Uchaguzi 2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

Uchaguzi 2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

Lissu huo mtego aliutega kipindi cha mda mrefu sana naona CCM wameshaingiza mguu.
Sisi tulocheza kungfuu, tumejifunza kuwa kama adui yako ana uwezo mkubwa, siraha ya kwanza ni kumuudhi ili apandishe hasira.
Hasira zikipanda mbinu za kupigana zinapotea,baada ya hapo, wewe unagonga tu.
Na adui akikuwahi kwa mguu wa shingo na mkono wa uso.

Acha kupigana maana utakuwa umepoteza mbinu zote kwa kupanic

Adui hata kama ana uwezo mdogo atakupiga tu.
Wiki siyo kubwa, atarudi ulingoni na mbinu mpya.

Mwenzake nyumbani kwake kakusanya waganga na wachawi wanamtengeneza ulozi.
Akitoka huko akisema hata kwa matusi kina bashiru na watanzania wajichekea tu kama yanamtindio wa ubongo.

Jumapili kanisani
 
Kuna wakati najiuliza hii mitego ya TL huwa hawaioni au wanafanya makusudi tu kumridhisha Mkuu wakati wakijua kuwa wanamtengenezea njia TL? siamini kuwa hiyo huwa ni bahati mbaya
Kifupi ni kwamba jiwe yuko peke yake ni suala la muda tu, maana ukiangalia yale mabomu ya polisi ndio kabisa unajua police wako upande gani, sasa hizo barua ndio usiseme, sema kwa vile jiwe hana akili hili halioni kwamba tayari yuko peke, hata amini macho yake siku ya kupiga kura. Ukitazama mambo kwa jicho la tatu utaona kuna mambo yanafanywa lengo ni kusogeza muda.
 
Unataka hivyo?
Hakuna cha kupumzika, msibadili gia bana, huyo kafungiwa na NEC siku saba kama kweli yeye jeuri aendelee na msimamo wake kufanya kampeni
 
Kwa mtazamo wangu, Magufuli amechokwa na asilimia kubwa Sana wapenzi na wanachama wa chama chake. Sababu kubwa ni hulka ya uongozi wake ndani ya chama.,na kwa wananchi wote.

Wale wazee wa kuwashwawashwa Wana mzizi na heshima kubwa Sana chamani.
Kobe kainama anatunga Sheria.
Mbuzi Mzee hapigi chafya bure.
Ukiujua huu, huu huujui.
Wakongwe wenzangu mliosoma vile vitabu vya fasihi vifuatavyo mtanielewa;
Njia panda,
Hamkani si Swari tena,
Shida,
Kuli,
Aliyeonja Pepo. Navingine vifananavyo.
 
Mnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.


Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Kichwa kigumu kile,NEC wenyewe wamejitetea kuhusu hilo.wamedai sio wao waliomfungia Bali kamati ya vyama vinavyoshiriki uchaguzi.Punguza jaziba mkuu.TL hawamuwezi,temu hii mtakaa sawa.
 
Lissu akisimama kufanya kampeni kwa siku saba kama NEC walivyoelekeza, basi hakika mshindi hapa atakua ni Lissu.

Najua wamefanya kusudi kutoa adhabu hiyo ili iwe kithibitisho kuwa Lissu hatii mamlaka zilizowekwa kisheria.

Labda nimuambie Lissu kuwa urais si zaidi ya uhai. Hata alivyovuliwa ubunge niliyasema haya. Kikubwa ni uhai. Hivi vyeo na mengine ni ziada tu.

Pia ningependa nimwambia Lissu kuwa, watanzania wanyonge wapo bega kwa bega na wewe no matter what. Mimi na familia yangu tunazo kura kwaajili yako. Hata kama utashindwa kwenye ulingo wa siasa, lakini habari zitakua zimewafikia mabwana wale kuwa ccm haitakiwi
 
Kura zote kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Mfariji wa Watanzania

Aliyetupeleka uchumi wa kati
Hahaaaa uchumi wa hapo kati au sio? Hata mimi naona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pamoja na kuwa atakuwa hayuko majukwaani lkn mazingira ya jinsi NEC ilivyomzuia yanatosha kumpigia kampeni, sasa wananchi na jumuia za kimataifa zimejua kweli Tume haiko huru na inapendelea, vyombo vya habari vya ndani na nje vinaripoti habari yake.

