Sasa utakuaje muumini bila kutoa.Inatishia watu usipotoa sadaka hauendi mbinguni ukiwauliza mbinguni ni wap wanatumbua macho tu
Umeme, maji, usafi,atahudumia nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa utakuaje muumini bila kutoa.Inatishia watu usipotoa sadaka hauendi mbinguni ukiwauliza mbinguni ni wap wanatumbua macho tu
Watu watoe kwa hiariSasa utakuaje muumini bila kutoa.
Umeme, maji, usafi,atahudumia nani
Kwa tunaomfahamu huyu mtu ni muhuni kweli kweli! hana cha dini wala Mungu.Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَMWANZO 17:15-21
Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara.
Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.
Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.
Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.
YAKOBO 1:27
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.
Kwani unamtolea yeye au Mungu.Watu watoe kwa hiari
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
[ AL I'MRAN - 67 ]
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
Ule ni mchezo wa kitoto wanachezewa waumini mapunguani.Changamoto ni kuwa kila mchawi anasema alikuwa Malkia, najiuliza hao Malkia wapo wangapi Hahah
Mathayo 16:25Ukishakuwa mlokole tayari kunakuwa kuna sehemu ya akili yako umeipoteza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakunaga mlokole mwenye akili timamu
Uzuri ni kuwa na yeye kuhani Musa anajiamini kuwa yuko sahihi tena kwa kutumia biblia hiyo hiyo na yesu huyo huyo kama unavyojiona wewe uko sahihi so Huna cha kumwambia 🤣🤣🤣. Habari za Muhammad (SAW) achana nazo kuziingiza kwenye mada hii. We pambana na kuhani 🤣🤣🤣 na ukitaka vifungu vya biblia vinavyosapoti anayoyafanya atakupa.Ni shuhuda za uchonganishi na mafarakano na huo sio msingi wa Kikristo. Watu wengi hamjui na mnaulaumu sana Ukristo kwa ajili ya uhuni wa wazi wachache. Uhuni wa watu wachache ni wao wenyewe na hauhusiani na Ukristo. Hii ni sawa na Shehe kubaka, hakuhusiani na Uislamu bali ni mtu mwenyewe.
Msingi wa Ukristo ni imara na umejengwa juu ya Kristo mwenyewe ambaye ndiye jiwe la msingi. Mi ninatumika kanisani huku kwetu na wapo watumishi wenye weledi na maadili mazuri ya kiroho na sio hao wahuni wasiojitambua wala kujua nini wanafanya. Maadili ya Kikristo hayaruhusu shuhuda za namna hiyo wala kuuliza mapepo wala kuwa na visaidizi kama Mafuta, maji, chumvi, udongo, leso, keki n.k.
Sisi tumeachiwa Jina la Yesu. Hilo ndilo liponyalo, liokoalo, litakasalo, lifungualo vifungo, linalotushindia kwa maana hapana wokovu katika mwingine zaidi ya Jina la Yesu. Na katika Jina hilo kila Goti litapigwa likiwepo goti la Kuhani Mussa na la Mkureshi Muddy(56) mme wa Bi. Aisha(9)🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜😆
Aiseeee, hongera bwana COVID. Siku hizi haupo Tena COVID. Wewe ni COVID wimbi la ngapi?Acha kukariri mapokeo wewe ukristo sio mwepesi hivyo kama ulivyokaririshwa.
Ibrahim alikuwa muislamu how?مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
[ AL I'MRAN - 67 ]
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
Ahsante,Ibrahim alikuwa anamuamini mungu mmoja tu pasi na kumshirikisha na chochote...Ibrahim alikuwa muislamu how?