Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Pale Kuna maombi kulingana na kiwango chako Cha pesa kuna maombi ya laki laki maombi ya Elfu hamsini ,maombi ya Elfu ishirini na n.k

Uliona WAPI maombi kulingana na umaskini au utajiri WA MTU

Unahitaji kiwango Cha juu Cha upumbavu kumuelewa yule tapeli

USSR
Unafutwa huko kwenye inshu za Ukraine na Russia
 
Pale Kuna maombi kulingana na kiwango chako Cha pesa kuna maombi ya laki laki maombi ya Elfu hamsini ,maombi ya Elfu ishirini na n.k

Uliona WAPI maombi kulingana na umaskini au utajiri WA MTU

Unahitaji kiwango Cha juu Cha upumbavu kumuelewa yule tapeli

USSR


Mtafute huyu mtu anaitwa YUSUFU IBRAHIMU MUSA au TAUSI wa bongomovie au mama kubwa wakueleze wao walitoa sh ngapi ndio wakasaidika

Kuongea mambo yasiyokuwako au usiyoyajua au usiyokua na uhakika nayo ni Uongo; na Uongo ni machukizo mbele za Mungu

KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI?
 
Mtafute huyu mtu anaitwa YUSUFU IBRAHIMU MUSA au TAUSI wa bongomovie au mama kubwa wakueleze wao walitoa sh ngapi ndio wakasaidika

Kuongea mambo yasiyokuwako au usiyoyajua au usiyokua na uhakika nayo ni Uongo; na Uongo ni machukizo mbele za Mungu

KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI?
Watu wanachotakiwa kuelewa ni kwamba unapoona pale ibadani huyo kuhani/ mtume au nabii amemtabiria kumponya mtu, hiyo ni kama kupromote ujuzi au vipawa vyake ili watu wengine waone na waamini. Kumbuka kanisa lina waumini wengi na kila mmoja amekwenda pale anashida zake, kwahiyo ile kumsimamisha mtu mmoja au watu kadhaa na kauwafanyia miujiza ni sehemu tu ya kuwajenga watu wazidi kumuamini zaidi. Sasa kwa nyinyi mliobaki anajua tu kuwa lazima mtataka kumuona private. Sasa hapo ndio kiwango cha fedha mnapangiwa. Na kwakuwa alishafanya kwa baadhi yenu kanisani (kama sample) hivyo lazima uamini kua ukionana nae tatizo lako limekwesha.



Mfano mdogo kwa wavuta sigara au wauza karanga. Kunakuwaga na za kuonjesha kwanza ukipenda unalipia.



Kuhusu uwezo walionao sitaki kuongelea sana nisije nikakosea

Ila naamini kuwa kila binadamu ana uwezo, karama na vipawa tofauti tofauti alivyojaaliwa na Mungu, kwakuwa tuna nguvu ya uungu ndani yetu, ni wachache sana wanaoijuwa siri hii. Sema viongozi wetu wadini (baadhi yao) wa wanazitumia kama fimbo ya kukamatia waumini, wanatenda miujiza na kurushia mpira kwa Yesu ndo kafanya muujiza siri inabaki kuwa yake ( wanatuficha hawataki tuujue ukweli).

Kasomeni Uzi wa Pascal Mayalla Psychic power.

Pia pitieni google na website mbalimbali kusoma kuhusu Third Eye au pineal gland.
Third Eye ni Jicho lisiloonekana lenye uwezo wa kuona mambo ya rohoni na kutenda mambo mengi ambayo hayawezekani kiakili ya kawaida, sisi huku ndo tunaita miujiza.



1d38c9d7-bab5-42c6-968c-550773c02023.472f0166892165be3fde611d9119d842.jpg

View attachment 2131645
 

Attachments

  • Screenshot_20201231-104145.jpg
    Screenshot_20201231-104145.jpg
    48.6 KB · Views: 30
Watu wanachotakiwa kuelewa ni kwamba unapoona pale ibadani huyo kuhani/ mtume au nabii amemtabiria kumponya mtu, hiyo ni kama kupromote ujuzi au vipawa vyake ili watu wengine waone na waamini. Kumbuka kanisa lina waumini wengi na kila mmoja amekwenda pale anashida zake, kwahiyo ile kumsimamisha mtu mmoja au watu kadhaa na kauwafanyia miujiza ni sehemu tu ya kuwajenga watu wazidi kumuamini zaidi. Sasa kwa nyinyi mliobaki anajua tu kuwa lazima mtataka kumuona private. Sasa hapo ndio kiwango cha fedha mnapangiwa. Na kwakuwa alishafanya kwa baadhi yenu kanisani (kama sample) hivyo lazima uamini kua ukionana nae tatizo lako limekwesha.



