Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

Hahaaaaa mkuu nimekutukana wapi wewe? Njoo kwa Yesu Mkuu. Njoo akutue huo mzigo wa kushare mwanamke na Baba yako[emoji3][emoji2][emoji1][emoji16][emoji38][emoji28]
Si kama lutu alivyo share na wanawe wa kike mpka wakazaa kabisa ubaya upo wap apo?
 
Sio stend tu kila mahali penye kusanyiko Mpendwa. Kuhubiri Stend, masokoni, viwanjani na kwenye makusanyiko kulikuwako toka enzi na Enzi. Akina Paulo nao walihubiri maeneo kama hayo yenye makusanyiko. Eti mnajifanya mmeelimika hamtaki kuhubiriwa stend wakati huo kuna mizki, bar, guest houses na madanguro hapo hapo stendi.

Kuna watu hunu duniani wana dhiki na wanahitaji kusikia na kumjua Mungu wa kweli ili awatue mizigo yao wanashundwa ila tuendapo stendi na kwenye makusanyiko ndipo hukutana na Neno la Mungu na kuponywa.
Na sisi wabudha .islamu.waabudu mizimu tufanye hivo
 
Hahaaaaa mkuu nimekutukana wapi wewe? Njoo kwa Yesu Mkuu. Njoo akutue huo mzigo wa kushare mwanamke na Baba yako😀😃😄😁😆😅
Ila huko juu ulikua unajibu kwa kukurupuka na mihemko na mitusi kedekede ila sio case👍
 
Tabia hii inazidi kukua kila kukicha japo inaudhi. Hawa watu wanalipwa na nani na wanatoka wapi?

Lazima ifike mahali tukubaliane kwamba kila mtu ana imani yake kulingana na alivyolelewa na kwamba swala la imani ni binafsi na kuna maeneo mahususi ya kuabudu.

Makanisa ya kilokole kina Mwamposa na wenzake wanaoibuka kila siku kama uyoga. Hawa huwapata wale waliopoteza matumaini na dini zao za asili.

Hawa huamini kwamba wafuasi wao wanapatikana popote hata kwenye mabus na stand siijawahi kumuona padre wa RC wala askofu achilia mbali shemasi akihubiri barabarani. Nadiriki kusema na kuamini kwamba hawa wanaofanya mahubiri yao barabarani na kwenye mabasi ni walewale wenye asili ya kuhani musa na mzee wa upako.

Waislamu, hawa shughuli zao huishia misikitini na kwenye makusanyiko ya warming wao. Japo na wao wanatumia vipaza sauti ambazo mara nyingi huwa ni kero kwa wasiohusika lakini hutolewa kwenye maeneo maalum tu.

Wapagani na wasio na dini, hawa ni pamoja na wqnaoamini katika miungu ya kale (waliowengi hawajitanabahishi) lakini hukereka sana na wapo wengi.

Unakuta mtu mmepanda kwenye usafiri wa umma au mkiwa stand kila mtu akielekea kwenye mambo yake tena na mawazo tofauti mtu anawasha speaker yake ya mchina na kuanza kuhubiri dini? Aliyewambia mungu yupo kwenye daladala au standi ni nani?

Ni kweli kuna uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa sheria lakini kila uhuru unamipaka yake. Kwa kutambua hilo ndo maana serikali imetenga maeneo maalumu ya kufanyia ibada ambako warming hukutana huko na kumuomba huyo mungu.

Utaratibu wa kuhubiri kwenye mabasi ya umma na vituo vya mabasi ni utaratibu holela na unakiuka haki za watu wengine wasiopenda kusikia habari za Mungu kwa wakati huo.

Wale mnaowapa pesa watu hawa pia mngezielekeza pesa zenu kwa wahitaji moja kwa moja ili zimfikie huyo mungu na mupate baraka muwe na mafanikio zaidi hata kama wengi wenu ni wezi wa mali za umma, waongo, wazinzi, waasherati na wasengenyaji (baada ya kutoka kwenye nyumba za ibada).

Uhuru wako uishie mwisho wa pua yako, vinginevyo ni vurugu!

