Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

Mkuu mi nilikuwa nafuatilia streaming youtube live account ya bongo zozo,bongo zozo alipiga kelele Samataaaa ,samata akageuka akacheka na mpira ukapotea,bongo zozo akasema mnaona nimemwita samata kageuka hadi kacheka sijaona star mkubwa anakusikia anageuka,samata layupo serious
Yeah anajituma anapambana kwa jasho na damu,Samata anapoteza mpira then anacheka na kutembea kifaza
 
Mkuu mi nilikuwa nafuatilia streaming youtube live account ya bongo zozo,bongo zozo alipiga kelele Samataaaa ,samata akageuka akacheka na mpira ukapotea,bongo zozo akasema mnaona nimemwita samata kageuka hadi kacheka sijaona star mkubwa anakusikia anageuka,samata layupo serious
Kazingua sana tangu first game ya Eq Guinea hapa,akatetewatetewa na media, ila sasa hali yenyewe imebaki vile vile
 
Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.

Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.

Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.

Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.

Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.

Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?

Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.

Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.

Captain Captain Captain kitu gani!
Utakuwa unakaa Mbagala
 
Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.

Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.

Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.

Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.

Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.

Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?

Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.

Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.

Captain Captain Captain kitu gani!
Umejaa chuki na wivu tu... Huna lolote.

Mane anavyiichezea timu yake ya taifa in sawa na anapokuwa Liver. !?
 
Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.

Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.

Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.

Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.

Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.

Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?

Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.

Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.

Captain Captain Captain kitu gani!
To a ujinga wako usimlinganishe MTU aliyefikia kiwango cha kuwa mchezaji bora kwa wachezaji wanaocheza Africa na mchezaji wa kawaida ambaye team yake club bingwa Africa imeshindwa kabisa kwenda . unataka avunjike ndio utoe pole zisizo na msaada ?wewe na wenzako ndio mnao mlaumu Messi,salah wakiwa team za taifa mnataka wacheze mpaka waumie ndio mtambue michango yao.
 
Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.

Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.

Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.

Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.

Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.

Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?

Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.

Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.

Captain Captain Captain kitu gani!
Asiyekuelewa abaki na ukilaza wake

Kwakweli ukiangalia ari na jinsi ambavyo S. Msuva anajitoa, anakimbia, anaangushwa na anavyopambania nchi yake huwezi kumfananisha na huyu mtoto aliyekwishajazwa sifa.

Samatta ni wazi kabisa akijaga bongo hapambani kama striker, anacheza kwa uoga wa kuumia.

Ni kama hana uchungu na taifa lake.

Kwishney
 
Ungesikia maelezo ya kiufundi ya kocha ungeelewa kwanini samata anacheza hivyo anavyocheza.
Asiyekuelewa abaki na ukilaza wake

Kwakweli ukiangalia ari na jinsi ambavyo S. Msuva anajitoa, anakimbia, anaangushwa na anavyopambania nchi yake huwezi kumfananisha na huyu mtoto aliyekwishajazwa sifa.

Samatta ni wazi kabisa akijaga bongo hapambani kama striker, anacheza kwa uoga wa kuumia.

Ni kama hana uchungu na taifa lake.

Kwishney
 
Kuna haja ya V.A.R kutumika kwenye haya mashindano! Ile penati refa katuua
 
To a ujinga wako usimlinganishe MTU aliyefikia kiwango cha kuwa mchezaji bora kwa wachezaji wanaocheza Africa na mchezaji wa kawaida ambaye team yake club bingwa Africa imeshindwa kabisa kwenda . unataka avunjike ndio utoe pole zisizo na msaada ?wewe na wenzako ndio mnao mlaumu Messi,salah wakiwa team za taifa mnataka wacheze mpaka waumie ndio mtambue michango yao.
Sijawahi kugeuza neno langu kisa halimpendezi mtu.

Liwe jema au baya kwako kwangu limetoka bila unafiki.
 
Umejaa chuki na wivu tu... Huna lolote.

Mane anavyiichezea timu yake ya taifa in sawa na anapokuwa Liver. !?
Hivyohivyo kwako pia umejaa chuki na wivu kuchukia kile nachoamini.

Unataka tuwe PT. (Praise Team) piga mapambio mwenyewe sitaki kuwa kwenye kwaya yenu.
 
Usianzishe ligi nyingine mzee...suburi kukuche ukabishane vkaoni huko...
For now wacha tuombee ushindi.
ipo siku ndio mtajua kuwa msuva anamchango mkubwa kwa taifa kuliko huyu jamaaa samata
 
Narudia tena

Msuva 1=Samata 2 najua wengi watakataa ila linapokuja swala la kupambana asee msuva weka mbali na watoto.
 
Back
Top Bottom