DOKEZO Kuhani Musa Richard Mwacha ashitakiwe kwa kuwadhalilisha watoto wadogo

DOKEZO Kuhani Musa Richard Mwacha ashitakiwe kwa kuwadhalilisha watoto wadogo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari,

Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.

Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.

Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.

Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.

Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.

Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.
Majitu makubwa yanaenda kusikiliza shuhuda za kupangwa ni aibu.Et wengine wanajifanya viongozi wa freemason duniani ukimuangalia anayesema hivyo hata mtandao huo hajuwi ulipo na siri zake.Najiuliza watoao ushuhuda iwe watu wazima au watoto wanatoka maeneo jirani au kusikojulikana na wengi?
 
Swala[emoji23] la kusikia kuwa nilikuwa malikia wa kula nyama Ni kawaida Sana pale kwa Musa na Hakuna utani kwenye Hilo sijui hao watot wanatowaga wapi na wa maeneo gani


Ibada itaanza saa nane na kuisha saaa sita had Saba usku

Nilikua nakwenda pale ila sijawai maliza ibada yake


Bwana yesu kristo atukuzwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Amina Mtumishi,atukuzwe Yesu wa Ngomeni,Yesu anastahili kutukuzwa sio kusifiwa,by Kuhani Mussa
 
Habari,

Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.

Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.

Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.

Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.

Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.

Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.
@mama D akija hapa atamtetea kwa nguvu nyingi we subiri
 
Ni shuhuda za uchonganishi na mafarakano na huo sio msingi wa Kikristo. Watu wengi hamjui na mnaulaumu sana Ukristo kwa ajili ya uhuni wa wazi wachache. Uhuni wa watu wachache ni wao wenyewe na hauhusiani na Ukristo. Hii ni sawa na Shehe kubaka, hakuhusiani na Uislamu bali ni mtu mwenyewe.

Msingi wa Ukristo ni imara na umejengwa juu ya Kristo mwenyewe ambaye ndiye jiwe la msingi. Mi ninatumika kanisani huku kwetu na wapo watumishi wenye weledi na maadili mazuri ya kiroho na sio hao wahuni wasiojitambua wala kujua nini wanafanya. Maadili ya Kikristo hayaruhusu shuhuda za namna hiyo wala kuuliza mapepo wala kuwa na visaidizi kama Mafuta, maji, chumvi, udongo, leso, keki n.k.

Sisi tumeachiwa Jina la Yesu. Hilo ndilo liponyalo, liokoalo, litakasalo, lifungualo vifungo, linalotushindia kwa maana hapana wokovu katika mwingine zaidi ya Jina la Yesu. Na katika Jina hilo kila Goti litapigwa likiwepo goti la Kuhani Mussa na la Mkureshi Muddy(56) mme wa Bi. Aisha(9)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji38]
Mkuu ulichokiongea ndio ambacho kilikuwa kinastahili kuongelewa hapa? au umeamua tu ulete na wewe comment yako
 
Imagine kuhani Mwacha, Masawe, Mallya, Kimaro, Kimario, Mushi, na koo zote za kichaga. Aisee? Ni kitu ambacho hakipo. Usiniulize kwanini.
 
Naunga mkono hoja, kuna kabwana kalokole nilikipata ilikua shida yani.
Mimi nilikua na msichana wa kazi mlokole, yaani sitaki hata kukumbuka, kuna siku aliniambia eti nabii amewaambia wafunge siku arobaini bila kula wala kunywa kama Yesu alivyofanya, sikutaka kubishana nae, siku ya pili ya mfungo nikamkuta amelala anatetemeka nikamuuliza kulikoni, akaniambia mwili hauna nguvu kichwa kinauma anatetemeka, nikamwitia bajaji nikamwambia nenda kwa nabii ukimaliza mfungo wa siku arobaini utarudi kuendelea na kazi

Huyo binti alikua anasali kwa Nabii Malisa
 
Hivi kwanin Tiss huwa hawaweki maskio yao kanisani?
Na wote tunajua uharibifu unaotokana na imani. Tiba yake ni ngumu sana(collateral damage)
Fikiria ya Zumaridi.
Fikiria walioenda kufly bila chochote airport.
Fikiriaaa! had ya Kibwetere.
 
Kwa nini ibada iende mpaka saa tano usiku? Theme ya ibada zake ni kutoa sadaka na kuuza maji na mafuta.
Kanisa linakuwa mali ya wauumini , lakini kanisa lake ni Mali yake huku kila siku ujenzi wake linachangiwa na wauumini
Kuna siku ibada yake ilikaa hadi saa tisa usiku, nilikua najiuliza maswali sana sema nikaamua kuwaachia mambo yao wenyewe
 
Mimi nilikua na msichana wa kazi mlokole, yaani sitaki hata kukumbuka, kuna siku aliniambia eti nabii amewaambia wafunge siku arobaini bila kula wala kunywa kama Yesu alivyofanya, sikutaka kubishana nae, siku ya pili ya mfungo nikamkuta amelala anatetemeka nikamuuliza kulikoni, akaniambia mwili hauna nguvu kichwa kinauma anatetemeka, nikamwitia bajaji nikamwambia nenda kwa nabii ukimaliza mfungo wa siku arobaini utarudi kuendelea na kazi

Huyo binti alikua anasali kwa Nabii Malisa

Yan ni shida ukikaa nae ni mahubiri tu mpka jero
 
Au sema tu kama kakufukuzia majini yako. Maana haya mambo wengi mnaogopa kusema ukweli bali mnakuja na visingizio tu
 
Ushauri kwamba mamlaka ziwa-monitor hawa fake prophets kipindi hiki uongozi ukiwa chini ya Muislam hauwezi kutekelezeka maana yeye haimuumizi maana haina madhara kwake.

Hili liko wazi.
 
Back
Top Bottom