TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Mfuatilie, utamjua! Sijawahi kufika kwenye ibada yake yoyote ila nimezungukwa na waliokua wana husudu ibada zake ambao mpaka dk hii hawataki hata kusikia hilo jina lake, ni wahanga wa matukio tata hapo kanisani kwake.Ramli changanishi kivipi
Rais ni amiri jeshi mkuu, yuko kwenye kiti tayari
Kama wewe una imani kwa Mungu muombe hicho unachotamani kukiona kwa rais. Au mna dini msizoziamini??
Ukimjua Mungu wako na nguvu zake hutalalamika wala kukasirika!! Utaomba!
Shuhuda za kutengeneza, kuumiza na kusambaratisha nyumba na familia za watu, amedhalilisha watu wengi, kuna mmoja kesha attempt kujiua mara kadhaa kwa kuto amini kilicho mtokea hapo kanisani, na hamna pakumshtaki