True huwa nawaambia watz si kwamba polisi wanaipenda ccm ufanya matendo haya ya kuumiza wapinzani ili ccm izidi kuchukiwa na wananchi.Hata matukio ya polisi uliyaangalia kwa jicho la kijasusi ni km wameuchoka utawala huu wa mabavu kuna vitu wanafanya makusudi ili wananchi wakinukishe na wao wawasapoti.....