Uchaguzi 2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

Uchaguzi 2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

Hata matukio ya polisi uliyaangalia kwa jicho la kijasusi ni km wameuchoka utawala huu wa mabavu kuna vitu wanafanya makusudi ili wananchi wakinukishe na wao wawasapoti.....
True huwa nawaambia watz si kwamba polisi wanaipenda ccm ufanya matendo haya ya kuumiza wapinzani ili ccm izidi kuchukiwa na wananchi.
 
Mnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.


Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Hukuona kampeni yake jana huko pwani na leo kariakoo? Au kwako kampeni ni ipi?
 
FANYA KAZI KWA BIDII SIO MAGUFULI WALA LISU ATAKAYE KULETEA MAENDELEO.
hakuna sehemu yenye Vita wanapoishi kwa kula raha
Pumbavu kabisa nchi zote zilizoendelea serikali iliwaletea mafanikio..mshamba mmoja..pengine muhamiaji haramu wenzako 28 wamekamatwa Tabora
 
Sikushangaa kusikia Lisu kufungiwa siku zote hizo We know that Magu is a guilt people the guilt people can never hide it or admit it.
 
Kwa jinsi unavyomsifia hata akijiharishia hadharani utaona ni advantage kubwa sana kwake. Akili zenu kama mende au kunguni vile. Bora hata panya ana afadhali.
 
Back
Top Bottom