Nawasilisha.
Wanatekeleza haki yao ya kimsingi, ya kikatiba, ya utu (Universal Declaration of Human Rights), ya kutimiza ibada zao kama walivyoambiwa na dini zao.

Kinachotakiwa ni kuwapanga vizuri wasilete shida kwa watu wengine, mfano, kuwawekea sehemu zao wasiingilie watu njiani, kuwawekea viwango vya kelele ambazo hawatakiwi kuzidisha, na kadhalika.

Lakini, hii ni haki yao ya kikatiba ya uhuru wa kuabudu, ni haki ya utu wao na sehemu ya Universal Declaration of Human Rights, wengine wanatimiza maagizo ya dini zao, ukiwanyima nafasi hiyo unakuwa umewanyima sehemu ya maagizo ya dini zao sawasawa na kumkataza mtu kwenda kanisani, kutoa zaka, kwenda msikitini au kwenda hija.

Mimi siamini katika Mungu wala dini, ila natetea haki za watu wote kuabudu dini zao wanavyotaka bila kuingiliwa na haki hii ya kuabudu ikiingiliwa, nitawatetea wanaoamini waweze kuendelea kuwa na haki hii.

Kwangu mimi, haki hii haina tofauti na haki yangu ya kutoamini Mungu wala dini, haki hizi (za kuamini na kutoamini) ni pande mbili za shilingi moja ile ile.

Naona nikiruhusu haki ya kuabudu iingiliwe, nitakuwa nimefungua mlango wa kuruhusu haki yangu ya kutoabudu iingiliwe.

Leo mkisema hawa walokole waondolewe wasihubiri barabarani, ndiyo mwanzo wa kutupangia kwamba watu wote waende kuabudu kanisa la Roman Catholic.

Waacheni wahubiri, wafanyieni regulation tu wasilete kero kwa wapita njia na jamii kwa ujumla.
 
Tabia hii inazidi kukua kila kukicha japo inaudhi. Hawa watu wanalipwa na nani na wanatoka wapi?

Lazima ifike mahali tukubaliane kwamba kila mtu ana imani yake kulingana na alivyolelewa na kwamba swala la imani ni binafsi na kuna maeneo mahususi ya kuabudu.

Makanisa ya kilokole kina Mwamposa na wenzake wanaoibuka kila siku kama uyoga. Hawa huwapata wale waliopoteza matumaini na dini zao za asili.

Hawa huamini kwamba wafuasi wao wanapatikana popote hata kwenye mabus na stand siijawahi kumuona padre wa RC wala askofu achilia mbali shemasi akihubiri barabarani. Nadiriki kusema na kuamini kwamba hawa wanaofanya mahubiri yao barabarani na kwenye mabasi ni walewale wenye asili ya kuhani musa na mzee wa upako.

Waislamu, hawa shughuli zao huishia misikitini na kwenye makusanyiko ya warming wao. Japo na wao wanatumia vipaza sauti ambazo mara nyingi huwa ni kero kwa wasiohusika lakini hutolewa kwenye maeneo maalum tu.

Wapagani na wasio na dini, hawa ni pamoja na wqnaoamini katika miungu ya kale (waliowengi hawajitanabahishi) lakini hukereka sana na wapo wengi.

Unakuta mtu mmepanda kwenye usafiri wa umma au mkiwa stand kila mtu akielekea kwenye mambo yake tena na mawazo tofauti mtu anawasha speaker yake ya mchina na kuanza kuhubiri dini? Aliyewambia mungu yupo kwenye daladala au standi ni nani?

Ni kweli kuna uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa sheria lakini kila uhuru unamipaka yake. Kwa kutambua hilo ndo maana serikali imetenga maeneo maalumu ya kufanyia ibada ambako warming hukutana huko na kumuomba huyo mungu.

Utaratibu wa kuhubiri kwenye mabasi ya umma na vituo vya mabasi ni utaratibu holela na unakiuka haki za watu wengine wasiopenda kusikia habari za Mungu kwa wakati huo.