Mfano mdogo kwa wavuta sigara au wauza karanga. Kunakuwaga na za kuonjesha kwanza ukipenda unalipia.



Kuhusu uwezo walionao sitaki kuongelea sana nisije nikakosea

Ila naamini kuwa kila binadamu ana uwezo, karama na vipawa tofauti tofauti alivyojaaliwa na Mungu, kwakuwa tuna nguvu ya uungu ndani yetu, ni wachache sana wanaoijuwa siri hii. Sema viongozi wetu wadini (baadhi yao) wa wanazitumia kama fimbo ya kukamatia waumini, wanatenda miujiza na kurushia mpira kwa Yesu ndo kafanya muujiza siri inabaki kuwa yake ( wanatuficha hawataki tuujue ukweli).

Kasomeni Uzi wa Pascal Mayalla Psychic power.

Pia pitieni google na website mbalimbali kusoma kuhusu Third Eye au pineal gland.
Third Eye ni Jicho lisiloonekana lenye uwezo wa kuona mambo ya rohoni na kutenda mambo mengi ambayo hayawezekani kiakili ya kawaida, sisi huku ndo tunaita miujiza.



View attachment 2131640View attachment 2131641


Unaweza kuwa sahihi kwa namna fulani na watumishi na viongozi fulani wa imani lakini fanya utafiti kuhusu mmojammoja

Katika kumfuatilia Kuhani Musa nimekutana na comments nyingi sio jf tuu hata kwenye mitandao mingine. Nimejaribu na mimi niwekewe hiyo appointment ya kuambiwa inafanywa na sadaka ili dada yangu aonane nae tangu mwaka jana August hadi leo hatujaweza kupata nafasi.

Wahusika tulioongea nao wameniambi wazi kwamba Kuhani Musa hapendi kuona mtu mmojammoja unless aone shida yako inahitaji muda zaidi ya ule wa ibada na hiyo ni mara chache sana. Tatizo watu wengi wanataka aongee nao na hawataki kuhudhuria ibada wapate mafundisho na maombi yatakayomaliza shida zao. Yaani kwa kifupi mtu hayupo tayari kutumia muda wake kuongea na Mungu kupitia miongozo ya kuhani ila wanamtaka yeye

Wanasema akisema aone watu hata watu 500 kwa siku watakua na shida ya kumuona. Lakini huo sio mpango wa Mungu maana atakosa muda wa maombi na ibada ambavyo vina matokeo makubwa zaidi kwa waumini kuliko hilo la kuona mmojammoja

Dada yangu sababu yupo Dar es salaam nimemshauri kama anadhani Kuhani Musa ana msaada basi aende ibadani kwake. Akienda akapata majibu nitawajuza
 
Mbona mnapindua mada? Mungu alimchaji nani katika uhitaji wake? Mnajisingizia huduma eti. Huduma gani? Ya kanisa? Mbona ni mamilioni ma hatuoni mkitoa huduma z akijamii kama mashule, hospitali etc? Kumtajirisha nabii ananunua mahammer tu. Mara maghorofaaa etc.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mbona inawauma Sana? Pesa ni jawabu la mambo yote.
 
Usihukimu usije ukahukumiwa, tubu

Kuhani ana ushahidi wa yaliyotokea ila Yeye anayemwita tapeli kashindwa kuleta ushahidi wa utapeli.

Sasa hapo ndio utajua lunatoc ni tapeli mkuu
 
Mbona mnapindua mada? Mungu alimchaji nani katika uhitaji wake? Mnajisingizia huduma eti. Huduma gani? Ya kanisa? Mbona ni mamilioni ma hatuoni mkitoa huduma z akijamii kama mashule, hospitali etc? Kumtajirisha nabii ananunua mahammer tu. Mara maghorofaaa etc.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Sadaka ni sadaka haijalishi ni pesa au dhahabu au mali

Ni utaratibu kwenda nyumba ya ibada/madhabahu na sadaka



Halafu



Mbona mnapindua mada? Mungu alimchaji nani katika uhitaji wake? Mnajisingizia huduma eti. Huduma gani? Ya kanisa? Mbona ni mamilioni ma hatuoni mkitoa huduma z akijamii kama mashule, hospitali etc? Kumtajirisha nabii ananunua mahammer tu. Mara maghorofaaa etc.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Sadaka ni sadaka haijalishi ni pesa au dhahabu au mali

Ni utaratibu kwenda nyumba ya ibada/madhabahu na sadaka

Halafu
Unaweza kuwa sahihi kwa namna fulani na watumishi na viongozi fulani wa imani lakini fanya utafiti kuhusu mmojammoja

Katika kumfuatilia Kuhani Musa nimekutana na comments nyingi sio jf tuu hata kwenye mitandao mingine. Nimejaribu na mimi niwekewe hiyo appointment ya kuambiwa inafanywa na sadaka ili dada yangu aonane nae tangu mwaka jana August hadi leo hatujaweza kupata nafasi.

