DOKEZO Kuhani Musa Richard Mwacha ashitakiwe kwa kuwadhalilisha watoto wadogo

DOKEZO Kuhani Musa Richard Mwacha ashitakiwe kwa kuwadhalilisha watoto wadogo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Aione Cc mama D ila mimi naona hakuna kosa pale, ila wanachotakiwa kufanya zile shuhuda mara naenda hosp kuuwa watu, nasababisha ajali, niliua waalimu wangu, napandikiza magonjwa kwa watu n.k ziwe offline tena ofisini kwake wamalizane huko. Huku mtaani anataengeneza chuki na watu what if nasikia mfanyakazi mwenzangu anashuhudia eti yeye alikuwa mchawi na kazi yake ni kuua n.k akirudi ofisini japo anasema aliacha kuna namna tutamtenga.
 
Habari,

Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.

Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.

Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.

Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.

Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.

Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.
wakkkristo mazuzu ,acha wapigwe
 
True story,Nilikuwa nimelala usiku,nikiwa usingizini nikawa nawaona vijana wa kiume wawili waliokuwa wamevaa vitambaa vyekundu kama wamejifunga kanga nyekundu wakisema tuile nyama alafu at meantime i was pregnant..nilishtuka kutoka usingizini majasho yakiwa yananitoka.Asubuhi huwezi amini nikaona my period so mimba iliharibika.Mnaweza msiamini but wachawi sasa hivi ni watoto kwa vijana ile zana ya wazee kuwa wachawi ishapitwa na wakati juu ya hao wazee wakifa unadhani watarithishwa kina nani?
Kuhani Musa sio tapeli,kuwa makini sana na unachojitengenezea kichwani mwako ..fanya vyote ila usiingilie kazi ya watumishi wa Mungu cause sio kazi rahisi ambayo kila mtu anaweza ifanya.Ni muda sasa Mungu atawale na uwepo wake udhiirishwe kwenye maisha yetu cause watoto wetu ,familia zetu zinaharibikiwa na yote kwasababu hatuna uwepo wa Mungu ndani yetu.
Wacha kusema Watumishi wa Mungu!
Kuna watu watasema uongo huo hakuna uchawi,yaani wanataka ukisema uchawi waone kabisa mtu kasimama hapo pembeni yako anaharibu mimba,wasijue kwamba mambo hayo yanafanyika kiroho.
 
Aione Cc mama D ila mimi naona hakuna kosa pale, ila wanachotakiwa kufanya zile shuhuda mara naenda hosp kuuwa watu, nasababisha ajali, niliua waalimu wangu, napandikiza magonjwa kwa watu n.k ziwe offline tena ofisini kwake wamalizane huko. Huku mtaani anataengeneza chuki na watu what if nasikia mfanyakazi mwenzangu anashuhudia eti yeye alikuwa mchawi na kazi yake ni kuua n.k akirudi ofisini japo anasema aliacha kuna namna tutamtenga.

Dunia ilishabadilika
 
Habari,

Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.

Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.

Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.

Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.

Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.

Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.
Je, umelazimishwa kwenda Kuabudu hapo Kwake au Kusikiliza Matangazo ya Ibada yake katika Redio na Runinga?

Acha Upuuzi sawa?
 
Ni shuhuda za uchonganishi na mafarakano na huo sio msingi wa Kikristo. Watu wengi hamjui na mnaulaumu sana Ukristo kwa ajili ya uhuni wa wazi wachache. Uhuni wa watu wachache ni wao wenyewe na hauhusiani na Ukristo. Hii ni sawa na Shehe kubaka, hakuhusiani na Uislamu bali ni mtu mwenyewe.

Msingi wa Ukristo ni imara na umejengwa juu ya Kristo mwenyewe ambaye ndiye jiwe la msingi. Mi ninatumika kanisani huku kwetu na wapo watumishi wenye weledi na maadili mazuri ya kiroho na sio hao wahuni wasiojitambua wala kujua nini wanafanya. Maadili ya Kikristo hayaruhusu shuhuda za namna hiyo wala kuuliza mapepo wala kuwa na visaidizi kama Mafuta, maji, chumvi, udongo, leso, keki n.k.

Sisi tumeachiwa Jina la Yesu. Hilo ndilo liponyalo, liokoalo, litakasalo, lifungualo vifungo, linalotushindia kwa maana hapana wokovu katika mwingine zaidi ya Jina la Yesu. Na katika Jina hilo kila Goti litapigwa likiwepo goti la Kuhani Mussa na la Mkureshi Muddy(56) mme wa Bi. Aisha(9)🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜😆
Acha kukariri mapokeo wewe ukristo sio mwepesi hivyo kama ulivyokaririshwa.
 
Habari,

Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.

Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.

Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.

Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.

Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.

Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.
Huyu kuhani au ruhani? Dini zimegeuka takataka ya kila nguruwe kuchakura na kushiba.
 
