Abdalla mpemba
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 657
- 908
Kwani aliyecheza mule ni mbowe na lemaPongezi nyingi kwa CHADEMA kwa kufanikisha hili [emoji173]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani aliyecheza mule ni mbowe na lemaPongezi nyingi kwa CHADEMA kwa kufanikisha hili [emoji173]
Tatizo hamukumchukua jechaMechi ilikuwa yetu kabisa hii
Mjinga ww hata akipigiwa mkeo utasema CCMYote haya yanasababishwa na maccm
Teh teh teh wamechomoa betriTatizo hamukumchukua jecha
Ikipelekwa clip CAF linafitwa ,kiukweli lifa alishindwa kuumudu mchezo ila tukikata rufaa ile ni drowHivi haiwezekani lile goli la penati kufutwa? Maana ni dhahiri ilikosewa
Msuva apewe heshima yake inayostahiri
Lete tule hayo mavuno, tujipoze na maumivu ya kichwaNimetoka kutandaza mkeka wangu sasa hivi hapa mtandaoni, nimeweka laki 1. Stars anafungwa leo na Libya. Hivyo nimempa direct win Libya. Nategemea nivune zangu 180,000/= baada ya dakika 90.
Acha upumbavu nani kakuambia hapa ribya hakuna serkal
State agent
Maccm yamesababisha umeni quote.Mjinga ww hata akipigiwa mkeo utasema CCM
State agent
Huna akili wewe, ccm inakujaje hapo. Kila mtu ana starehe yake, ndio mana wengine tunatoka kuangalia game now , wewe cc tumefurahi vjana walivyopambana , unatuletea tena siasa hapa ? Boya wewe kumm Nmamaccm
Anakwamisha sana ujenzi wa flyover pale Mwenge.Mbowe ndio tatizo,
Inabidi tukate rufaaIkipelekwa clip CAF linafitwa ,kiukweli lifa alishindwa kuumudu mchezo ila tukikata rufaa ile ni drow
State agent
Lawama zote zielekwezwa kwa maccmHuna akili wewe, ccm inakujaje hapo. Kila mtu ana starehe yake, ndio mana wengine tunatoka kuangalia game now , wewe cc tumefurahi vjana walivyopambana , unatuletea tena siasa hapa ? Boya wewe kumm Nma
Kweli kabisa mkuu, yaan hawa wazee wakubeti ndo wanasababisha hizi maana zote, maana huko wanakokaa no mwendo was kuombea mikeka yao na kubinya/kukandamiza pumbu zao mikeka ipumue.. Manina zaoSiku hizi watu hawana mapenzi ya dhati na timu.. Wanashangilia mikeka tuu uzalendo Hakuna kabisa.