Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

Nawe machangu wanakamatwa wapi? Wacha zako wewe. Wacha watu wahubirie wenye dhambi pia jitahidini nyie vijana kuchukuliana na watu. Acheni ujuaji.
Kipimo cha dhambi unacho wewe?

Kazi ya makanisa na misikiti ni nini sasa?

Si waende wakahubirie huko.

Sikia beba spika lako nenda kwenye nyumba yako ya ibada wahubirie wanakondoo wako na dhambi zao mpaka waombe poo.
 
Kipimo cha dhambi unacho wewe?

Kazi ya makanisa na misikiti ni nini sasa?

Si waende wakahubirie huko.

Sikia beba spika lako nenda kwenye nyumba yako ya ibada wahubirie wanakondoo wako na dhambi zao mpaka waombe poo.
Mzee huwezi kutuzuia kuhubiri. Unajifurahisha tu humu JF wewe "keyword warrior". Watu kuhubiri wameanza toka Enzi za akina Musa. Hao walikuwa wanahubiri hadi mitume.na manabii wengine. Hakuna mtu chini ya Jua kwa namna yoyote ile atakaye zuia Injili. Tutawahubiria hadi muache ukahaba na ulevi dogo.😀😃😄😁😆😅
 
Upuuzi..... Neno litahubiriwa popote,kuamini ni maamuzi yako. Katika kundi la watu 100 akiamkni hata mmoja tu ni ushindi mbinguni. Ukiona unakereka kusikia neno la Mungu basi ujue shetani kakukamata.
Nenda kahubir Afghanistan
 
Tatzo la akili Tanzania na Africa kwa ujumla ni kubwa sana chanzo ni umaskini wa kifikra na kimaisha.
Mzee mbona kila sehemu duniani watu wanahubiri mitaani. Nina jamaa zangu kihuduma wapo USA wanahubiri mitaani tu na trna wanalindwa na polisi mkuu. Kwahiyo kwako wewe utimamu wa akili ni wanaume kwa wanaume kuoana au wanawake kwa wanawake au wanawake kulala na wanyama? Pumbavu mkubwa wewe.
 
Nenda kahubir Afghanistan
Huko si ndio kila siku watu wanaokoka? Sio mpaka yeye au mimi niende. Wapo wanaofanya kazi ya Bwana hata huko tena kwa uaminifu mkubwa. Ni kazi sana kuizuia injili ya Bwana Yesu kuhubiriwa.
 
Solution ununue chuma yako tu , ili upate utulivu wa fikra.
 
Huko si ndio kila siku watu wanaokoka? Sio mpaka yeye au mimi niende. Wapo wanaofanya kazi ya Bwana hata huko tena kwa uaminifu mkubwa. Ni kazi sana kuizuia injili ya Bwana Yesu kuhubiriwa.
Unapajua au unaongea tu kwa kusikia?
 
Mzee mbona kila sehemu duniani watu wanahubiri mitaani. Nina jamaa zangu kihuduma wapo USA wanahubiri mitaani tu na trna wanalindwa na polisi mkuu. Kwahiyo kwako wewe utimamu wa akili ni wanaume kwa wanaume kuoana au wanawake kwa wanawake au wanawake kulala na wanyama? Pumbavu mkubwa wewe.
Afya ya akili kwako pia ni tatzo🚮
 
Kuhubiri kwenye maeneo yaliyowazi mfano kwenye stand, barabarani, siyo mbaya! Labda kwenye mabasi tu ndiyo tu naona si sahihi kuhubiri.
Kinachokukera wewe ni kutotaka kusikiliza mahubiri ya imani nyingine isiyo imani yako!
Mahubiri mengi yanagusa maisha ya dhambi ya watu mf.mlevi, mzinzi, nk hawezi kufurahia mahubiri yanayogusa maisha yake ya dhambi.
 
