Kuhani Musa akutana na kusalimiana Rais Samia Ikulu

Kuhani Musa akutana na kusalimiana Rais Samia Ikulu

Siku hizi manabii walio wengi wamegeuka kuwa machawa wa rais.Kilichotokea kwenye sherehe ya kutimiza miaka 17 ya WRM wengi tulibaki tunashangaa.
Kuna wale wanatoa ushuhuda milioni imeingia mpesa huwa napata shida sana, pesa inaingia from where!!!?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.

Jina la Bwana lihimidiwe

View attachment 2953924
Eti kuhani? Bila hata haya, hao ni matapeli wasio hata na aibu.
 
Hawa waganga njaa tu kwanini hawafanyi miujiza
  1. Nchi ikajitambua
  2. Tukaondokana na utegemezi
  3. Wao wakawa donnors badala ya kuwa recepients wa sadaka
  4. Tukaondokana na magonjwa
Haya fanya wewe, anayofanya yeye yanatosha
 
Amani ni upendo bila ugomvi, ni kinyume cha fujo ama vita, watumishi wa Mungu wanaisaidia Serikali katika eneo hilo.
 
I appreciate kuhani mussa, kuna issue ambazo siamini mpaka leo, jinsi nilivyotibika, of course nilikuwa na shida ya usingizi silali usiku kucha, lakini nilipo kwenda kwake mara tatu tu, nikashangaa napata usingizi vizuri mno, simbezi wala kumkebei.
-Mungu amuongeze upako!
Aminaaa ya radi
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.

Jina la Bwana lihimidiwe

View attachment 2953924
Serikali inaangalia nani ana watu wengi ndo inamuweka karibu.

Wasichojali ni kwamba hata shetani ana watu wengi.

Sijasema Nabii Mussa ana uswahiba na shetani
 
I appreciate kuhani mussa, kuna issue ambazo siamini mpaka leo, jinsi nilivyotibika, of course nilikuwa na shida ya usingizi silali usiku kucha, lakini nilipo kwenda kwake mara tatu tu, nikashangaa napata usingizi vizuri mno, simbezi wala kumkebei.
-Mungu amuongeze upako!
Wewe ni kubwa jinga, jina lake ni Musa? [emoji16]
 
Back
Top Bottom