Ungeutoa toka juzLabda coacher anasoma jf
Huyo fala aliyesababisha hiyo kona ni nani ?
Huyo fala aliyesababisha hiyo kona ni nani ?
Tumeshalala...Huyu kocha anapanga kikosi dhaifu..!Kwa Kikosi cha hovyo kilichopangwa Kuanza badala ya kile ambacho nilikitoa jana hapa baada ya Kuhakikishiwa na ' Mtaalam ' wangu kutoka Pemba usipoteze muda wako Kuangalia na kama tutashinda basi ni kutoka nao Sare ila uwezekano wa Wao Kutufunga ni wa 95% japo kuna Kitu kinaitwa ' zali / bahati ' hivyo tunaweza tukafanikiwa vile vile. TFF na Benchi la Ufundi la Taifa Stars muwe mnaacha dharau pale tukiwa tunawashaurini Vitu vya Kiutamaduni / Kindumba.
Ubao unasomekaje wakuu?
Njoo huku msumbijYaani ni shida sana kuwa mtanzania.
ππππππΊπΊπΊπΊOvyo kabisa hawa.. Kusumbua watu tu
Umeniwahi.