Hii ni mojawapo ya kifungu cha maandiko kinachotumika kuhalalisha uovu. Ni vema kama hujui neno uache kumhusisha Mwenyezi Mungu na mambo ya upotofu.Ukiwa unajua mamlaka ya Rais inakotoka wapi na nguvu zake utafuata ushauri wa kuomba kwaajili ya Rais na viongozi wengine
Hata Idd Amin, Bokasa na madikteta wengi tu walikuwa marais, Kwahiyo mungu ndio amewapa huo Urais?Ukiwa unajua mamlaka ya Rais inakotoka wapi na nguvu zake utafuata ushauri wa kuomba kwaajili ya Rais na viongozi wengine
Nijihurumie kwa lipi?Rudia kusoma ulichokiandika halafu ukae chini ujihurumie🤣🤣🤣🤣
Mie sina shida na kuhani asiyeeleweka, shida yangu ipo kwa mama D mpambe wa kuhaniHapana we hujamsoma kuhani musa apo ni ironically huo ujumbe ni negative kwa ma samia
hakuna asiyejua kuwa huyu kuhani ni nabii wa uongo, na wote wanaoenda pale wanahudumiwa na shetani moja kwa moja na wataenda motoni.Kuhani Musa Richard Mwacha anasema aliyemuweka Rais Samia kwenye kiti cha urais ni Mungu, kama mnaona kuna mambo ambayo anapaswa kuyafanya ili kuwafurahisha muombeni Mungu aliyemuweka pale, ili atamtereshia maarifa na ufahamu wa kuyafanya mambo mazuri yatakayokufanya ufurahie. Sasa wewe huna maombi.......
Alikuwepo Magufuli pale lakini Mungu alimchukua kama alivyokuwa anasema mwenyewe; akamwacha huyu mama, sasa ulitaka ukae wewe!?
Tujifunze kuwaombea viongozi wetu, tuwasupport! Hakuna mtu anayekusudia kufanya mabaya na hakuna mtu ambaye anataka amalize vibaya aache historia mbaya popote pale
View attachment 2691266
Tumsupport Rais na tumuombee sana
Shetani sio Mungu,shetani ni shetani,hajawahi kuwa Mungu,na wala hatawahi kuwa Mungu.Tumia maarifa.Ina maana kuhani hajui kuwa shetani naye ni Mungu?
Ingefaa pia huyo jamaa akiweka wazi ni nani aliyempa ukuhani maana anadhani anatumika kama mtiwa mafuta kumbe ni mtia mafuta wa mchongo.
Banking ziko kazi nyingi,-kutegemea na elimu yakoNyie pigeni keleleee kuleni sadaka za Mama lakini mkataba wa DP World lazima ufanyiwe marekebisho makubwa kwa maslahi ya Nchi
Hawa watu wanaojiita manabii, mitume,kuhani nk ni nonsense na waongo wakubwa.
Huyu niliona interview yake clouds TV akisema eti alikuwa anafanya kazi Bank huko Arusha wakati aliacha shule std 4
Lakini sio Mungu ni teknologiaYaani kitu chochote kinaweza kuwa mungu wa watu husika.
Kuna watu wanaabudu teknolojia.
Shetani sio Mungu,shetani ni shetani tu.Shetani ni mungu na yeye huyo shetani anamtii Mungu mkuu Yesu Kristo
Ni nani alikupa wewe ,uwe kambi ya fisi?Hivi ni nani alimpa cheo cha ukuhani?
Wewe kambi ya fisi,ndio matendo yako mabovu,yangekuwa mazuri,ungepata hata mjumbe wa mtaa.Inatosha tu tukisema Samia kapewa madaraka na huyo , sababu ya kusema hivyo ni kuhusu matendo ktk uongozi wake mbovu.
Wewe ukithibitisha yatosha.Unaweza kuthibitisha kwamba huyo ni kuhani halisi?
Kama ulivyo wewe chawa,kwa wengine.
Wewe msomi sana.Wapi pameandikwa yaliwahusu wayahudi pekee????? Unaijua asili ya ukuhani? Ulishawahi kuzijua kazi za makuhani na ukajua waliwafanyia kina nani??
Yesu anakukumbusha neno lake ni kwa mataifa yote na hakuja kuitangua torati
Ndio maana ametoa muongozo wa kwamba Kuhani anatakiwa kuwa nani
Weka roho ya kupingana kando kwanza ukasome uelewe halafu urudi na majibu
Una utani wewe!Kama ulivyo wewe chawa,kwa wengine.
Ifahamu maana ya Kuhani..Unasomaga maandiko ila huyaelewagi.
Hakuna ukuhani baada ya kufa na kufufuka kwa Yesu.
Kabla ya kukata roho Yesu alisema IMEKWISHA!
Unajua maana ya neno IMEKWISHA?
Na wewe tafuta bwanako umsifie upate raha😆
Vinginevyo acha wivu kwa mtumishi wa Bwa