.

Nimebaki najiuliza hawa viongozi wa dini kwanini wasikemee hili jambo na kuweka ugumu kwenye kufungisha ndoa za watu wa namna hii? Hawaoni wanachangia mmomonyoko wa maadili kwa kuhalalisha uzinzi kabla ya ndoa?

Biblia imesema wazi kwamba kuliko kuwaka tamaa bora mtu aoe. Ila haijasema ukafanye tu ngono kupunguza tamaa zako.

Ninawasihi viongozi wangu wa kikristo wajirekebishe pale walipokosea badala ya kuendelea kufumbia macho uzinzi kabla ya ndoa. Hata kama hizo ndoa zinanufaisha kanisa kiuchumi tuzikatae au tuweke utaratibu mgumu.

Imeshafikia sehemu vijana wakipendana lazima wakulane hapohapo. Hata hapa JF kuna uzi wa kula tunda kimasihara.
Hiyo kitu mnaita kuzini ni nadhani tu. Ukitafakari haina uhalisia wowote
 
Back
Top Bottom