Wale mnaowapa pesa watu hawa pia mngezielekeza pesa zenu kwa wahitaji moja kwa moja ili zimfikie huyo mungu na mupate baraka muwe na mafanikio zaidi hata kama wengi wenu ni wezi wa mali za umma, waongo, wazinzi, waasherati na wasengenyaji (baada ya kutoka kwenye nyumba za ibada).

Uhuru wako uishie mwisho wa pua yako, vinginevyo ni vurugu!

Nawasilisha.
Umesahau na wale wanaotangaza biashara zao kama vile sabuni,dawa za meno n.k
 
Kuna sehemu ambazo watu hawaendi misikitini wala makanisani lakini watu ni waaminifu kweli kweli. Kwa kifupi nchi zenye raia wanaofuata sana dini zimejaa maovu mengi na nchi zenye watu wasifuata dini kuna watu wema.
Ni kweli, mfano nchi za Scandinavia, Czech Republic, Japan na China.
 
Mzee mbona kila sehemu duniani watu wanahubiri mitaani. Nina jamaa zangu kihuduma wapo USA wanahubiri mitaani tu na trna wanalindwa na polisi mkuu. Kwahiyo kwako wewe utimamu wa akili ni wanaume kwa wanaume kuoana au wanawake kwa wanawake au wanawake kulala na wanyama? Pumbavu mkubwa wewe.
Marekani ni nchi mojawapo yenye watu wengi sana wenye matatizo ya akili na utapeli wa kila aina. Nafikiri kwa sababu ya ukubwa wa nchi yenyewe na mchanganyiko mkubwa wa watu wa kila aina.
 
Wanatekeleza haki yao ya kimsingi, ya kikatiba, ya utu (Universal Declaration of Human Rights), ya kutimiza ibada zao kama walivyoambiwa na dini zao.

Kinachotakiwa ni kuwapanga vizuri wasilete shida kwa watu wengine, mfano, kuwawekea sehemu zao wasiingilie watu njiani, kuwawekea viwango vya kelele ambazo hawatakiwi kuzidisha, na kadhalika.

Lakini, hii ni haki yao ya kikatiba ya uhuru wa kuabudu, ni haki ya utu wao na sehemu ya Universal Declaration of Human Rights, wengine wanatimiza maagizo ya dini zao, ukiwanyima nafasi hiyo unakuwa umewanyima sehemu ya maagizo ya dini zao sawasawa na kumkataza mtu kwenda kanisani, kutoa zaka, kwenda msikitini au kwenda hija.

Mimi siamini katika Mungu wala dini, ila natetea haki za watu wote kuabudu dini zao wanavyotaka bila kuingiliwa na haki hii ya kuabudu ikiingiliwa, nitawatetea wanaoamini waweze kuendelea kuwa na haki hii.

Kwangu mimi, haki hii haina tofauti na haki yangu ya kutoamini Mungu wala dini, haki hizi (za kuamini na kutoamini) ni pande mbili za shilingi moja ile ile.

Naona nikiruhusu haki ya kuabudu iingiliwe, nitakuwa nimefungua mlango wa kuruhusu haki yangu ya kutoabudu iingiliwe.

Leo mkisema hawa walokole waondolewe wasihubiri barabarani, ndiyo mwanzo wa kutupangia kwamba watu wote waende kuabudu kanisa la Roman Catholic.

Waacheni wahubiri, wafanyieni regulation tu wasilete kero kwa wapita njia na jamii kwa ujumla.
Barabarani hata ukiwa unazungumza mwenyewe na kupiga kelele hakuna atakayejali kwa sababu watu wanapita, tatizo lipo sehemu kama kwenye mabasi, stendi, hospitalini, shuleni, benki n.k
 
Kuna sehemu ambazo watu hawaendi misikitini wala makanisani lakini watu ni waaminifu kweli kweli. Kwa kifupi nchi zenye raia wanaofuata sana dini zimejaa maovu mengi na nchi zenye watu wasifuata dini kuna watu wema.
Kabisa, unakuta mtu ni mchafu ila anaenda kwenye nyumba ya ibada sana ili kuhadaa umma kuwa ni mcha Mungu.
 
