Kuhani Musa akutana na kusalimiana Rais Samia Ikulu

Kuhani Musa akutana na kusalimiana Rais Samia Ikulu

Baadhi yetu hubeza, lakini binafsi niliponywa..., sometime haya mambo hutusaidia sana pale ambapo tunakuwa tumetafuta suluhu na kushindwa kujua tufanyaje?
Barikiwa Joannah
Watu wanapenda tu kubisha,ila tuliopata neema na kibali Huwa tunapiga tu Amina ya radi....Tunamtukuza Yesu Kristo wa Nazareth Mungu aliyehai
 
Pale Sinza lion niliamua kuondoka kwan nilipata mafunuo JINA LA YESU SI KWA AJILI YA KUUWA BALI kuokoa, sasa pale kwa Kuhani mchawi wako asipoacha anakufa eti....sasa unauwaje kwa jina la YESU?
Pili: Je MUNGU anawachukia wachawi kiasi kwamba hataki waishi.....kwamba usimwache mwanamke mchawi aishiii...je mwanaume mchawi....haya ni mambo ya AGANO LA KALE, MUNGU anatupenda sote mchawi, mwizi, mrozari, mlokole ndio maana hatubaguni wooote anatulisha na kutunyeshea mvua
hizo ni machaguo ya wanaadam kwa kulainisha maandiko kiuhalisia haiko hivyo anayeua kwa upanga naye atakufa kwa upanga ndio maana nawakubali ndugu zetu waislam wao nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Acheni kupenda kuficha vichaka vya uhaini kwa mungu kwamba anapenda na kusamehe wote ili muendelee kutenda dhambi ama kuthuru ukijua utatubu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.

Jina la Bwana lihimidiwe
Amen. Nami ni member wa Ngomeni.
P
 
Hakika uchaguzi umekaribia...

Naona mama kaongeza kasi ya kuwa karibu na manabii na mitume, maaskofu, wachungaji...
 
Mchawi si wa kumuacha aishi, "yaelekea hili limekukera sana"
-sasa hapa umetupa quiz 🔛
Kwa hiyo unafikiri MUNGU anawachukia wachawi? aliwahi kukupa wewe chakula akawanyima wachawi?

Luka 9:54​

Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipoona hayo, walisema, Bwana, wataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni, uwaangamize; [kama Eliya naye alivyofanya]? ----kumbuka Elia aliita moto ukawateketeza mabaali​

Luka 9:55​

Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]​

Luka 9:56​


Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine

UKISOMA HAPO HILO NI AGANO JIPYA UTAELEWA KUWA SI SAHIHI KUTUMIA JINA LA YESU KUUWA
 
hizo ni machaguo ya wanaadam kwa kulainisha maandiko kiuhalisia haiko hivyo anayeua kwa upanga naye atakufa kwa upanga ndio maana nawakubali ndugu zetu waislam wao nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Acheni kupenda kuficha vichaka vya uhaini kwa mungu kwamba anapenda na kusamehe wote ili muendelee kutenda dhambi ama kuthuru ukijua utatubu.
Kanuni za MUNGU si kama za wanadam.....ndio maana umezungumzia uislam ambao siujui kiundani, ila ukristo hakuna mahala jina la YESU limetumika kuuwa bali limetuka kuokoa, wakristo kiongozi wetu ni YESU na ndiye aliyekataa kuhukumu na ndiye aliyewaonya wanafunzi wake wasitende kama Elia kuagiza moto mbinguni kuteketeza mabaali Luka 9:54-56 kama sijakosea
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.

Jina la Bwana lihimidiwe

View attachment 2953924
Kwani Kuhani ndonkitu gani?
Naomba kuelimishwa please
 
Kwa hiyo unafikiri MUNGU anawachukia wachawi? aliwahi kukupa wewe chakula akawanyima wachawi?