Habari,

Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.

Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.

Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.

Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.

Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.

Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.
Viongozi wengi wa dini ni wahuni wa kawaida. Angalia kanisa katoliki baba yao linavyodhalilisha watoto bado ulawiti kwenye madrasat
 
Habari,

Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.

Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.

Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.

Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.

Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.

Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.


Sandali Ali nataka nikuulize
Umesema watoto wanapangwa kutoa shuhuda
Hivi unafikiri wangekua wanapangwa huyu mtumishi wa Mungu angekua salama mbele ya sheria? Kama unadhani ni hivyo fanya kwenda mwenyewe walau mara3 au 4, tafuta idadi ya kutosha ya hao unaosema wanashuhudia uongo kisha uwasaidie wengine waache kwenda

Mamlaka inayotoa vibali haiongozi imani na mambo ya rohoni. Inachofanya ni kuhakikisha usalama wa watu na sheria zinafuatwa

Kuhani Musa Richard Mwacha amewakamata pabaya wenye zile nguvu za usiku😅😅😅😅
 
Viongozi wengi wa dini ni wahuni wa kawaida. Angalia kanisa katoliki baba yao linavyodhalilisha watoto bado ulawiti kwenye madrasat

Acha kujitafutia laana kwa kutofautisha kanisa na mtendaji wa kanisa
Wapi kanisa katoliki limedhalilisha watoto? Wapi Uislam umelawiti watoto?

Ukiona padri au shehe au mchungaji anafanya haya mambo hajatumwa na kanisa wa Mungu. Huyo ni sawa tuu na baba anayeamua kumlawiti mwanae wa kuzaa
 
Allah anawausia wakiristo katika aya ifuatayo na mm nanukuu
"قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لَا تَغْلُوا فِي دِينِكُمْ غَيْرَ الْحَقِّ وَلَا تَتَّبِعُوا أَهْوَاءَ قَوْمٍ قَدْ ضَلُّوا مِن قَبْلُ وَأَضَلُّوا كَثِيرًا وَضَلُّوا عَن سَوَاءِ السَّبِيلِ

[ AL - MAIDA - 77 ]
Sema: Enyi Watu wa Kitabu(wakiristo na wayahud)! Msipite kiasi katika dini yenu bila ya haki. Wala msifuate matamanio ya watu walio kwisha potea tangu zamani, na wakawapoteza wengi, na wenyewe wakapotea njia iliyo sawa.
Pia Allah anasema..

إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَن يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ

[ AL I'MRAN - 19 ]
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu(wakiristo na wayahudi) hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu."
karibu katika Uislam dini ya asili ya mwanaadam
 
Allah anawausia wakiristo katika aya ifuatayo na mm nanukuu
"قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لَا تَغْلُوا فِي دِينِكُمْ غَيْرَ الْحَقِّ وَلَا تَتَّبِعُوا أَهْوَاءَ قَوْمٍ قَدْ ضَلُّوا مِن قَبْلُ وَأَضَلُّوا كَثِيرًا وَضَلُّوا عَن سَوَاءِ السَّبِيلِ

[ AL - MAIDA - 77 ]
Sema: Enyi Watu wa Kitabu(wakiristo na wayahud)! Msipite kiasi katika dini yenu bila ya haki. Wala msifuate matamanio ya watu walio kwisha potea tangu zamani, na wakawapoteza wengi, na wenyewe wakapotea njia iliyo sawa.
Pia Allah anasema..

إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَن يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ

[ AL I'MRAN - 19 ]
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu(wakiristo na wayahudi) hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu."
karibu katika Uislam dini ya asili ya mwanaadam


MWANZO 17:15-21
Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara.
Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.

Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.

Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.



YAKOBO 1:27
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.
 
Allah anawausia wakiristo katika aya ifuatayo na mm nanukuu
"قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لَا تَغْلُوا فِي دِينِكُمْ غَيْرَ الْحَقِّ وَلَا تَتَّبِعُوا أَهْوَاءَ قَوْمٍ قَدْ ضَلُّوا مِن قَبْلُ وَأَضَلُّوا كَثِيرًا وَضَلُّوا عَن سَوَاءِ السَّبِيلِ

[ AL - MAIDA - 77 ]
Sema: Enyi Watu wa Kitabu(wakiristo na wayahud)! Msipite kiasi katika dini yenu bila ya haki. Wala msifuate matamanio ya watu walio kwisha potea tangu zamani, na wakawapoteza wengi, na wenyewe wakapotea njia iliyo sawa.
Pia Allah anasema..

إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَن يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ

[ AL I'MRAN - 19 ]
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu(wakiristo na wayahudi) hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu."
karibu katika Uislam dini ya asili ya mwanaadam

Asili ni nini,?
 
Back
Top Bottom