Kuhani Musa: Aliyemuweka Rais Samia kwenye kiti cha urais ni Mungu, kama mnaona kuna mambo ambayo anapaswa kuyafanya ili kuwafurahisha muombeni Mungu

Kuhani Musa: Aliyemuweka Rais Samia kwenye kiti cha urais ni Mungu, kama mnaona kuna mambo ambayo anapaswa kuyafanya ili kuwafurahisha muombeni Mungu

Ina maana kuhani hajui kuwa shetani naye ni Mungu?

Ingefaa pia huyo jamaa akiweka wazi ni nani aliyempa ukuhani maana anadhani anatumika kama mtiwa mafuta kumbe ni mtia mafuta wa mchongo.
Kama shetan ni mungu basi omba Mungu mwema amuondoe.

#DEBEtupu.
 
Ukiwa mnene kumtapeli mtu ni rahisi kuliko mwembamba.Kila jambo lina pande mbaya na nzuri.

Kama hivyo Nenepa wewe tapeli

Mie hauna faida kwangu na siutaki
 
Kama hivyo Nenepa wewe tapeli

Mie hauna faida kwangu na siutaki
Upendo huvumilia , hauhesabu mabaya , haujivuni , haushindani , kama hauna hizo sifa hauna upendo ,kama hauna upendo hauna Mungu kwa sababu Mungu ni pendo.
 
Upendo huvumilia , hauhesabu mabaya , haujivuni , haushindani , kama hauna hizo sifa hauna upendo ,kama hauna upendo hauna Mungu kwa sababu Mungu ni pendo.

Nani hizo sifa hazithibitishwi kwa kuongeaongea ila kwa matendo
 
Kuhani Musa Richard Mwacha anasema aliyemuweka Rais Samia kwenye kiti cha urais ni Mungu, kama mnaona kuna mambo ambayo anapaswa kuyafanya ili kuwafurahisha muombeni Mungu aliyemuweka pale, ili atamtereshia maarifa na ufahamu wa kuyafanya mambo mazuri yatakayokufanya ufurahie. Sasa wewe huna maombi.......

Alikuwepo Magufuli pale lakini Mungu alimchukua kama alivyokuwa anasema mwenyewe; akamwacha huyu mama, sasa ulitaka ukae wewe!?

Tujifunze kuwaombea viongozi wetu, tuwasupport! Hakuna mtu anayekusudia kufanya mabaya na hakuna mtu ambaye anataka amalize vibaya aache historia mbaya popote pale

View attachment 2691266

Tumsupport Rais na tumuombee sana
Kwanza athibitishe huyo Mungu yupo.
 
Mzee wa thibitisha...[emoji1787][emoji1787]
Hoja ya Mungu imetumiwa na watawala wanaotaka kuhalalisha tawala zao na wapiga zumari wao tangu enzi za Wasumaria, Wamisri, Waebrania, Wachina, Wagiriki, Warumi, Wafaransa, Waingereza na mpaka Donald Trump.

Tatizo wengi hawajui historia.

Kimsingi ni logical fallacy inayoitwa "argument from authority".
 
Hoja ya Mungu imetumiwa na watawala wanaotaka kuhalalisha tawala zao na wapiga zumari zao tangu enzi za Wasumaria, Wamisri, Waebrania, Wachina, Wafaransa, Waingereza na mpaka Donald Trump.

Kimsingi ni logical fallacy inayoitwa "argument from authority".
Nakubaliana na wewe kabsa , vipi kuhusu energy inayo endesha haya maumbile?
 
Nakubaliana na wewe kabsa , vipi kuhusu energy inayo endesha haya maumbile?
Energy ni energy tu, haihitaji kuwa Mungu.

Kama maji ya mto yanashuka kutoka juu mlimani, kuja chini mpaka baharini, kwa sababu yanaenda kwenye past of least resistance kwa kufuata gravity, hapo ni gravity inafanya maji yashuke hivyo.

Ukweli kwamba gravity inasababisha maji kushuka kutoka mlimani haitufanyi tuseme kwamba gravity ni Mungu.
 
Hoja ya Mungu imetumiwa na watawala wanaotaka kuhalalisha tawala zao na wapiga zumari zao tangu enzi za Wasumaria, Wamisri, Waebrania, Wachina, Wafaransa, Waingereza na mpaka Donald Trump.

Kimsingi ni logical fallacy inayoitwa "argument from authority".
Mkuu, Mungu ni Roho sasa unataka athibitishe nini?

Ili kumjua Mungu lazima uwe na Roho Mtakatifu sasa haonekani kwa kuongea lazima uamini na uombe sana...

Ukimuamini tu Mungu ndo utamjua ila ukitaka kuthibitisha kibinadamu huwezi
 
Mungu Amlinde Mama yetu ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ

2.5718224285009833E18.jpg
 
Energy ni energy tu, haihitaji kuwa Mungu.

Kama maji ya mto yanashuka kutoka juu mlimani, kuja chini mpaka baharini, kwa sababu yanaenda kwenye past of least resistance kwa kufuata gravity, hapo ni gravity inafanya maji yashuke hivyo.

Ukweli kwamba gravity inasababisha maji kushuka kutoka mlimani haitufanyi tuseme kwamba gravity ni Mungu.
Sure nimekuelewa , ila naona ni watu tu wameamua kuipa hiyo nguvu personality tu na haiathiri chochote .
 
Sure nimekuelewa , ila naona ni watu tu wameamua kuipa hiyo nguvu personality tu na haiathiri chochote .
Inabidi wasome Quantum Physics na kutafuta jawabu la kuiunganisha na Relativity.
 
Back
Top Bottom