Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Taifa Stars ingeshinda leo ingefuzu moja kwa moja Fainali za mataifa bingwa ya Afrika baada ya miaka zaidi ya 30
Lakini ukiangalia fainali za kipindi hiki zimekuwa diluted, kwa maana badala ya mataifa 16 kama ilivyokuwa kawaida ingekuwa mataifa 24
Ila ingeshinda na kufuzu,

Lakini kwa wengi dilution hiyo isingetazamwa, kingetazamwa ni kitisho cha Rais Magufuli kuwa wangezitapika hela endapo wasingefuzu

Rais wetu mpendwa, John Magufuli alipooita Timu ya Taifa Ikulu aliwapa Sh. Milioni 50 na kuwaambia wasingeshinda hiyo hela wangeitapika kwa namna nyingine, pia aliwaambia alikuwa anafikiria ku deploy jeshi ndio liwe timu ya Taifa...


Basi kitisho hicho kingetumiwa kama propaganda kuwa Watanznia tunafeli kwenye mambo mengi tu sababu hatujatishwa vizuri.

So ingekuwa ni mwendo wa kutisha kila mahali bila kujali mipango

So kwa kuwa hatujashinda pengine tutajifunza kuwa mafanikio ni process na sio kitu cha short term kinachotokana na vitisho
Usimlishe maneno mh Rais tena nakusihi uwe na adabu!
 
Timu ya Taifa la Tanzania maarufu kama Taifa Stars leo inashuka dimbani dhidi ya Lesotho katika mchezo wa leo kuwania kufuzu fainali mataifa ya Afrika AFCON 2019.

Taifa stars wataanza mechi ya leo kwa kumkosa mshambuliaji wake hatari Mbwana Samatta kutokana na Kadi ya Njano aliyoonyeshwa mchezo uliopita.

Kikosi cha Taifa Stars kinachotatajiwa kuanza katika mechi ya leo.

Rais Magufuli kufuatilia mechi ya Stars mbashara.
View attachment 938732

View attachment 938734

Taifa Stars waidhalilisha Tanzania na Rais Magufuli nchini Lesotho kwa kukubali kichapo, Zitto Kabwe ataka Waziri Mwakyembe ajiuzulu

Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania, Taifa Stars imekubali kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Lesotho kwenye mchezo wa kufuzu AFCON 2019.

Kwa matokeo hayo Taifa Stars inakuwa na alama 5 ikiwa imecheza michezo mitano jambo ambalo itahitajika kushinda dhidi ya Uganda kwenye mchezo wake wa mwisho huku ikiwaombea Cape Verde wenye alama 4 waitandike Lesotho.

Bado matumaini ni madogo kwa Taifa Stars kufuzu kwenda AFCON 2019. Mapema kabla ya mchezo huo Rais Magufuli aliwaomba vijana hao warudi nchini na ushindi lakini ndio hivyo mpaka dakika 90 wamekubali kichapo.
Afadhali tumefungwa, kuepuka mikelele ya wapiga tarumbeta wa jiwe
 
Taifa Stars ingeshinda leo ingefuzu moja kwa moja Fainali za mataifa bingwa ya Afrika baada ya miaka zaidi ya 30
Lakini ukiangalia fainali za kipindi hiki zimekuwa diluted, kwa maana badala ya mataifa 16 kama ilivyokuwa kawaida ingekuwa mataifa 24
Ila ingeshinda na kufuzu,

Lakini kwa wengi dilution hiyo isingetazamwa, kingetazamwa ni kitisho cha Rais Magufuli kuwa wangezitapika hela endapo wasingefuzu

Rais wetu mpendwa, John Magufuli alipooita Timu ya Taifa Ikulu aliwapa Sh. Milioni 50 na kuwaambia wasingeshinda hiyo hela wangeitapika kwa namna nyingine, pia aliwaambia alikuwa anafikiria ku deploy jeshi ndio liwe timu ya Taifa...


Basi kitisho hicho kingetumiwa kama propaganda kuwa Watanznia tunafeli kwenye mambo mengi tu sababu hatujatishwa vizuri.

So ingekuwa ni mwendo wa kutisha kila mahali bila kujali mipango

So kwa kuwa hatujashinda pengine tutajifunza kuwa mafanikio ni process na sio kitu cha short term kinachotokana na vitisho
wenzetu timu ilipata 250
 
Kulikuwa Hakuna haja ya kuwaanzisha sonso na sebo tena upande wa ulinzi Sonso hajawah kuanza mechi hata moja leo anamuanzisha pia Sebo hajawah anza. Leo anawapa kikosi cha Kwanza tena ugenini mechi unayotaka matokeo. Nyoni angekaa 2 na Gadiel 3 pale kati Mkude.kweli kamerooon hyo tunaiona kwa macho
Mabeki wangetakiwa wafunge?
 
Maandalizi mabovu kwenye vilabu na TFF haina falsafa ya mpira kila kocha anakuja na falsafa yake. Kama ilani ya uchaguzi upuuzi huu
Falsafa ya mwalimu ndio inaleta motisha ya kupambana?
Mbona Okwi na Juuko wapo Simba lakini wanapambana sana wakiichezea timu yao ya Taifa,na hapo unasemaje?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kiukweli kuna makundi mawili yanayoshindanisha dua zao , moja linataka Taifa Stars ishinde lingine linataka ishindwe , katika nchi ya namna hii si rahisi kufanikiwa .

Baada ya Timu yetu kufungwa goli hakuna wananchi wanaosikitika , ni nini kimeikumba nchi hii ?
Kama umesema kuna makundi mawili,kwanini Mwisho uhitimishe kuwa hakuna wananchi wanaosikitika?Huku niliko tu tulikua watanzania wengi sana tunafuatilia game na wengi tumetoka na majonzi makubwa mno.So msimamo wa kundi moja usipende kugeneralize
 
Hawa wachezaji wapelekwe kwenye kubangua korosho tu mpira hawawezi hata siku ya kucheza na Uganda watokèe huko Mtwara
 
IMG_20181118_201732.JPG
 
Back
Top Bottom