Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Huyu anayejiita Kuhani kuna mambo ya kujiuliza sana toka nilipomfahamu akiwa msaidizi wa Mulilege Mukombo au Mzee wa Yesu aliyekuwa na huduma pale Boko magengeni.

Ilikuwa ukifika kwa mzee wa yesu naye alikuwa na style ya Maombi,uponyaji na maombezi kama Mussa Mwacha , baba yake wa kiroho na ndio aliyempokea Kutoka Congo DRC na kumlea kiimani na hatimaye kumuozesha mwanae wa kike kama mtumishi wa kanisa lake akikuombea kwa mbwembwe nyingi za kufunga macho anakupatia mtumishi mussa uende naye kwako nyumbani au Ofisini akakufanyie maombi ni lazima atatoa vibuyu, hirizi na uchawi aina nyingine.

Style hii ya maombi ya kutoa uchawi wanayo wachungaji wengi wanaotokea Congo DRC hapa Tanzania yupo kijana mmoja mchungaji alikuwa pale Kunduchi baada tuu ya Shule ya Bahari ile njia ya kwenda Rungwe Oceanic naye ana upako aina hii lakini ni wa kisanii. Anakuwa anaficha hirizi halafu akija nyumbani mnaomba mmefumba macho anazitupia kwenye mito makochi hata vyungu vya maua.

Mussa amepitia na kukua toka kwa Mzee wa yesu ambaye haieleweki baadae walitofautiana sana mpaka ndoa yake na mtoto wa.mzee wa yesu ikafika mwisho.

Maoni yangu inawezekana ni mtumishi wa mungu lakini sababu ya kuwajua wacongo watumishi wengi wanaongeza nguvu za mitishamba na fahamu kwamba Congo kuna.msitu mkubwa.sana hivyo kuna.mitishamba ya hatari sana. Nguvu za miujiza, nguvu za kuvuta watu au wateja. Unaweza kumfatilia pia mchungaji tajiri Johanessburg Alpha Lukau ambaye kanisa lake lina Bank clerks ukitaka kutoa sadaka unaenda kwa bank clerks una chanja tuu.

Huduma yake ina angalia zaidi nani anatoa hela kiasi gani. Nadhani ukitaka kumuona sio chini ya laki 3 akisisitiza anajenga kanisa hivyo michango ni lazima. Huwa waumini wapo wanaosaidiwa na kinachowaponya ni imani yao na utayari kwa yesu na si nguvu ya mchungaji.
Kwahiyo ni Mkongo toka DRC??

Hilo jina Mwacha asili yake ni huko??
 
Huyu anayejiita Kuhani kuna mambo ya kujiuliza sana toka nilipomfahamu akiwa msaidizi wa Mulilege Mukombo au Mzee wa Yesu aliyekuwa na huduma pale Boko magengeni.

Ilikuwa ukifika kwa mzee wa yesu naye alikuwa na style ya Maombi,uponyaji na maombezi kama Mussa Mwacha , baba yake wa kiroho na ndio aliyempokea Kutoka Congo DRC na kumlea kiimani na hatimaye kumuozesha mwanae wa kike kama mtumishi wa kanisa lake akikuombea kwa mbwembwe nyingi za kufunga macho anakupatia mtumishi mussa uende naye kwako nyumbani au Ofisini akakufanyie maombi ni lazima atatoa vibuyu, hirizi na uchawi aina nyingine.

Style hii ya maombi ya kutoa uchawi wanayo wachungaji wengi wanaotokea Congo DRC hapa Tanzania yupo kijana mmoja mchungaji alikuwa pale Kunduchi baada tuu ya Shule ya Bahari ile njia ya kwenda Rungwe Oceanic naye ana upako aina hii lakini ni wa kisanii. Anakuwa anaficha hirizi halafu akija nyumbani mnaomba mmefumba macho anazitupia kwenye mito makochi hata vyungu vya maua.

Mussa amepitia na kukua toka kwa Mzee wa yesu ambaye haieleweki baadae walitofautiana sana mpaka ndoa yake na mtoto wa.mzee wa yesu ikafika mwisho.