Sasa wimbo kama wameloa sijui kamatia chini, mara weka nikukaze au linanipwelepweta mara una roba hizo zinafundisha nini? Inaonekana mzee una Mapepo dhahiri kabisa. Sema upo wapi tukuwekee mkono yatole hayo.
..mkuu umesahau na wimbo wa kwangwaru wa simba pale anaposrma weka mate niteleze kama nyoka pangoni.....
 
Barabarani hata ukiwa unazungumza mwenyewe na kupiga kelele hakuna atakayejali kwa sababu watu wanapita, tatizo lipo sehemu kama kwenye mabasi, stendi, hospitalini, shuleni, benki n.k
Kabisa, unakuta uko kwenye chombo Cha usafiri mtu analeta mahubiri ya dini yake, inakuwa kama Kila mtu anaamini hicho kitabu chake. Sio sawa.
 
Nyegezi Mwanza unapata Sara na neno kisha unatoa sadaka halali!
Twahitaji madhehebu mengine na dini nyingine zijumuike kwenye kazi hii ya kupinga kamali!
 
Barabarani hata ukiwa unazungumza mwenyewe na kupiga kelele hakuna atakayejali kwa sababu watu wanapita, tatizo lipo sehemu kama kwenye mabasi, stendi, hospitalini, shuleni, benki n.k
Kitu cha muhimu ni ku moderate hayo mahubiri yafanyike pale inapofaa, inapowezekana, na bila kuingilia uhuru na haki za wengine.

Kwa mfano, mlokole akitaka kutumia haki yake ya kuabudu kwenda kuhubiri ndani ya msikiti, hapo atakuwa anaingilia uhuru wa wengine.

Mlokole akitaka kwenda kuhubiri hospitalini ICU nje ya utaratibu na saa za kuona wagonjwa, kwa njia ambayo itahatarisha afya za wagonjwa, hilo ni tatizo na anaingilia haki ya mtu mwingine kuishi kwa usalama.

Kwa hiyo kitu muhimu ni kuwa regulate.

Kwa mfano, mimi sioni umuhimu wa kuhubiri kwenye basi, sehemu ambayo mtu kama hapendi mahubiri anakuwa stuck nawe for some time, kwa hivyo huko hata wakipiga ban ni sawa tu. Kwa sababu watu walewale unaweza kuwahubiria kituo cha basi, wakipenda mahubiri wakusikilize, wasipopenda wakupite tu.

Kwenye basi na mimi ninatakiwa niwe na haki ya kutosikia mahubiri au kelele zisizo za lazima.

Zaidi, watu wapate elimu na uchumi upande, watu wafanye kazi. Hawa watu wanaotumia muda mwingi kuhubiri hakuna wanacho produce hapo.

Halafu tunashangaa nchi haziendelei.
 
Tabia hii inazidi kukua kila kukicha japo inaudhi. Hawa watu wanalipwa na nani na wanatoka wapi?

Lazima ifike mahali tukubaliane kwamba kila mtu ana imani yake kulingana na alivyolelewa na kwamba swala la imani ni binafsi na kuna maeneo mahususi ya kuabudu.

Makanisa ya kilokole kina Mwamposa na wenzake wanaoibuka kila siku kama uyoga. Hawa huwapata wale waliopoteza matumaini na dini zao za asili.

Hawa huamini kwamba wafuasi wao wanapatikana popote hata kwenye mabus na stand siijawahi kumuona padre wa RC wala askofu achilia mbali shemasi akihubiri barabarani. Nadiriki kusema na kuamini kwamba hawa wanaofanya mahubiri yao barabarani na kwenye mabasi ni walewale wenye asili ya kuhani musa na mzee wa upako.

Waislamu, hawa shughuli zao huishia misikitini na kwenye makusanyiko ya warming wao. Japo na wao wanatumia vipaza sauti ambazo mara nyingi huwa ni kero kwa wasiohusika lakini hutolewa kwenye maeneo maalum tu.

Wapagani na wasio na dini, hawa ni pamoja na wqnaoamini katika miungu ya kale (waliowengi hawajitanabahishi) lakini hukereka sana na wapo wengi.

