Kufungisha ndoa takatifu huku Bibi Harusi akiwa mjamzito ni kuhalalisha uzinzi

Kwa hali ya sasa haiepukiki hiyo,lazima ujue mapema lasivyo unaweza kuuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Halafu ukute bibi harusi ana ujauzito wa miezi sita na bwana harusi ana kitambi! Muda wa pete wanafanana na b zinazotazamana!
 
Kwani kisheria ya kislam mimba inanza kuhesabika ni kiumbe yaani ni mtoto ikiwa na miezi mingapi...?
Halafu nenda ukasome historia ya Nabii Ibrahim (A.S) kisha uje kuniambia kama alimpa au hakumpa mirathi mtoto wake wa nje...?
Hiyo mimba ikiwa imepatikana nje ya ndoa au ndani ya ndoa?
 

Kisheria ndoa inatangazwa siku 21 huwezi ukatangazwa miezi mitatu. Pili kuna semina za wanandoa na mwenye leseni ya ndoa ndio anaewapa semina wana ndoa na ndie anaefungisha ndoa je siku zote hakuona huo ujauzito?. Yapo makanisa yapo so strict kwanye hilo utaambiwa nenda bomani ukafungiwe ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…