Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
OkHata mimi ndio namsikia leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkHata mimi ndio namsikia leo.
sio hela hawacharge fedha.Hivi kumiona sh ngapi vile?
Yule alikuzwa makusudi Ili kuzima mijadala muhimu ya kitaifa enzi zileTaifa linawaheshimu waganga wa kienyeji kama yule mzee wa kikombe kule Loliondo
Hawa waabudu mashetani na CCM ni kitu kimoja. Kiki za kipuuzi tu, eti Kuhani huyo ni grandmaster la kutupwaWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2953924
ila kwenye suala la kuheshimu viongozi wa dini,tuseme tu ukweli viongozi wa watanzania wote wana waheshimu.na wote wana imani . japo wanasema serikali haina dini.ila viongozi wanazo dini.na si jambo baya kumjua MUNGU.Siku hizi mitume na manabii wanajipendekeza sana Ikulu. Hata kwenye lile tamasha la pasaka lililoandaliwa na wasafi walijazana wengi sana huku PM akiwa mgeni rasmi.
Umepigaje hapoKwenye Tamasha la Pasaka ulitegemea wajae dada poa wa Sinza?
Dunkwa hiyo anashinda Kwa waganga wa jadi😊Utamjulia wapi jamaa yangu na wewe unashinda Bagamoyo na Handeni!
Yeye watu kumwona wanatoa 100,000/=. Sasa sijui yeye katoa ngapi kumuona Mhe Raisi.?!Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2953924
Mimi binafsi nlikuwa mgumu wa haya makanisa na nlianza kumsikia na kumfwatilia toka akiwa mwenge ila nlikuja kwenda kwake ashahamia temboni sababu ya mambo flani na nashukuru nlifanikiwa na nliona matokeo 100% halijakukuta mpaka likukute ipo nguvu.I appreciate kuhani mussa, kuna issue ambazo siamini mpaka leo, jinsi nilivyotibika, of course nilikuwa na shida ya usingizi silali usiku kucha, lakini nilipo kwenda kwake mara tatu tu, nikashangaa napata usingizi vizuri mno, simbezi wala kumkebei.
-Mungu amuongeze upako!
Kabisaaa, eti Kuhani!!Matapeli ya Dar