Kuhani Musa akutana na kusalimiana Rais Samia Ikulu

Kuhani Musa akutana na kusalimiana Rais Samia Ikulu

Taifa linawaheshimu waganga wa kienyeji kama yule mzee wa kikombe kule Loliondo
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.

Jina la Bwana lihimidiwe

View attachment 2953924
Kuhani tena? Padri haitoshi?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.

Jina la Bwana lihimidiwe
Hawa waganga njaa tu kwanini hawafanyi miujiza
  1. Nchi ikajitambua
  2. Tukaondokana na utegemezi
  3. Wao wakawa donnors badala ya kuwa recepients wa sadaka
  4. Tukaondokana na magonjwa
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.

Jina la Bwana lihimidiwe

View attachment 2953924
Namuona Mpango kama kachefuliwa hivi.
 
Siku hizi mitume na manabii wanajipendekeza sana Ikulu. Hata kwenye lile tamasha la pasaka lililoandaliwa na wasafi walijazana wengi sana huku PM akiwa mgeni rasmi.
Ukiwa na pesa na umaarufu unakaa siti ya mbele
 
Huduma zake za kiroho ni zauhakika
 

Attachments

  • 1712253765391.jpg
    1712253765391.jpg
    110.5 KB · Views: 2
Ndo nani huyo huko Dasilamu? Sisi wa huku Tandahimba hatumjui
 
Ndiyoooooh! Amiiiiiina! Maubiri yake yana vionjo vyaujanja flani ila kiukweli hajaiva vyema kiufundishaji.
Kukutana tuu na rais siyo habari yakuleta humu,Sasa mtoa mada unataka tujadili Nini??
 
naona HAWAJASHIKANA MIKONO pili Wanaangaliana sana machoni haponi mwendo wa kusomana tuuuu
 
Back
Top Bottom