Yeah anajituma anapambana kwa jasho na damu,Samata anapoteza mpira then anacheka na kutembea kifaza
Kazingua sana tangu first game ya Eq Guinea hapa,akatetewatetewa na media, ila sasa hali yenyewe imebaki vile vileMkuu mi nilikuwa nafuatilia streaming youtube live account ya bongo zozo,bongo zozo alipiga kelele Samataaaa ,samata akageuka akacheka na mpira ukapotea,bongo zozo akasema mnaona nimemwita samata kageuka hadi kacheka sijaona star mkubwa anakusikia anageuka,samata layupo serious
Utakuwa unakaa MbagalaSikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.
Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.
Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.
Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.
Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.
Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?
Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.
Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.
Captain Captain Captain kitu gani!
Jamaa wa Mbagala mivogue ya Samatta inamtia upofuAcha aendelee kuongeza caps tu,matokeo kitu gani? Msuva apewe heshima yake Tz
Bora wacheze local players tujue moja tu,kuliko kuchezesha watu wasio na uchungu na timuJamaa wa Mbagala mivogue ya Samatta inamtia upofu
Umejaa chuki na wivu tu... Huna lolote.Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.
Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.
Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.
Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.
Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.
Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?
Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.
Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.
Captain Captain Captain kitu gani!
To a ujinga wako usimlinganishe MTU aliyefikia kiwango cha kuwa mchezaji bora kwa wachezaji wanaocheza Africa na mchezaji wa kawaida ambaye team yake club bingwa Africa imeshindwa kabisa kwenda . unataka avunjike ndio utoe pole zisizo na msaada ?wewe na wenzako ndio mnao mlaumu Messi,salah wakiwa team za taifa mnataka wacheze mpaka waumie ndio mtambue michango yao.Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.
Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.
Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.
Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.
Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.
Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?
Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.
Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.
Captain Captain Captain kitu gani!
Asiyekuelewa abaki na ukilaza wakeSikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.
Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.
Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.
Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.
Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.
Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?
Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.
Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.
Captain Captain Captain kitu gani!
TZ Kichwa cha mwendawazimuNingewaelewa atleast wangepata Patulo(draw)... Maana metch ilikuwa yetu ile
Unajiskiaje hapo BrohUnajisikiaje hapo ulipo Blaza[emoji41][emoji41][emoji41]
Asiyekuelewa abaki na ukilaza wake
Kwakweli ukiangalia ari na jinsi ambavyo S. Msuva anajitoa, anakimbia, anaangushwa na anavyopambania nchi yake huwezi kumfananisha na huyu mtoto aliyekwishajazwa sifa.
Samatta ni wazi kabisa akijaga bongo hapambani kama striker, anacheza kwa uoga wa kuumia.
Ni kama hana uchungu na taifa lake.
Kwishney
Hebu tuambie tu hata elekezo moja ulilosikia ili tupime kama lina logic.Ungesikia maelezo ya kiufundi ya kocha ungeelewa kwanini samata anacheza hivyo anavyocheza.
Dozi imekuingia lofa weweLeo mpo Libya kwa muda.
Hata ningekuwa nakaa Buza huna lolote la kuniambia.Utakuwa unakaa Mbagala
Sijawahi kugeuza neno langu kisa halimpendezi mtu.To a ujinga wako usimlinganishe MTU aliyefikia kiwango cha kuwa mchezaji bora kwa wachezaji wanaocheza Africa na mchezaji wa kawaida ambaye team yake club bingwa Africa imeshindwa kabisa kwenda . unataka avunjike ndio utoe pole zisizo na msaada ?wewe na wenzako ndio mnao mlaumu Messi,salah wakiwa team za taifa mnataka wacheze mpaka waumie ndio mtambue michango yao.
Hivyohivyo kwako pia umejaa chuki na wivu kuchukia kile nachoamini.Umejaa chuki na wivu tu... Huna lolote.
Mane anavyiichezea timu yake ya taifa in sawa na anapokuwa Liver. !?
ipo siku ndio mtajua kuwa msuva anamchango mkubwa kwa taifa kuliko huyu jamaaa samataUsianzishe ligi nyingine mzee...suburi kukuche ukabishane vkaoni huko...
For now wacha tuombee ushindi.