Unakuta mtu mmepanda kwenye usafiri wa umma au mkiwa stand kila mtu akielekea kwenye mambo yake tena na mawazo tofauti mtu anawasha speaker yake ya mchina na kuanza kuhubiri dini? Aliyewambia mungu yupo kwenye daladala au standi ni nani?

Ni kweli kuna uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa sheria lakini kila uhuru unamipaka yake. Kwa kutambua hilo ndo maana serikali imetenga maeneo maalumu ya kufanyia ibada ambako warming hukutana huko na kumuomba huyo mungu.

Utaratibu wa kuhubiri kwenye mabasi ya umma na vituo vya mabasi ni utaratibu holela na unakiuka haki za watu wengine wasiopenda kusikia habari za Mungu kwa wakati huo.

Wale mnaowapa pesa watu hawa pia mngezielekeza pesa zenu kwa wahitaji moja kwa moja ili zimfikie huyo mungu na mupate baraka muwe na mafanikio zaidi hata kama wengi wenu ni wezi wa mali za umma, waongo, wazinzi, waasherati na wasengenyaji (baada ya kutoka kwenye nyumba za ibada).

Uhuru wako uishie mwisho wa pua yako, vinginevyo ni vurugu!

Nawasilisha.

Injili ni kama sindano. Lazima ikuchome.
Tafuta hela nunua gari lako binafsi ili uepuke kwenda stendi na kupanda daladala[emoji28] otherwise acha watu wapige injili. Hakuna aliyewahi kufa wala kudhurika kwa kuhubiriwa.
 
Tabia hii inazidi kukua kila kukicha japo inaudhi. Hawa watu wanalipwa na nani na wanatoka wapi?

Lazima ifike mahali tukubaliane kwamba kila mtu ana imani yake kulingana na alivyolelewa na kwamba swala la imani ni binafsi na kuna maeneo mahususi ya kuabudu.

Makanisa ya kilokole kina Mwamposa na wenzake wanaoibuka kila siku kama uyoga. Hawa huwapata wale waliopoteza matumaini na dini zao za asili.

Hawa huamini kwamba wafuasi wao wanapatikana popote hata kwenye mabus na stand siijawahi kumuona padre wa RC wala askofu achilia mbali shemasi akihubiri barabarani. Nadiriki kusema na kuamini kwamba hawa wanaofanya mahubiri yao barabarani na kwenye mabasi ni walewale wenye asili ya kuhani musa na mzee wa upako.

Waislamu, hawa shughuli zao huishia misikitini na kwenye makusanyiko ya warming wao. Japo na wao wanatumia vipaza sauti ambazo mara nyingi huwa ni kero kwa wasiohusika lakini hutolewa kwenye maeneo maalum tu.

Wapagani na wasio na dini, hawa ni pamoja na wqnaoamini katika miungu ya kale (waliowengi hawajitanabahishi) lakini hukereka sana na wapo wengi.

Unakuta mtu mmepanda kwenye usafiri wa umma au mkiwa stand kila mtu akielekea kwenye mambo yake tena na mawazo tofauti mtu anawasha speaker yake ya mchina na kuanza kuhubiri dini? Aliyewambia mungu yupo kwenye daladala au standi ni nani?

Ni kweli kuna uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa sheria lakini kila uhuru unamipaka yake. Kwa kutambua hilo ndo maana serikali imetenga maeneo maalumu ya kufanyia ibada ambako warming hukutana huko na kumuomba huyo mungu.

Utaratibu wa kuhubiri kwenye mabasi ya umma na vituo vya mabasi ni utaratibu holela na unakiuka haki za watu wengine wasiopenda kusikia habari za Mungu kwa wakati huo.

Wale mnaowapa pesa watu hawa pia mngezielekeza pesa zenu kwa wahitaji moja kwa moja ili zimfikie huyo mungu na mupate baraka muwe na mafanikio zaidi hata kama wengi wenu ni wezi wa mali za umma, waongo, wazinzi, waasherati na wasengenyaji (baada ya kutoka kwenye nyumba za ibada).

Uhuru wako uishie mwisho wa pua yako, vinginevyo ni vurugu!

Nawasilisha.
Ni upumbavu
 
Back
Top Bottom