Kina mzee Bakhresa na Yule mwingine wa Kagera sugar wanaitwa genge halafu tenda ya kuagiza sukari inapewa kampuni ya kuuza vifaa vya simu!!!!Tatizo sio mapori, shida ipo kwenye akili ya kuyageuza hayo mapori kuwa migodi ya bidhaa mbalimbali ndio changamoto.
Wangeajiri experts kutoka taasisi binafsi watu wa PWC, Delloite ,KPMG, EY au BCG waangalie mfumo mzima wa kodi waishauri serikali, tuache mikopo isiyo na tija tupunguze matumizi yasiyo ya lazima. Tuvutie uwekezaji wa ViwandaYaan ni politics uchawa politics uchawa, but niwachache sana wanaotimiza 4r, the restnni kujipendekezq ili next term wapate teuzi
Sekta nyeti ya viwanda na biashara hapa nchini inachukuliwa poa sana, bodies zinazohusika zimelala, wako bize na kodi na siasa
HOYEEEEEEEEEEEESSSSSSSSSSSSS----- CCM HOYE
Adui wa maendeleo ni wenye mamlaka, na mtu anakuambia kabisa bila mimi hapa we hutoboi , na kweli utawekewa vikwazo na misukosuko mpaka utanyoosha mokonoAcha mkuu kuna project unataka maji, DAWASA hawataki kuunga mpaka uwahonge ,Tanesco hivyohivyo bahati Mbaya tunapoanza kupanga biashara hatuweki bajeti ya Rushwa!!
Hadi matajiri wanakuwa CHAWA, mtu kama MO au GSM mabilionea lakini utasikia Mama this Mama That.Yaan ni politics uchawa politics uchawa, but niwachache sana wanaotimiza 4r, the restnni kujipendekezq ili next term wapate teuzi
Sekta nyeti ya viwanda na biashara hapa nchini inachukuliwa poa sana, bodies zinazohusika zimelala, wako bize na kodi na siasa
Ni changamoto sana, halafu hao hao utasikia wanasema Tanzania ina walipa kodi wachache yani 2M out of 61M people. Viwanda hakuna, uzalishaji upo duni,yani kila kitu kigonjwa kuanzia kichwa mpaka miguu.Kina mzee Bakhresa na Yule mwingine wa Kagera sugar wanaitwa genge halafu tenda ya kuagiza sukari inapewa kampuni ya kuuza vifaa vya simu!!!!
Yaani wanaiba pesa wanaficha halafu wanataka na wafanyabiashara wafilisike CCM inaonea watanzania
Inategemea na kiwanda, baadhi ni gharama hasa kama Raw material hazitoki Tanzania ila kwa ambavyo raw material na kila kitu inatoka Tanzania vipo ambavyo ni competitive.Nimemsikiliza balozi wa Uingereza nchini Tanzania anayemaliza muda wake David Concur anasema wazalishaji wengi wa Tanzania wanashindwa kulihudumia soko la ndani kwa sababu bidhaa za kuagiza ni nafuu zaidi. Hii inasababisha viwanda vichache kufunguliwa na kupelekea upungufu wa ajira.
Mfano mzuri, ni vitenge vinavyozalishwa hapa nchini bei yake ni juu kuliko vinavyoagizwa nje hii inamaanisha gharama za uzalishaji Tanzania ni kubwa kupitiliza.
Ukienda kariakoo, na masoko yote makubwa utagundua bidhaa nyingi zinatengenezwa China. Hata vifaa Kama furniture vinatokea China ilhali mazao ya misitu yanatoka huku Africa.
Tunashindwa nini kuongeza uzalishaji? Sera mbovu!, nini kifanyike tuwajengee uwezo wazawa na wageni kuweka viwanda nchini.
TIC inajitahidi kuhamasisha uwekezaji lakini ni lazma ziwepo jitihada za makusudi kurekebisha Sera zetu. Nchini China, Taiwan, India au Korea uchumi wa viwanda unachangia Sana pato la taifa.
4R HOYEE
Hao ni wenye TIN lakini hali ni mbaya kwa wafanyabiashara hasa wa viwandaNi changamoto sana, halafu hao hao utasikia wanasema Tanzania ina walipa kodi wachache yani 2M out of 61M people. Viwanda hakuna, uzalishaji upo duni,yani kila kitu kigonjwa kuanzia kichwa mpaka miguu.
Kati ya kitila mkumbo na mbowe yupo anaakiliHii nchi haina viongozi, waliopo ni watawala tena Wabinafsi, Hebu fuatilia Wizara ya viwanda, halafu angalia wizara ya Uwekezaji ambayo yuko Kitilla Mkumbo, badala ya kulia utaishia kucheka tu
OK lakini tatizo ni kubwa Sana tolea mfano Sukari wanaozalisha hapa gharama za uzalishaji ni juu ilhali wanalima hapa!!! Sasa nakubaliana nawewe lakini Siyo rahisi Kama ulivyosema una mtaji wa 200M inakuwa heri uagize bidhaaInategemea na kiwanda, baadhi ni gharama hasa kama Raw material hazitoki Tanzania ila kwa ambavyo raw material na kila kitu inatoka Tanzania vipo ambavyo ni competitive.
Mfano viwanda vya tiles, inyotoka Tanzania ni bei rahisi sana compare na zinazotoka Nje, Mashuka ya Nida, Metl ama kile kiwanda cha Arusha bei rahisi na ni cotton, hata hivyo vitenge na Kanga not necessarily vya nje ni bei rahisi, it's just watengenezaji wa ndani capacity ni ndogo hivyo kupelekea demand kuwa kubwa inadababisha watu waagizishie nje.
Tunatengeneza taifa la wachuuzi watupu.Tumeamua kuwa wateja wa bidhaa za nje na sio kuzalisha bidhaa za kwetu. Hatutakuja kuendelea kwasababu siku zote mteja hujenga uchumi wa mwenye bidhaa
Hii Nchi Nyerere aliacha kwenye mikono ya Wahujumu Uchumi.Nimemsikiliza balozi wa Uingereza nchini Tanzania anayemaliza muda wake David Concur anasema wazalishaji wengi wa Tanzania wanashindwa kulihudumia soko la ndani kwa sababu bidhaa za kuagiza ni nafuu zaidi. Hii inasababisha viwanda vichache kufunguliwa na kupelekea upungufu wa ajira.
Mfano mzuri, ni vitenge vinavyozalishwa hapa nchini bei yake ni juu kuliko vinavyoagizwa nje hii inamaanisha gharama za uzalishaji Tanzania ni kubwa kupitiliza.
Ukienda kariakoo, na masoko yote makubwa utagundua bidhaa nyingi zinatengenezwa China. Hata vifaa Kama furniture vinatokea China ilhali mazao ya misitu yanatoka huku Africa.
Tunashindwa nini kuongeza uzalishaji? Sera mbovu!, nini kifanyike tuwajengee uwezo wazawa na wageni kuweka viwanda nchini.
TIC inajitahidi kuhamasisha uwekezaji lakini ni lazma ziwepo jitihada za makusudi kurekebisha Sera zetu. Nchini China, Taiwan, India au Korea uchumi wa viwanda unachangia Sana pato la taifa.
4R HOYEE
Kwa sasa hadi Meza ya kulia inatoka china tena meza ya huma au plastic. Wakati huo huo Wachina wao wanabeba mbao na magogo kupeleka kwaoTunatengeneza taifa la wachuuzi watupu.