Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kwahiyo ni Mkongo toka DRC??

Hilo jina Mwacha asili yake ni huko??
 

Nimepata kusikia kuna mahojiano ya Kuhani Musa tangu alipoitwa kwenye huduma hadi akakutana na huyo baba wa kiroho na baadae kuja kuanzisha huduma yake

Nikiipata video nitashare
 
Nimeisha wapi?

Tuchangie maada kwa faida ya wengi.
Tatizo umekuja na conclusion kbs kuwa ni Kuhani haswaa. Ndg yangu usiiamini kila roho. Shetani nae huvaa uso wa malaika wa nuru. (Hapa nimeongea kigalatia)

Coming to my msimamo, Ukiulisha ubongo mambo ya Imani za dini, tarajia kuwa low minded, stagnant na limited brain. Nothing is true though in thin line of truth
 

Kumtafuta Mungu na kuitafuta kweli yake u aweza kufundishwa lakini sio kwamba pale unapofundishiwa ndio bora sanaa au hakuna wadhambi

Huna haja ya kuhangaika na majengo sababu huyo Yesu anapatikana kwako. Kama mwili sio hekalu hata uende kusali galilaya mambo ni yaleyale
 
Ndio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje

Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendeka
Miujiza ni ya Mungu..Shetani Hana muujiza.Watu wavivu kuamini..Kama usanii na wewe kafanye..
 
Mama D!
Uzi wako huu umeandika kinazi sana, japo siamini kama ni mwandiko wako…. na kama ni wewe umeandika basi bila shaka ni mnufaika na uko hapa kumpigia chapuo huyo nabii uchwara.
Alishanasa huko. Na kwa vyovyote vile atakuwa ni mnufaika wa hayo maigizo. Na mtu akishanasa huko kumchomoa ni mtihani
 

Nimekuja na kilichopo. Kwani sio anaitwa Kuhani!? Nimekosea nini? Au wewe ulitaka nije nikiwa namwitaje

Jadili maada ndugu manenomaneno hayana mashiko
 
Fanya uchunguzi kwanza ndio utoe hoja!? Hao wanaofufuka nini kilitokea? Walifuatwa mortuary au makaburini?
Je unaamini mazingaombwe yapo? Pale Mortuary kuna wafu known, yaani mtu kafia wardini, anaingizwa mortuary kwenye majokofu, then tumtoe kwenye jokofu after 3 days kisha mlete huyo nabii wako amfufue..kama hatatoka speed. Au tumpeleke hosp ya cancer, achukuliwe mgonjwa aliyeoza koo then aponywe!

Hizo ni sanaa za kujipatia pesa ndg yng. Akina Gwajiboy wenyewe washaumbiwa, siku hz wanafanya mambo kwa machale
 


Fanya mpango tuchukue wagonjwa 10 pale ocean road tumpelekee halafu ndio turudi hapa kufunga mjadala
 
Kipimo gani mnatumiaga kuwajua wapotoshaji. Nadhani ungeweka maelezo yako vizuri yangetusaidia
Soma mwenyewe Biblia tatizo lenu mnaamini ktk mastori ndio maana mnafanywa mbaya
 
Watu wavivu na wapenda mastori ndio wanakamatwa huko kwenye mapagale wanayopenda kuyaita makanisa utapeli tu
 
Nimekuja na kilichopo. Kwani sio anaitwa Kuhani!? Nimekosea nini? Au wewe ulitaka nije nikiwa namwitaje

Jadili maada ndugu manenomaneno hayana mashiko
Haya mama. Give yourself a time. Time heals everything. We jipe muda wa kuchunguzaa utapata jibu oneday.

Nimesali saaaana kwenye hizi churches ki-uchunguzi, I drew my own conclusion kuwa wengi ni wezi kwa kupitia Biblia. I met watumishi wachawi, wajanja wa kutumia maneno matamu, mazingaombwe na uibilisi kibao.

Religion is an opium just like heroine
 
Wezi sana

Ova
 
Wanawake ni JANGA kwa kila kitu wakuonewa huruma tu
 
Kama ni biashara ni haramu na inatakiwa iharamishwe

Kushindwa kuiharamisha tunaipa uhalali
Aisee ningekuwa Dar dada angu ningetumia njia yoyote tukutane, tufanye pa1 hii research. Huwa mtu asipopona wanakimbilia kusema hana imani, so tungemshawishi mtumishi wa chaguo lako akafufue mfu as mfu hahitaji imani yake...ungeona jinsi hao mitume sijui makuhani fake wanavyotoa ratiba za uongo uongo kukwepa aibu!

NB: Nami nimewahi kuwa Mtumishi mzuri tu! Now naishi uhalisia wangu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…