Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Cha ajabu nini mkuu.kwani mimba ni sumu??Huwa mnawaokota wapi viumbe wa namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha ajabu nini mkuu.kwani mimba ni sumu??Huwa mnawaokota wapi viumbe wa namna hii?
Wala sio dhambi wee pokea tuu hizo mbegu mwayaKwani mimba ni dhambi??
Mimba ya mtu mwingine halafu ndoa ya mwingine!!!Cha ajabu nini mkuu.kwani mimba ni sumu??
Ni uamuzi wake.alinipenda.alikosea??Mimba ya mtu mwingine halafu ndoa ya mwingine!!!
Hata leo naenda tena season ingineWala sio dhambi wee pokea tuu hizo mbegu mwaya
Kidume anapata burudani murwaaa kwa kuioelekea moto mbususuHata leo naenda tena season ingine
Nilimpata kwa bwanaHuwa mnawaokota wapi viumbe wa namna hii?
Si mnakataa mimba nyie.ukikataa jua kuna wa kuikubaliAsalalee.. Ukambambikia Mwenzio..! kuna Watu wanatakiwa Maungamo mazito Walahi, Sio Uhuni huu.
Hiyo mimba ikiwa imepatikana nje ya ndoa au ndani ya ndoa?Kwani kisheria ya kislam mimba inanza kuhesabika ni kiumbe yaani ni mtoto ikiwa na miezi mingapi...?
Halafu nenda ukasome historia ya Nabii Ibrahim (A.S) kisha uje kuniambia kama alimpa au hakumpa mirathi mtoto wake wa nje...?
Kuna couple zilikuwa zimepanga kufunga ndoa kwenye dhehebu la moravian
Kama kawaida ya wakristo maandalizi ya ndoa na pilikapilika za michango unakuta inachukua miezi kibao mpaka kufikia siku ya ndoa.
Ilikuwa mwezi wa tatu wameanza kutangaza ndoa yao itafungwa mwezi wa 9 ili kuwapa watu muda wa kujipanga waweze kuchangia.
Mwezi wa 9 unafika siku ya harusi pastor anashangaa kuona kibendi kwa bibi harusi. Pastor akawatolea nje akasema hii ndoa sifungishi maana tayari mshazini.
Wanandoa watarajiwa ikabidi waende Roman kule wakapokelewa na kuanzia hapo ndio wakawa rasmi waumini wa dhehebu hilo la Roma