Tonyblair
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 424
- 413
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daahKabisa K yenyewe ishazeeka na kavu michango yote ya nini mtu hata period haingii tena,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daahKabisa K yenyewe ishazeeka na kavu michango yote ya nini mtu hata period haingii tena,
Namyaka sana msela wangu ,Game Changer and The Entertainer 😀 😀 😀.Haaaaa Haaaaa 😂 kumbe unamuelewaga, Haaaaa 😂
Kabla ya vicoba tutafute namba ya mganga wa Dida...tunaweza kumtengeneza kidukulilo tukapata mtaji.Dinazarde shoga angu tuanzishen vicoba Jaman vya wadada wa JF maisha magumu na umbea haulipi, Siku hizi nauza uji wa ulezi, tujikusanyeni wambea wenzangu tuanzishe vicoba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMmh dida kapata au hilo serengeti ndo limepata sugar mom la kulelewa nalo, mwanaume gan wa maana atamuoa Dida na wewe Jaman , Mwanamke mchawi kama nin yule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, njoo tu share bwana binamu, why unakaa heda wee nae lolWanazengo na nyie mna midomo[emoji23][emoji23], kwanza na nyie mmeolewa au ndo mko heda kama warum hapai[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HUBA inalipa jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binamu Dida atakua kakuibia mume sio kwa vichambo hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... shoga make ups kutwa mara tatu na zinadunda, anaonekana kama zile poda wanazopakwa maiti, Dida ana sura nzito Jaman looh ila wanaume wana huruma
Na picha zao unazo kwa gallery? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama sio Mwanamke basi anaweza kuwa na urafiki na kina Giggy.
View attachment 1792931
View attachment 1792936
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda million nne ya zimbabwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabla ya vicoba tutafute namba ya mganga wa Dida...tunaweza kumtengeneza kidukulilo tukapata mtaji.
Na picha zao unazo kwa gallery? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hyo pua sijapenda kwakweliShoga nae ana uso mpana kama uji wa muhogo mxieew , usikute ni age mate na mama Diamond yule
Bahati ya kuolewa na kuachika?Watu na manyota yaooo!kuanzia mchops,G na Ezden Leo anaolewa 4th time!
Usililie uzuri Lilia bahati
Kwa kipato gani ndo maana wadada wengi ni wadangaji shughuli za maana hawana ila starehe wanataka alafu wanamaisha ya kushindana yaani ni vichekeshoLabda million nne ya zimbabwe
AnaoaBahati ya kuolewa na kuachika?
Yaap aliolewa Akaishia kutimuliwa vitu vyake na kibegi chake cha mkononi akarushiwa nje hukoo!alikua anajiita Dida wa E...Hadi ezden aliolewa?
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]unakumbukukumbu nzuri sanaaUmesahau alifurushwa na rambo amshukuru yule bavicha