Amekutana na mwenzake wanaomwabudu mungu (sio Mungu) wao 1 kwenye majumuiko yaoWa wapi tena huyo. Maana hawa watawala siku hizi wanatapatapa na wako tayari kuonekana hata na ibilisi ili tu wavutie wapiga kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekutana na mwenzake wanaomwabudu mungu (sio Mungu) wao 1 kwenye majumuiko yaoWa wapi tena huyo. Maana hawa watawala siku hizi wanatapatapa na wako tayari kuonekana hata na ibilisi ili tu wavutie wapiga kura.
Sana tena mno ona hapa Mama Samia alimtuma mkuu wa Mkoa Chalamila apeleke sadaka yake kwa Mtume Bulldozer Mwamposya sadaka ya Shukrani kwa Mambo Mungu kamtendea yeye kama Raisiila kwenye suala la kuheshimu viongozi wa dini,tuseme tu ukweli viongozi wa watanzania wote wana waheshimu.na wote wana imani . japo wanasema serikali haina dini.ila viongozi wanazo dini.na si jambo baya kumjua MUNGU.
Tanzania kwa nchi zote Ukanda wa Afrika Mashariki na jumuiya ya Afrika Mashariki hakuna nchi yenye viongozi wakuu wanaheshimu viongozi wa dini kama Tanzaniaila kwenye suala la kuheshimu viongozi wa dini,tuseme tu ukweli viongozi wa watanzania wote wana waheshimu.na wote wana imani . japo wanasema serikali haina dini.ila viongozi wanazo dini.na si jambo baya kumjua MUNGU.
Sasa Mungu akimwambia asiseme? Kwa kukuogopa wewe au? Yeye anasikiliza Mungu anachomwambia sio yeyote.Mungu akimwambia hivyo atasema na hakuna ubaya.Katimiza alichoambiwa na MunguMuda sio mrefu atatoa unabii juu ya ushindi was kishindo wa mama 2025!
Sio kipilimba kweli.aliechangamka!!?!!?
Baadhi yetu hubeza, lakini binafsi niliponywa..., sometime haya mambo hutusaidia sana pale ambapo tunakuwa tumetafuta suluhu na kushindwa kujua tufanyaje?Aminaaa ya radi
Tupatie hadithi yake tupate kumfahamu kwa kina,although hayo hayana msaada sana.Namjua kabla ya kuhamia Sinza lion....baadae akaenda MWENGE
Raisi ni kiongozi wa watu wengi akiwemo Raisi Samia anakutana na viongozi wenzie wenye watu wengi ulitaka aende kukutana na viongozi wenye watu kidogo au akutane na viranja mamonitor wa darasa lenye watu 35? Au ?Serikali inaangalia nani ana watu wengi ndo inamuweka karibu.
Wasichojali ni kwamba hata shetani ana watu wengi.
Sijasema Nabii Mussa ana uswahiba na shetani
Pale Sinza lion niliamua kuondoka kwan nilipata mafunuo JINA LA YESU SI KWA AJILI YA KUUWA BALI kuokoa, sasa pale kwa Kuhani mchawi wako asipoacha anakufa eti....sasa unauwaje kwa jina la YESU?Tupatie hadithi yake tupate kumfahamu kwa kina,although hayo hayana msaada sana.
Mchawi si wa kumuacha aishi, "yaelekea hili limekukera sana"Pale Sinza lion niliamua kuondoka kwan nilipata mafunuo JINA LA YESU SI KWA AJILI YA KUUWA BALI kuokoa, sasa pale kwa Kuhani mchawi wako asipoacha anakufa eti....sasa unauwaje kwa jina la YESU?
Pili: Je MUNGU anawachukia wachawi kiasi kwamba hataki waishi.....kwamba usimwache mwanamke mchawi aishiii...je mwanaume mchawi....haya ni mambo ya AGANO LA KALE, MUNGU anatupenda sote mchawi, mwizi, mrozari, mlokole ndio maana hatubaguni wooote anatulisha na kutunyeshea mvua
Kikichokukimbiza uchawi wewe kama sio mchawi ulitoroka nini wakati ni muumini mwema tu kama sio mchawi?Pale Sinza lion niliamua kuondoka kwan nilipata mafunuo JINA LA YESU SI KWA AJILI YA KUUWA BALI kuokoa, sasa pale kwa Kuhani mchawi wako asipoacha anakufa eti....sasa unauwaje kwa jina la YESU?
Pili: Je MUNGU anawachukia wachawi kiasi kwamba hataki waishi.....kwamba usimwache mwanamke mchawi aishiii...je mwanaume mchawi....haya ni mambo ya AGANO LA KALE, MUNGU anatupenda sote mchawi, mwizi, mrozari, mlokole ndio maana hatubaguni wooote anatulisha na kutunyeshea mvua
Akili pana za kuwazua unazo wewe mkuu.Hawa waganga njaa tu kwanini hawafanyi miujiza
- Nchi ikajitambua
- Tukaondokana na utegemezi
- Wao wakawa donnors badala ya kuwa recepients wa sadaka
- Tukaondokana na magonjwa
Kijana mdogoWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2953924
Kwamba muumini anaingia Kanisani na hirizi?na wewe kabisa unaamini hizo drama!Huyu Kuhani Mussa anatakua amepata info zooote za mama hapo. Maana kansan kwake hata uje na hirizi atakuinua tu
Huko wanae muwakilishi wao na siyo mwengine ni GwajumaDuh hawa matapeli wameshinda
Ikulu, bungenikote wanatia timu
Ova
Kafanye wewe fursa hiyo umeiona changamkia weweHawa waganga njaa tu kwanini hawafanyi miujiza
- Nchi ikajitambua
- Tukaondokana na utegemezi
- Wao wakawa donnors badala ya kuwa recepients wa sadaka
- Tukaondokana na magonjwa
Haupaswi kuziba masikio,yaani niseme simu yangu iliingia hela kutoka kusikojulikana tena nipo Kanisani then wewe hapa unasema watu wazibe masikio wengine kupiga makofi?Hao unapashwa kuziba masikio mkuu
Umenunua nguzo ngapi kwenye mjengo wake?Kiongozi wa kiroho namkubbali sana.