Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

Umemaliza kila kitu mkuu
Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.

Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.

Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.

Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.

Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.

Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?

Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.

Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.

Captain Captain Captain kitu gani!
 
Yeah anajituma anapambana kwa jasho na damu,Samata anapoteza mpira then anacheka na kutembea kifaza
Kweli inakera Sana kuona wengine wote uwanjani wanapush kupata matokeo halafu yeye anatembea Tu uwanjani na mpira akipewa anauchezea chezea anaupoteza halafu anatembea kawaida tu,Hana haraka,uchungu na timu wala hajitumi kuutafuta mpira kama anavyofanya Genk! Mbaya Sana aisee... Samatta nchi yako lakini kama umekodiwa?
 
Ila na yule mwamuzi mpumbavu wa Malawi hastahili kabisa kuchezesha Afcon! Yaani mpira umegonga goti, halafu anaweka tuta!

Samatta kama nahodha akashindwa kabisa kwenda kumparamia! Bora angepewa hata kadi ya njano kwa kwenda kumuambia ukweli.
Kwa upande wangu/kwamacho yangu mimi naona refa alikua fea sana kwa upande wetu sema ile penaelt tu ndio iliyomtia doa
 
Nilimdharau Samata pale alipohojiwa kuelekea AFCON akasema ni juhudi za awamu ya 5.
 
Nilimdharau Samata pale alipohojiwa kuelekea AFCON akasema ni juhudi za awamu ya 5.
2021 AFCON Tanzania haiendi ng'o mechi za away anapigwa zote, za nyumbani atashinda mbili tu Tunisia anakuja kumkalisha hapahapa
 
Narudia tena

Msuva 1=Samata 2 najua wengi watakataa ila linapokuja swala la kupambana asee msuva weka mbali na watoto.
Wewe endelea kujidunisha akili Samata ndie godfather wa soka la Tanzania toka miaka ya 1970 ulishasikia mchezaji kutoka Tanzania amecheza uefa champions league ? Umeshasikia mchezaji kutoka Tanzania kawa mfungaji bora club bingwa Africa ?umeshasikia mchezaji kutoka Tanzania kabeba tuzo ya mchezaji bora wa Africa mashindano ya ndani? Chukua hii mpaka kufikia mwaka 3000 na kuendelea kuna Samata mmoja tu ,usilinganishe Samata na wachezaji wa kawaida
 
Sikupata muda wa kutazama mechi ya leo dhidi ya Libya.

Kama mtanzania huru na mzalendo acha niseme kidogo. Nimeona mjadala kuhusu mchango wa Samata kwenye timu ya Taifa, naomba nipige msumari hapo hapo haya ya matokeo siyazungumzii.

Kwa miaka mingi tumekosa wachezaji haiba ya Samata hapa nchini, ni wazi toka tupate uhuru ndiye mchezaji aliyecheza soka la mafanikio kuliko yeyote yule. Samata huonekana machoni mwa wengi kuwa ni bora huwenda tu anawapumbaza na vitu vichache ambavyo kwa macho ya mihemko huwezi kuvigundua.

Lazima tukubali kuwa tuna captain ambaye hana uchungu na timu yake, hana uchungu na taifa lake ila ana uchungu na hicho klabu chake ambacho kimemjaza sifa hadi kuona Taifa Stars ni ya kuchezea huku unalinda kuumia. Kuna sehemu za huyu kijana kufanyia mzaha ila siyo kwenye timu ya taifa. Kama anaogopa kupata majeraha kisa klabu yake basi atoke timuni.

Tunashindwa kumuimba Msuva kisa giza la huyu kijana ambaye mabega yake hataki yaumie kisa hofu ya majeraha! Tuna vichezaji vya hovyo sana kwenye hili taifa.

Huo upatu anaopigiwa kwenda EPL aende kwa mpira upi huo ambao utaduwaza wazungu. Ni mpira upi ambao hauchezi kwenye timu ya taifa na anataka aupeleke England?

Sijawahi kukubali na sitokuja kukubali kuwa Samata ni mchezaji bora Tanzania, labda niwe nimewehuka akili ishindwe kupambanua mambo.

Wekeni rangi 4 za bendera yetu mabegani mwenu kama Msuva, Yondani na wengine wafanyavyo. Siyo kupaka rangi mpira kwa sifa za kijinga. Ukweli mzito ambao Samata hawezi kuamini ni kuwa mpira wake hauwezi kufika hata nusu ya mpira achezao Msuva.

Captain Captain Captain kitu gani!
Kama ukiangalia lile holi alopiga msuva uwwnja wa taifa dhid ya guinea
Kapinduka nusura kuumia Ila sio samatta asingejisumbua vile
Nadhan samatta haifikii hadhi ya msingi .....ila msuva anastahili
 
Back
Top Bottom