Kuhani Musa: Aliyemuweka Rais Samia kwenye kiti cha urais ni Mungu, kama mnaona kuna mambo ambayo anapaswa kuyafanya ili kuwafurahisha muombeni Mungu

Kuhani Musa: Aliyemuweka Rais Samia kwenye kiti cha urais ni Mungu, kama mnaona kuna mambo ambayo anapaswa kuyafanya ili kuwafurahisha muombeni Mungu

Unasomaga maandiko ila huyaelewagi.

Hakuna ukuhani baada ya kufa na kufufuka kwa Yesu.

Kabla ya kukata roho Yesu alisema IMEKWISHA!

Unajua maana ya neno IMEKWISHA?

Mwongezee maswali magumu magumu
✍️😬


Kati ya Mimi na wewe nani asiyeelewa🤣🤣🤣 pole swahiba

Waebrania 5:1-10:25
1 Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa watu huteuliwa kumtumikia Mungu kwa niaba yao, kutoa sadaka na dhabihu kwa ajili ya dhambi zao.
2 Anaweza kuwaonea huruma wale wasioelewa na wanaopotoka kwa sababu yeye mwenyewe anasumbuliwa na udhaifu kama wao .
3 Kwa sababu hii, anawajibika kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi za hao watu.
4 Hakuna mtu anayejichagulia heshima hii ya kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huitwa na Mungu kama vile Haruni alivyoitwa.
 
Kati ya Mimi na wewe nani asiyeelewa🤣🤣🤣 pole swahiba

Waebrania 5:1-10:25
1 Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa watu huteuliwa kumtumikia Mungu kwa niaba yao, kutoa sadaka na dhabihu kwa ajili ya dhambi zao.
2 Anaweza kuwaonea huruma wale wasioelewa na wanaopotoka kwa sababu yeye mwenyewe anasumbuliwa na udhaifu kama wao .
3 Kwa sababu hii, anawajibika kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi za hao watu.
4 Hakuna mtu anayejichagulia heshima hii ya kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huitwa na Mungu kama vile Haruni alivyoitwa.
Hao makuhani enzi za kina Musa na Haruni walikuwa anapokea sadaka(dhabihu) za wanyama wanachinja kondoo kama sadaka kisha wanakula nyama choma, ila dhambi za watu zinabaki zile zile.

Hebu niambie ni kuhani gani ambaye Yesu akimuangiza afanye kazi ya ukuhani baada ya yeye kupaa mbinguni?

Halafu hujajibu swali langu la nini maana ya IMEKWISHA, naomba ujibu plz
 
Hao makuhani enzi za kina Musa na Haruni walikuwa anapokea sadaka(dhabihu) za wanyama wanachinja kondoo kama sadaka kisha wanakula nyama choma, ila dhambi za watu zinabaki zile zile.

Hebu niambie ni kuhani gani ambaye Yesu akimuangiza afanye kazi ya ukuhani baada ya yeye kupaa mbinguni?

Halafu hujajibu swali langu la nini maana ya IMEKWISHA, naomba ujibu plz

Unasoma kilichoandikwa lakini unaelewa kisichoandikwa😂
 
Unasoma kilichoandikwa lakini unaelewa kisichoandikwa😂
Najua Hujanielewa kwa sababu ya kile ulichoaminishwa kimakosa, ila tambua mambo ya ukuhani yaliwahusu wayahudi tu ndani ya agano la kale

Yesu alipokuja aliweka agano jipya na hilo agano ni kwa mataifa yote na hakuteua makuhani kwa agano jipya, hivyo yeyote anayejiita kuhani nyakati hizi huyo hamtumikii Yesu.
 
Najua Hujanielewa kwa sababu ya kile ulichoaminishwa kimakosa, ila tambua mambo ya ukuhani yaliwahusu wayahudi tu ndani ya agano la kale

Yesu alipokuja aliweka agano jipya na hilo agano ni kwa mataifa yote na hakuteua makuhani kwa agano jipya, hivyo yeyote anayejiita kuhani nyakati hizi huyo hamtumikii Yesu.

Wapi pameandikwa yaliwahusu wayahudi pekee????? Unaijua asili ya ukuhani? Ulishawahi kuzijua kazi za makuhani na ukajua waliwafanyia kina nani??

Yesu anakukumbusha neno lake ni kwa mataifa yote na hakuja kuitangua torati

Ndio maana ametoa muongozo wa kwamba Kuhani anatakiwa kuwa nani

Weka roho ya kupingana kando kwanza ukasome uelewe halafu urudi na majibu
 
Wapi pameandikwa yaliwahusu wayahudi pekee?????

Yesu anakukumbusha neno lake ni kwa mataifa yote na hakuja kuitangua torati

Ndio maana ametoa muongozo wa kwamba Kuhani anatakiwa kuwa nani

Weka roho ya kupingana kando kwanza ukasome uelewe halafu urudi na majibu
....... katufanya Ukuhani na Ufalme...
 
....... katufanya Ukuhani na Ufalme...

National Anthem Kuna watu unaweza kudhani wanamkataa Yesu kwa kuwakataa watumishi wake kumbe wao ni wana waliokwisha kataliwaga siku nyingiii kwa mambo yao

Hosea 4:6
Watu wangu wameangamia kwa kutonijua, maana wewe kuhani umekataa mafundisho. Nimekukataa kuwa kuhani wangu. Kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, nami pia nitawasahau watoto wako.

Cc Kambi ya Fisi 😂
 
Wapi pameandikwa yaliwahusu wayahudi pekee?????
Ina maana huelewi kwa nini wayahudi walimbeza Yesu aliposema atalivunja hekalu na kulijenga kwa siku?

Kumbuka kazi zote za kikuhani zilifanywa na makuhani ndani ya hekalu patakatifu pa patakatifu. Kulikuwa na pazia lililotenganisha patakatifu na pasipo patakatifu

Kifo cha Yesu lilisababisha pazia la hekalu kupasuka maana yake mambo ya kikuhani, sijui kutoa dhabihu na kuchinja kondoo yalikoma na hayapo kabisa.

Huyo kuhani unayemkubali hatoki kwa Yesu Kristo, usidanganyike
 
Back
Top Bottom