mwanduruka
Senior Member
- Dec 28, 2022
- 115
- 161
Mungu anapenda watu wanyenyekevu,,,, kwahyo huyo aliye mjinga katika mambo ya dunia hii ndio kabeba utajiri wa ufalme wa mbinguniWalokole ni watu wajinga zaidi kuwahi kutokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anapenda watu wanyenyekevu,,,, kwahyo huyo aliye mjinga katika mambo ya dunia hii ndio kabeba utajiri wa ufalme wa mbinguniWalokole ni watu wajinga zaidi kuwahi kutokea
Kero😃Yan ni shida ukikaa nae ni mahubiri tu mpka jero
Yale yale kama mchungaji wa kenyaMimi nilikua na msichana wa kazi mlokole, yaani sitaki hata kukumbuka, kuna siku aliniambia eti nabii amewaambia wafunge siku arobaini bila kula wala kunywa kama Yesu alivyofanya, sikutaka kubishana nae, siku ya pili ya mfungo nikamkuta amelala anatetemeka nikamuuliza kulikoni, akaniambia mwili hauna nguvu kichwa kinauma anatetemeka, nikamwitia bajaji nikamwambia nenda kwa nabii ukimaliza mfungo wa siku arobaini utarudi kuendelea na kazi
Huyo binti alikua anasali kwa Nabii Malisa
Sisi hatutaki uongo aseme ukweli basiKwani wewe ni mchawi unaogopa siri zenu kuwa uchi
Kapotea kabisa huyo kipa.Walolole wengi kipa katoka