Wahusika tulioongea nao wameniambi wazi kwamba Kuhani Musa hapendi kuona mtu mmojammoja unless aone shida yako inahitaji muda zaidi ya ule wa ibada na hiyo ni mara chache sana. Tatizo watu wengi wanataka aongee nao na hawataki kuhudhuria ibada wapate mafundisho na maombi yatakayomaliza shida zao. Yaani kwa kifupi mtu hayupo tayari kutumia muda wake kuongea na Mungu kupitia miongozo ya kuhani ila wanamtaka yeye

Wanasema akisema aone watu hata watu 500 kwa siku watakua na shida ya kumuona. Lakini huo sio mpango wa Mungu maana atakosa muda wa maombi na ibada ambavyo vina matokeo makubwa zaidi kwa waumini kuliko hilo la kuona mmojammoja

Dada yangu sababu yupo Dar es salaam nimemshauri kama anadhani Kuhani Musa ana msaada basi aende ibadani kwake. Akienda akapata majibu nitawajuza
 
Hata siye tulikuwa wabishi,, enzi hizo miaka ya 2013 mke mtarajiwa alikuwa anapenda kumwangalia Mwamposa kupitia Channel 10 alipokuwa pale Sinza Vatican, nami nilikuwa namwona mpigaji tu na wale wanaoenda pale kama wajinga fulani hivi...
Baada ya kuwa na familia na yaliyonikuta kunikuta, kuanzia mwaka jana 2021 mwezi April nimejikita kwa Kuhani Musa kwasababu karibu na ninapokaa na wala sisikii...
 
Kuna MAKANISA yanachangisha SADAKA kujenga shule ambazo hao wanaochanga hawana uwezo kwa kusomesha watoto wao...
Kuna MAKANISA yanachangisha SADAKA kujenga HOSPITALI ambazo waumini wakiugua hawana uwezo wa kutibiwa...

Na bado kuna mtu anasema wengine ni Wajinga...🧐
 
Hata siye tulikuwa wabishi,, enzi hizo miaka ya 2013 mke mtarajiwa alikuwa anapenda kumwangalia Mwamposa kupitia Channel 10 alipokuwa pale Sinza Vatican, nami nilikuwa namwona mpigaji tu na wale wanaoenda pale kama wajinga fulani hivi...
Baada ya kuwa na familia na yaliyonikuta kunikuta, kuanzia mwaka jana 2021 mwezi April nimejikita kwa Kuhani Musa kwasababu karibu na ninapokaa na wala sisikii...


KUHANI MUSA RICHARD MWACHA Ni Nani?
 
Watoto wanne(4) wa familia moja waliokufa mwaka jana kwa miezi tofautitofauti kuanzia mwezi September hadi December wafufuka.

Habari ya YUSUFU IBRAHIM MUSA kwa ufupi
Bwana YUSUFU IBRAHIM MUSA ambae ni mwenyeji wa Kigoma anaeleza kwamba miaka mitatu iliyopita alikua mzima wa afya yeye, mke wake na watoto wake wote wa4.
Lakini kipindi hichohicho mke wake alifariki ghafla, na alikua na rafiki yake aliyetoka musoma na mkewe kwenda kigoma kumzika mke wa YUSUFU IBRAHIM MUSA. Wakiwa bado pale msibani, mke wa huyo rafiki yake alikufa palepale kwa ghafla. Ndipo YUSUFU akatakiwa kusafirisha msiba hadi musoma na kuzika. Baada ya mazishi wakiwa kwenye gari binafsi kurudi kigoma ndipo alipata ajali na kulazwa Bugando hospitali kwa miezi 20.

Anasema baada ya miezi 20 kuwa hospitali alipata nafuu sehemu zingine lakini mguu uliendelea kumpa shida na madaktari wakamshauri waukate maana hapakua na uwezekano wa kutibika. Akiwa anasubiri tarehe ya kukatwa mguu alipita mtu alimuuliza kama anaamini kwenye matumizi ya vifaa vitakatifu(maji na mafuta). YUSUFU alikubali na alipotumia tuu mguu ulipona na akaruhusiwa kutoka hospitali.