Unapajua au unaongea tu kwa kusikia?
Kwani kuna nini? Yaani Injili izuiliwe na waarabu na waislamu siasa Kali wakati hata muanzilishi wa uislamu mwenyewe kaikuta na kaiacha. Injili itaendelea hadi ukamilifu wa dahari. Toka enzi za akina Paulo hadi sasa kila siku Mungu anaokoa na ataendelea kuokoa hadi siku ile ya kukusanyika njia panda.

Bro, usidanganyike na huu ulimwengu na kuona umefika. Mungu ni kweli kabisa na wala hatuna mashaka naye. Kuzimu ipo na ni halisi kabisa. Siku ya hukumu ipo na inakusubiri ila bado nafasi unayo. Kuwa na uhai hadi sasa sio kwamba wewe ni mzuri sana au una elimu sana. Ila Mungu anakupa nafasi ya kurekebisha. Yeye ni Pendo na anakupenda sana. Badilika sasa na umpokee Yesu Kristo awe bwana na mwokozi wa Maisha yako. Tubu na Okoka sasa kwa maana wakati uliokubaliwa ni sasa na saa ya wakovu ni leo.

Bro, kesho yako ni fumbo ila umilele wako umekaribia na umilele wako unaandaliwa sasa. Karibu kwa Yesu ewe mwana wa Mungu na rafiki yetu min -me .
 
Wacha tuhubiri watu wamjue Mungu. Usidanganyike bro, amani ya nchi hii haitokani na kuwa na jeshi zuri juridical mataifa mengine yenye vita ila ni kutokana na hofu ya Mungu ambayo watu wanayo. Na hofu hii huja pale tunapowahubiria na kuwaombea Watanzania. Tuache tuhubiri kama ambavyo kuna Bongo flavor na Sinema kwenye mabasi.
Tuhubiri stendi ??
 
Kwani kuna nini? Yaani Injili izuiliwe na waarabu na waislamu siasa Kali wakati hata muanzilishi wa uislamu mwenyewe kaikuta na kaiacha. Injili itaendelea hadi ukamilifu wa dahari. Toka enzi za akina Paulo hadi sasa kila siku Mungu anaokoa na ataendelea kuokoa hadi siku ile ya kukusanyika njia panda.

Bro, usidanganyike na huu ulimwengu na kuona umefika. Mungu ni kweli kabisa na wala hatuna mashaka naye. Kuzimu ipo na ni halisi kabisa. Siku ya hukumu ipo na inakusubiri ila bado nafasi unayo. Kuwa na uhai hadi sasa sio kwamba wewe ni mzuri sana au una elimu sana. Ila Mungu anakupa nafasi ya kurekebisha. Yeye ni Pendo na anakupenda sana. Badilika sasa na umpokee Yesu Kristo awe bwana na mwokozi wa Maisha yako. Tubu na Okoka sasa kwa maana wakati uliokubaliwa ni sasa na saa ya wakovu ni leo.

Bro, kesho yako ni fumbo ila umilele wako umekaribia na umilele wako unaandaliwa sasa. Karibu kwa Yesu ewe mwana wa Mungu na rafiki yetu min -me .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aya bhana ila uache matusi kwa watu usio wajua.
 
Tuhubiri stendi ??
Sio stend tu kila mahali penye kusanyiko Mpendwa. Kuhubiri Stend, masokoni, viwanjani na kwenye makusanyiko kulikuwako toka enzi na Enzi. Akina Paulo nao walihubiri maeneo kama hayo yenye makusanyiko. Eti mnajifanya mmeelimika hamtaki kuhubiriwa stend wakati huo kuna mizki, bar, guest houses na madanguro hapo hapo stendi.

Kuna watu hunu duniani wana dhiki na wanahitaji kusikia na kumjua Mungu wa kweli ili awatue mizigo yao wanashundwa ila tuendapo stendi na kwenye makusanyiko ndipo hukutana na Neno la Mungu na kuponywa.
 
Back
Top Bottom