Muda huu apumzishe ubongo na akili na mikiki mikiki ya barabarani, afanye tathimini ya kampeni aliyoifanya, muda huu anaweza kuutumia kwa press conferences, kupitia daftari la mpiga kura, kuandaa mawakala, jinsi ya kuzuia wizi, kuandaa polling center, kutafuta pesa za kampeni, kufuatilia rufaa za wagombea, n.k.

Wapinzani walizuiwa kufanya siasa kwa miaka mitano lakini baada ya kuruhusiwa tumeona walivyobadili upepo kwa muda mfupi, nini siku 7. Magufuli amejaza mabango kila kona ya nchi lkn faida yake haina tofauti na yule ambaye hana picha hata moja. Kwa hiyo kama wananchi hawakutaki hata ufanye kampeni peke yako hawatakuchagua.

Lissu afahamu tunatafuta Rais atakaye simamia misingi ya sheria kwa wanaoonewa na wasioonewa, hata kama ameonewa tayari wananchi wameshaona, ajishushe kwa moja ili apate mbili.

Mwisho, Mungu naye ana makusudi yake, hatuwezi kujua ndani ya hizi siku 7 kungetokea nini kibaya walichopanga juu yake.
Bila shaka huu uzi alishauosoma. Ingawa najua Lissu ni mtu Bright sana pengine haya yote anayajua. Nadhani Lissu hata endeea na kampeni ila anasema vile kuwatia jambajamba maadui zake. Ni mtu makini mno.
 
Uonevu wa wazi kwa lissi ila tumuachie Mungu anajua ya kesho sisi hatujui kinachokuja mbeleni 30min zijazo
 
Pamoja na kuwa atakuwa hayuko majukwaani lkn mazingira ya jinsi NEC ilivyomzuia yanatosha kumpigia kampeni, sasa wananchi na jumuia za kimataifa zimejua kweli Tume haiko huru na inapendelea, vyombo vya habari vya ndani na nje vinaripoti habari yake.

Muda huu apumzishe ubongo na akili na mikiki mikiki ya barabarani, afanye tathimini ya kampeni aliyoifanya, muda huu anaweza kuutumia kwa press conferences, kupitia daftari la mpiga kura, kuandaa mawakala, jinsi ya kuzuia wizi, kuandaa polling center, kutafuta pesa za kampeni, kufuatilia rufaa za wagombea, n.k.

Wapinzani walizuiwa kufanya siasa kwa miaka mitano lakini baada ya kuruhusiwa tumeona walivyobadili upepo kwa muda mfupi, nini siku 7. Magufuli amejaza mabango kila kona ya nchi lkn faida yake haina tofauti na yule ambaye hana picha hata moja. Kwa hiyo kama wananchi hawakutaki hata ufanye kampeni peke yako hawatakuchagua.

Lissu afahamu tunatafuta Rais atakaye simamia misingi ya sheria kwa wanaoonewa na wasioonewa, hata kama ameonewa tayari wananchi wameshaona, ajishushe kwa moja ili apate mbili.

Mwisho, Mungu naye ana makusudi yake, hatuwezi kujua ndani ya hizi siku 7 kungetokea nini kibaya walichopanga juu yake.
Unatumia matako kusikia na ubongo wako umetolewa na kujazwa kamasi kichwani mwako. NEC haijampa adhabu Tundu ya kutofanya kampeni bali kamati ya maadili ya taifa. Ambayo wahusika wa kamati hiyo ni viongozi mbalimbali wa vyama vinavyoshiriki uchaguzi mkuu. Ikiwa ni pa1 na chadema ndiyo waliyotoa adhabu hiyo kwa Tundu

UKIMKOSOA TUNDU UNAFUNGIWA JF
 
Unatumia matako kusikia na ubongo wako umetolewa na kujazwa kamasi kichwani mwako. NEC haijampa adhabu Tundu ya kutofanya kampeni bali kamati ya maadili ya taifa. Ambayo wahusika wa kamati hiyo ni viongozi mbalimbali wa vyama vinavyoshiriki uchaguzi mkuu. Ikiwa ni pa1 na chadema ndiyo waliyotoa adhabu hiyo kwa Tundu

UKIMKOSOA TUNDU UNAFUNGIWA JF
Hao viongozi wa vyama ni vivuli tu mhusika mkuu ni CCM through NEC.
 
Amelazimishwa kupumzika ili kwenda sambasamba na mgombea wa NEC apate nafasi ya kwenda garage baada ya kuchezea spana za kutosha
 
Back
Top Bottom