Maoni yangu inawezekana ni mtumishi wa mungu lakini sababu ya kuwajua wacongo watumishi wengi wanaongeza nguvu za mitishamba na fahamu kwamba Congo kuna.msitu mkubwa.sana hivyo kuna.mitishamba ya hatari sana. Nguvu za miujiza, nguvu za kuvuta watu au wateja. Unaweza kumfatilia pia mchungaji tajiri Johanessburg Alpha Lukau ambaye kanisa lake lina Bank clerks ukitaka kutoa sadaka unaenda kwa bank clerks una chanja tuu.

Huduma yake ina angalia zaidi nani anatoa hela kiasi gani. Nadhani ukitaka kumuona sio chini ya laki 3 akisisitiza anajenga kanisa hivyo michango ni lazima. Huwa waumini wapo wanaosaidiwa na kinachowaponya ni imani yao na utayari kwa yesu na si nguvu ya mchungaji.

Nimepata kusikia kuna mahojiano ya Kuhani Musa tangu alipoitwa kwenye huduma hadi akakutana na huyo baba wa kiroho na baadae kuja kuanzisha huduma yake

Nikiipata video nitashare
 
Nimeisha wapi?

Tuchangie maada kwa faida ya wengi.
Tatizo umekuja na conclusion kbs kuwa ni Kuhani haswaa. Ndg yangu usiiamini kila roho. Shetani nae huvaa uso wa malaika wa nuru. (Hapa nimeongea kigalatia)

Coming to my msimamo, Ukiulisha ubongo mambo ya Imani za dini, tarajia kuwa low minded, stagnant na limited brain. Nothing is true though in thin line of truth
 
Nilienda kwa mwamposa napia nikajaribu kwa kuwani musaa Ana kibwagizo chake bwana yesu kristo atukuzweee"
Sas nimerud kkkt kimara ingawa sikuhama Wal nilikuwa nilikuwa nikipata muda naenda kwenye maombi Bila sababu zzote nikaona siwaelewi nikarudi zangu korogwe kwa master wangu mastai bingwa San Yule mbuluu nafurahishwa sna na jinsi anavyolipeka kanisa mbele na wahumini kuwa na kititi ingwa anawapenda San wachanga [emoji23][emoji23][emoji23] ila Kuna mungu aisee achen kbsa pale hakuna drama

Kumtafuta Mungu na kuitafuta kweli yake u aweza kufundishwa lakini sio kwamba pale unapofundishiwa ndio bora sanaa au hakuna wadhambi

Huna haja ya kuhangaika na majengo sababu huyo Yesu anapatikana kwako. Kama mwili sio hekalu hata uende kusali galilaya mambo ni yaleyale
 
Ndio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje

Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendeka
Miujiza ni ya Mungu..Shetani Hana muujiza.Watu wavivu kuamini..Kama usanii na wewe kafanye..
 
Mama D!
Uzi wako huu umeandika kinazi sana, japo siamini kama ni mwandiko wako…. na kama ni wewe umeandika basi bila shaka ni mnufaika na uko hapa kumpigia chapuo huyo nabii uchwara.
Alishanasa huko. Na kwa vyovyote vile atakuwa ni mnufaika wa hayo maigizo. Na mtu akishanasa huko kumchomoa ni mtihani
 
Tatizo umekuja na conclusion kbs kuwa ni Kuhani haswaa. Ndg yangu usiiamini kila roho. Shetani nae huvaa uso wa malaika wa nuru. (Hapa nimeongea kigalatia)

Coming to my msimamo, Ukiulisha ubongo mambo ya Imani za dini, tarajia kuwa low minded, stagnant na limited brain. Nothing is true though in thin line of truth

Nimekuja na kilichopo. Kwani sio anaitwa Kuhani!? Nimekosea nini? Au wewe ulitaka nije nikiwa namwitaje

Jadili maada ndugu manenomaneno hayana mashiko
 
Fanya uchunguzi kwanza ndio utoe hoja!? Hao wanaofufuka nini kilitokea? Walifuatwa mortuary au makaburini?
Je unaamini mazingaombwe yapo? Pale Mortuary kuna wafu known, yaani mtu kafia wardini, anaingizwa mortuary kwenye majokofu, then tumtoe kwenye jokofu after 3 days kisha mlete huyo nabii wako amfufue..kama hatatoka speed. Au tumpeleke hosp ya cancer, achukuliwe mgonjwa aliyeoza koo then aponywe!

