Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

Ana mapenzi na Genk akija kwenye taifa stars anacheza upuuzi tu
Anaangali kesho yake. Akiumia sababu ya Taifa stars,yeye ndo atakaepata hasara. Kwanza hawalipwi mkwanja mrefu.
 
Wakuu, naomba kujuzwa jina la referee wa mechi ya leo nataka nmtimbie insta kama Diata!
 
Ongezea na rangi ya kijani imetucost,rangi nyekundu huwa inaiadhibu rangi ya kijani popote pale duniani
Nalog off
 
Bora mzungu kuliko Muarabu... Yani majamaa yamekaa kivita vita... Bora ata wamepewa kadi nyekundu moja
 
Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.

Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.

Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.

Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.

Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.

Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?

Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.

Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.

Captain Captain Captain kitu gani!
 
Watu wanatk kupiga maendleo km nchi we unaleta utoto wako hajui tu ni jinsi gan hz point tatu tutakuja kuzikumbka mbelen shenziikabisah

Pili beki namba mbili taifa km tz bado halina beki 2 Ya uhakika huyu kimenya alienza alikua tatzo na uYo kessY alieingia kawa tatzo zaid Mpk ss nashndwa kuelew kwann mtu km Paul godfreY au juma abdul hawaitw hii namba Beki mbili ujui kukaba kis kile

Mi nshasema waarab sio kwamba wanatuzid mpira mbaali sana tatzo lipo jins Ya kuweka upambanaji katka vtu tunavyohitaj Hiz point tatu za LibYa ztatuuma sana uko mbelen zilikua za bure kbs
 
Back
Top Bottom