Baada ya kupona bwana YUSUFU IBRAHIM MUSA anasema alitoka hospitali akaenda nyumbani kigoma kisha akaanza safari ya kwenda Dar es salaam ili afike kwenye kanisa lililompatia uponyaji.
Lakini bahati mbaya alipofika Dar es salaam tuu kabla ya kufika kanisani mwezi wa tisa 2021, mtoto wake wa kwanza alifariki kwa kuvamiwa na wezi na kuchomwa visu. Alienda kuzika na baadae watotonwake wengine wa3 walikufa kati ya mwezi october hadi december na wote vifo vyao vikihusisha ajali kitu kilichomfanya yeye ashindwe kufika kanisani kama alivyodhamiria.

Bwana YUSUFU IBRAHIM MUSA anasema alifanikiwa kufika ibadani kwa Kuhani Musa January 2022 baada ya kuwazika watoto wake wanne. Wiki chache baada ya kufika kanisani alipata faraja na tumaini jipya la kuishi kwa jinsi Mungu alivyokua akimuonyesha ukuu wake haswa kwa kumuonyesha wale waliokua wabaya kwake waziwazi. Na kubwa zaidi alipigiwa simu toka kigoma kuwa yule mtoto wake aliyefariki mwishoni, tarehe26 December 2021 ameonekana huko kigoma. Mtoto huyu alipata ajali akiwa kigoma akaumia vibaya kichwani, wakampa rufaa ya kwenda muhimbili hospital Dar es salaam (MOI) alifika akiwa na hali mbaya lakini baada ya siku 2 akafariki wakasafirisha mwili na kwenda kuzika Kigoma.

Hadi naandika hapa watoto wote wa4 wa YUSUFU IBRAHIM MUSA waliofariki na wakazikwa wamepatikana (katika maeneo tofautitofauti wakiwa hai, mmoja akipatikana kigoma na watatu wakipatikana kwenye visiwa tofautitofauti vya ziwa Victoria wawili wakiwa upande wa Tanzania na mmoja Uganda) na wote ameshawafuata na kuwafikisha kanisani kwa Kuhani Musa.

Habari mpya toka kwa YUSUFU ni kwamba amepigiwa simu kuwa mke wake nae amepatikana upande wa ziwa karibu na Zambia

Bwana YUSUFU anasema imekua rahisi kuwa anapokea taarifa hizi sababu amezaliwa kwenye familia ya wavuvi babu yake Mzee MUSA akiwa mvuvi mkubwa na maarufu na hawa watoto wote walitambulika baada ya watu kuwakuta kwenye mazingira tata na wavuvi waliokua ziwani wakiwa wanawashangaa waliweza kuwatambua

Bila kusahau babu wa YUSUFU mzee MUSA alifariki ghafla mara tuu YUSUFU alipofika kwa kuhani MUSA na ndipo watoto hawa wakaanza kuonekana. Babu huyu hakufariki peke yake, alifariki yeye na watu wengine 17 wanaodhaniwa kushirikiana nae kuwapoteza watoto hawa

KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI??
Mkuu nina safari ya kwenda kigoma ndani ya mwezi wa tatu, kama hutojali unaweza kuniambia huyo Yusufu Ibrahim Musa anaishi / aliishi kigoma wilaya gani, mtaa / kijiji gani ili nami nikajionee kwa macho yangu hiyo familia iliofufuka
 
Mkuu nina safari ya kwenda kigoma ndani ya mwezi wa tatu, kama hutojali unaweza kuniambia huyo Yusufu Ibrahim Musa anaishi / aliishi kigoma wilaya gani, mtaa / kijiji gani ili nami nikajionee kwa macho yangu hiyo familia iliofufuka

Mwenyewe naitamani sana ila basi tuu niko mbali

Natamani kujua majirani wa Yusufu kule kigoma wamepokeaje hili

Natamani kujua viongozi wa dini walioshiriki maziko ya hawa watoto wanaongeleaje kurudi kwao

Natamani kusikia toka kwa madaktari na wauguzi waliothibitisha vifo vyao wanashauri nini kwetu tulio hai

Natamani wale waliokua wanafunzi haswa yule aliyeanguka na kufa akiwa shuleni walimu na wanafunzi wenzake watawapokeaje wakirudi


Mungu ibariki Tanzania
 
Mwenyewe naitamani sana ila basi tuu niko mbali

Natamani kujua majirani wa Yusufu kule kigoma wamepokeaje hili

Natamani kujua viongozi wa dini walioshiriki maziko ya hawa watoto wanaongeleaje kurudi kwao

Natamani kusikia toka kwa madaktari na wauguzi waliothibitisha vifo vyao wanashauri nini kwetu tulio hai

Natamani wale waliokua wanafunzi haswa yule aliyeanguka na kufa akiwa shuleni walimu na wanafunzi wenzake watawapokeaje wakirudi


Mungu ibariki Tanzania

We nitafutie hizo details tu, ni wilaya gani na kijiji / mtaa gani huyo jamaa aliishi
 
Back
Top Bottom