Hizo ni sanaa za kujipatia pesa ndg yng. Akina Gwajiboy wenyewe washaumbiwa, siku hz wanafanya mambo kwa machale
 
Je unaamini mazingaombwe yapo? Pale Mortuary kuna wafu known, yaani mtu kafia wardini, anaingizwa mortuary kwenye majokofu, then tumtoe kwenye jokofu after 3 days kisha mlete huyo nabii wako amfufue..kama hatatoka speed. Au tumpeleke hosp ya cancer, achukuliwe mgonjwa aliyeoza koo then aponywe!

Hizo ni sanaa za kujipatia pesa ndg yng. Akina Gwajiboy wenyewe washaumbiwa, siku hz wanafanya mambo kwa machale


Fanya mpango tuchukue wagonjwa 10 pale ocean road tumpelekee halafu ndio turudi hapa kufunga mjadala
 
Nilienda kwa mwamposa napia nikajaribu kwa kuwani musaa Ana kibwagizo chake bwana yesu kristo atukuzweee"
Sas nimerud kkkt kimara ingawa sikuhama Wal nilikuwa nikipata muda naenda kwenye maombi Bila sababu zzote nikaona siwaelewi nikarudi zangu korogwe kwa master wangu mastai bingwa San Yule mbuluu nafurahishwa sna na jinsi anavyolipeka kanisa mbele na wahumini kuwa na kititi ingwa anawapenda San wachaga [emoji23][emoji23][emoji23] ila Kuna mungu aisee achen kbsa pale hakuna drama


Note sijawadharu hao kina musa na mwamposa wapike Kaz Kaz iendeleee
Watu wavivu na wapenda mastori ndio wanakamatwa huko kwenye mapagale wanayopenda kuyaita makanisa utapeli tu
 
Nimekuja na kilichopo. Kwani sio anaitwa Kuhani!? Nimekosea nini? Au wewe ulitaka nije nikiwa namwitaje

Jadili maada ndugu manenomaneno hayana mashiko
Haya mama. Give yourself a time. Time heals everything. We jipe muda wa kuchunguzaa utapata jibu oneday.

Nimesali saaaana kwenye hizi churches ki-uchunguzi, I drew my own conclusion kuwa wengi ni wezi kwa kupitia Biblia. I met watumishi wachawi, wajanja wa kutumia maneno matamu, mazingaombwe na uibilisi kibao.

Religion is an opium just like heroine
 
Kuna Nabii feki alikula Milioni 10 ya ndugu yangu mgonjwa mpaka leo sina imani na Nabii yoyote wala mama yake Mtume.

Kamwe usimkaribishe nabii feki feki nyumbani kwako atatoa vitu vya kichawi ambavyo vitakujaza uwoga hapo ndipo anapata gia ya kukufilisi.
Wezi sana

Ova
 
Tatizo umekuja na conclusion kbs kuwa ni Kuhani haswaa. Ndg yangu usiiamini kila roho. Shetani nae huvaa uso wa malaika wa nuru. (Hapa nimeongea kigalatia)

Coming to my msimamo, Ukiulisha ubongo mambo ya Imani za dini, tarajia kuwa low minded, stagnant na limited brain. Nothing is true though in thin line of truth
Wanawake ni JANGA kwa kila kitu wakuonewa huruma tu
 
Kama ni biashara ni haramu na inatakiwa iharamishwe

Kushindwa kuiharamisha tunaipa uhalali
Aisee ningekuwa Dar dada angu ningetumia njia yoyote tukutane, tufanye pa1 hii research. Huwa mtu asipopona wanakimbilia kusema hana imani, so tungemshawishi mtumishi wa chaguo lako akafufue mfu as mfu hahitaji imani yake...ungeona jinsi hao mitume sijui makuhani fake wanavyotoa ratiba za uongo uongo kukwepa aibu!

NB: Nami nimewahi kuwa Mtumishi mzuri tu! Now naishi uhalisia wangu...
 
Back
Top Bottom