True huwa nawaambia watz si kwamba polisi wanaipenda ccm ufanya matendo haya ya kuumiza wapinzani ili ccm izidi kuchukiwa na wananchi.Hata matukio ya polisi uliyaangalia kwa jicho la kijasusi ni km wameuchoka utawala huu wa mabavu kuna vitu wanafanya makusudi ili wananchi wakinukishe na wao wawasapoti.....
Ya kariakoo umeiona,Subirini hivyohivyoMhubiri chuki amefungwa breki aende akashtaki kwa Robert [emoji16][emoji16][emoji16]
Hukuona kampeni yake jana huko pwani na leo kariakoo? Au kwako kampeni ni ipi?Mnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.
Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Pumbavu kabisa nchi zote zilizoendelea serikali iliwaletea mafanikio..mshamba mmoja..pengine muhamiaji haramu wenzako 28 wamekamatwa TaboraFANYA KAZI KWA BIDII SIO MAGUFULI WALA LISU ATAKAYE KULETEA MAENDELEO.
hakuna sehemu yenye Vita wanapoishi kwa kula raha
Huu ndio ukweli...wamechoka sana yani wanataka sana tukinukishe ili na wao wafanye shereheTrue huwa nawaambia watz si kwamba polisi wanaipenda ccm ufanya matendo haya ya kuumiza wapinzani ili ccm izidi kuchukiwa na wananchi.
Wana hasira balaa na ccm,Huu ndio ukweli...wamechoka sana yani wanataka sana tukinukishe ili na wao wafanye sherehe
Wana hasira balaa na ccm,imewazulumu haki yao ya nyongeza ya mishaharaHuu ndio ukweli...wamechoka sana yani wanataka sana tukinukishe ili na wao wafanye sherehe
Wana hasira balaa na ccm,imewazulumu haki yao ya nyongeza ya mishaharaHuu ndio ukweli...wamechoka sana yani wanataka sana tukinukishe ili na wao wafanye sherehe
Wana hasira balaa na ccm,imewazulumu haki yao ya nyongeza ya mishaharaHuu ndio ukweli...wamechoka sana yani wanataka sana tukinukishe ili na wao wafanye sherehe
Wana hasira balaa na ccm,imewazulumu haki yao ya nyongeza ya mishaharaHuu ndio ukweli...wamechoka sana yani wanataka sana tukinukishe ili na wao wafanye sherehe
Ndio ukweli yani..... Wanasubiri tukinukisheWana hasira balaa na ccm,imewazulumu haki yao ya nyongeza ya mishahara