Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

mbarika nilikuambia na kukuonya kuwa nilikuwa nimeshika ' Hirizi ' ili tusifungwe na nikakuambia naiachia na tunafungwa sasa hivi na hatimaye yametimia. GENTAMYCINE ni zaidi ya umjuavyo na muwe mnakuwa na adabu kwani hata Sisi pia tunahangaika na tumehangaika ila mnatudharau.
 
Tumeshalala...Huyu kocha anapanga kikosi dhaifu..!

Haiwezekani wachezaji wa aina moja watarajie kutupatia ushindi pale mbele..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…