Luka 9:54​

Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipoona hayo, walisema, Bwana, wataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni, uwaangamize; [kama Eliya naye alivyofanya]? ----kumbuka Elia aliita moto ukawateketeza mabaali​

Luka 9:55​

Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]​

Luka 9:56

Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine

UKISOMA HAPO HILO NI AGANO JIPYA UTAELEWA KUWA SI SAHIHI KUTUMIA JINA LA YESU KUUWA
Agano jipya pia hawakucheka na wachawi waliwaonyesha cha mtema kuni



Matendo 13:8-11
"Lakini Elima, yule mchawi (maana ndiyo tafsiri ya jina lake), akashindana nao, akitaka kumtia yule liwali moyo wa kuiacha ile imani.
9 Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akijaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho,
10 akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyoka?
11 Basi, angalia, mkono wa Bwana u juu yako, nawe utakuwa kipofu, usilione jua kwa muda. Mara kiwi kikamwangukia na giza, akazunguka-zunguka na kumtafuta mtu wa kumshika mkono na kumwongoza."

Mwisho wa kunukuu

Huyo mchawi alikuja kanisani mzima akapigwa upofu baada ya kuleta mambo ya kichawi kanisani
 
Kanuni za MUNGU si kama za wanadam.....ndio maana umezungumzia uislam ambao siujui kiundani, ila ukristo hakuna mahala jina la YESU limetumika kuuwa bali limetuka kuokoa, wakristo kiongozi wetu ni YESU na ndiye aliyekataa kuhukumu na ndiye aliyewaonya wanafunzi wake wasitende kama Elia kuagiza moto mbinguni kuteketeza mabaali Luka 9:54-56 kama sijakosea
kwa sababu wameshachenjua hio bilbilia wakuwekea wanachotaka unjue na kile kinachokinzana na mipango yao wakakitoa. Je ni kwanini kuna vitabu vya injili vimeondolewa vingi kwenye bibilia? najua hili swali umeshawahi kutana nalo zipo zilizokuwa zinaonya kwa ukali na kukataza na kuweka wazi baadhiya mambo ndipo wakavitoa.
Na je kwenye kitabu cha daniel pale mwisho kimetoa onyo gani? mtu uipunguze wala kuongeza neno katika hio biblia wao walipata wapi hio ruksa ya kubadilisha baadhi ya vitabu na maandiko?.
 
Maji ya chumvi,110000
Mafuta ya mzaituni 70000
Kumuuona na ii 120000
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa
 
kwa sababu wameshachenjua hio bilbilia wakuwekea wanachotaka unjue na kile kinachokinzana na mipango yao wakakitoa. Je ni kwanini kuna vitabu vya injili vimeondolewa vingi kwenye bibilia? najua hili swali umeshawahi kutana nalo zipo zilizokuwa zinaonya kwa ukali na kukataza na kuweka wazi baadhiya mambo ndipo wakavitoa.
Na je kwenye kitabu cha daniel pale mwisho kimetoa onyo gani? mtu uipunguze wala kuongeza neno katika hio biblia wao walipata wapi hio ruksa ya kubadilisha baadhi ya vitabu na maandiko?.
wewe hizo stori za kijiwe, ni nin kilichoondolewa kwenye biblia?
 
Agano jipya pia hawakucheka na wachawi waliwaonyesha cha mtema kuni



Matendo 13:8-11
"Lakini Elima, yule mchawi (maana ndiyo tafsiri ya jina lake), akashindana nao, akitaka kumtia yule liwali moyo wa kuiacha ile imani.
9 Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akijaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho,
10 akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyoka?
11 Basi, angalia, mkono wa Bwana u juu yako, nawe utakuwa kipofu, usilione jua kwa muda. Mara kiwi kikamwangukia na giza, akazunguka-zunguka na kumtafuta mtu wa kumshika mkono na kumwongoza."

Mwisho wa kunukuu

Huyo mchawi alikuja kanisani mzima akapigwa upofu baada ya kuleta mambo ya kichawi kanisani
Kaka elewa dira ya mkristo ni YESU KRISTO....mfano MUSA aliruhusu kuoa zaidi ya mmoja je YESU hakukataa? tusimame na MUSA au YESU....YESU alikuja kukamilisha torati....Clearing up misconception
 
Siku hizi mitume na manabii wanajipendekeza sana Ikulu. Hata kwenye lile tamasha la pasaka lililoandaliwa na wasafi walijazana wengi sana huku PM akiwa mgeni rasmi.
Ikulu sidhani ni pahala pa kujipendekeza, ukimuona mtu ikulu ujue kahitajika akaitwa.
 
Back
Top Bottom