dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Hao wanawake ndio matatizo makubwa kwenye jamiiBro wangu alichajiwa laki consultation fee kuonana na kuhani tulibishana sana ila mke wa bro ana iman kali ile kilo ililipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanawake ndio matatizo makubwa kwenye jamiiBro wangu alichajiwa laki consultation fee kuonana na kuhani tulibishana sana ila mke wa bro ana iman kali ile kilo ililipwa
mamad 3/4 ya mahubiri yake ni vita yake na wachawi na majini, kwa kutumia vifungu vya kuogofya toka agano la kale na ufunuoNdio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje
Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendeka
Wakishikwa kule hata uwaambie nini wanakuona wewe ndio pepoHao wanawake ndio matatizo makubwa kwenye jamii
Soma maelezo ya niliyemquote.
Anasema alipokelewa akitokea congo,
Au hutaki kuamini kuwa katokea huko??
mamad 3/4 ya mahubiri yake ni vita yake na wachawi na majini, kwa kutumia vifungu vya kuogofya toka agano la kale na ufunuo
Kwa sisi tulio kuwa naye Arusha kabla ya fani yake ya Sasa tunakumbuka aliwahi kupata matatizo ya afya ya akili na alipopata ahueni alidai alirogwa kwa kutupiwa jini
Kingine Google falsafa ya Freemansory ulinganishe na vita yake akitumia maskini tena wengine wa kike wakijiita ma malkia wa Freemasons
Cha kusikitisha anatumia watoto wadogo kudai wanaua mpaka watu mia na kula nyama za maiti ( upuuzi mtupu)
Mama D mambo haya mbona rahisi? System imeamua kutengeneza stori ili kudivert mambo ya SSH kukutana na Lisu Belgium na tension ya watanzania kuambiwa Mbowe ana kesi ya kujibu. Vinginevo hiyo kitu sijui nani amefufuka Hamnaga. Watu wamepangwa kuongea kutengeneza matukio. Kwanini huyo nabii stori zichachame kipindi hiki kwenye matelevision?Povu la nini!? Watu wako hapo na maeneo wanayotoka yapo... badala ya kuja na jazba na blahblah tuje na hoja za kuonyesha hayo mambo hayawezekani kama unavyoona
Hivi age yake ni miaka mingapi?mamad 3/4 ya mahubiri yake ni vita yake na wachawi na majini, kwa kutumia vifungu vya kuogofya toka agano la kale na ufunuo
Kwa sisi tulio kuwa naye Arusha kabla ya fani yake ya Sasa tunakumbuka aliwahi kupata matatizo ya afya ya akili na alipopata ahueni alidai alirogwa kwa kutupiwa jini
Kingine Google falsafa ya Freemansory ulinganishe na vita yake akitumia maskini tena wengine wa kike wakijiita ma malkia wa Freemasons
Cha kusikitisha anatumia watoto wadogo kudai wanaua mpaka watu mia na kula nyama za maiti ( upuuzi mtupu)
Nope KUHANI Mussa alianziaga Kwa Mzee WA YesuAliyetokea DRC ni Mulilege Mukombo, ambaye ameelezewa kuwa ndiye alikuwa Mlezi na Mwalimu wa kiroho wa Mussa Mwacha.
Acheni kudhani watu wote wapumbavMimi nimepona kupitia maombezi na mahubiri yake na sijachargiwa hata senti. Issue hii Iko kiimani zaidi na cha muhimu wenye shida wanaenda wenyewe. Kama utaniita mjinga Kwa kuwa nimeenda Kwa Kuhani Mussa haina shida.Sijavunja Sheria yoyote ya Nchi na hayajakufika.
ungetumia muda wako kumtafuta Mungu ingependeza.Mitazamo yetu inawezekana inatofautiana kwenye haya masuala ya kiimani, binafsi napenda zaidi kumtafuta na kumjua Yesu Kristu kwa njia zangu nikiamini hata kama kuna mahala nakosea ni yeye kupitia roho mtakatifu ndie atakayenisahihisha kwa wakati wake.
Mama D mambo haya mbona rahisi? System imeamua kutengeneza stori ili kudivert mambo ya SSH kukutana na Lisu Belgium na tension ya watanzania kuambiwa Mbowe ana kesi ya kujibu. Vinginevo hiyo kitu sijui nani amefufuka Hamnaga. Watu wamepangwa kuongea kutengeneza matukio. Kwanini huyo nabii stori zichachame kipindi hiki kwenye matelevision?
Mimi nimepona kupitia maombezi na mahubiri yake na sijachargiwa hata senti. Issue hii Iko kiimani zaidi na cha muhimu wenye shida wanaenda wenyewe. Kama utaniita mjinga Kwa kuwa nimeenda Kwa Kuhani Mussa haina shida.Sijavunja Sheria yoyote ya Nchi na hayajakufika.
Nope KUHANI Mussa alianziaga Kwa Mzee WA Yesu
Kuna binti mmoja hapo kwa huyo anaejiita Kuhani kupitia moja ya video zake zilizo Youtube alidai ni kiongozi mkubwa wa Freemasonry na kwamba alishaua watoto na watu wazima idadi ya malaki (malaki, siyo watu mia!). Na bado mleta mada anahitaji afanyiwe tafiti kwanza ndipo ajiridhishe na utapeli wa watu wa aina hii!mamad 3/4 ya mahubiri yake ni vita yake na wachawi na majini, kwa kutumia vifungu vya kuogofya toka agano la kale na ufunuo
Kwa sisi tulio kuwa naye Arusha kabla ya fani yake ya Sasa tunakumbuka aliwahi kupata matatizo ya afya ya akili na alipopata ahueni alidai alirogwa kwa kutupiwa jini
Kingine Google falsafa ya Freemansory ulinganishe na vita yake akitumia maskini tena wengine wa kike wakijiita ma malkia wa Freemasons
Cha kusikitisha anatumia watoto wadogo kudai wanaua mpaka watu mia na kula nyama za maiti ( upuuzi mtupu)
Kuna binti mmoja hapo kwa huyo anaejiita Kuhani kupitia moja ya video zake zilizo Youtube alidai ni kiongozi mkubwa wa Freemasonry na kwamba alishaua watoto na watu wazima idadi ya malaki (malaki, siyo watu mia!). Na bado mleta mada anahitaji afanyiwe tafiti kwanza ndipo ajiridhishe na utapeli wa watu wa aina hii!
Nihivi hakuna Mtumishi pale ni wasaka noti tu.....labda kama umepewa cheo cha marketing officer huko umekuja humu kusaka wateja sioni mwenye akili timamu anaesoma bible mwenyewe akiamini huo ujinga ni nyakati hizi tu hakuna mazingaombwe Ila nyakati hizo mazingaombwe mashuleni ilikuwa kawaida tu....nasema sababu watu wanatoka huko kwenye viota mnaita makanisa wanakuja tunakoabudu wana confess yanayotendwa huko!