Kuhusu biashara ya chakula kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara

Kuhusu biashara ya chakula kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara

Fateema

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2024
Posts
234
Reaction score
495
Habari zenu wangu, Mimi ni mpishi mzuri sana. Ninaishi na kufanya shughuli zangu za upishi hapa Dar.

Ninataka kwenda kufungua banda la kupika kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara.

Wenyeji wa Mtwara mlio na uzoefu na minada ya korosho naombeni ABC za minada hiyo tafadhali. Ninacho taka kujua ni kama kuna kuwaga na watu wengi kwenye hiyo minada.

Kifupi nataka kupata picha halisi ya inavyo kuwa kwenye hiyo minada.

Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Mkuu minadani sio kuwa wanaenda watu na korosho zao wanauza hapan, ni matajiri na baadh ya wajumbe wa vyama vya msingi wanakutana wawakilishi wa matajir wanatoa bei hao wajumbe kazi yao kuitikia kama tumeikubali au hatuitaki sio kama inavyokuwa minada ya sehem zingine kuwa watu wanajazana kila mtu anauza chake hapan, inakuwa katika ukumbi maalumu kama unavyoon kwenye video hapo chini.
 

Attachments

  • b4f3c299c2aa4593930b9cdc26c2ba3e.mp4
    16.7 MB
Habari zenu wangu, Mimi ni mpishi mzuri sana. Ninaishi na kufanya shughuli zangu za upishi hapa Dar.

Ninataka kwenda kufungua banda la kupika kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara.

Wenyeji wa Mtwara mlio na uzoefu na minada ya korosho naombeni ABC za minada hiyo tafadhali. Ninacho taka kujua ni kama kuna kuwaga na watu wengi kwenye hiyo minada.

Kifupi nataka kupata picha halisi ya inavyo kuwa kwenye hiyo minada.

Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ila kama unakusudia kufanya biashara ya chakula kama utapata eneo kweny miji iliyochangamka kama Tandahimba newala masasi upiga pesa coz kipindi hichi kila mtu anashika pesa kwahy kuna kujipongeza na tabu za shamban, ila itakubid mtaji uliochangamka coz kipind hichi kila kitu bei inakuwa juu kuanzia frem na mengineyo
 
Mkuu minadani sio kuwa wanaenda watu na korosho zao wanauza hapan, ni matajiri na baadh ya wajumbe wa vyama vya msingi wanakutana wawakilishi wa matajir wanatoa bei hao wajumbe kazi yao kuitikia kama tumeikubali au hatuitaki sio kama inavyokuwa minada ya sehem zingine kuwa watu wanajazana kila mtu anauza chake hapan, inakuwa katika ukumbi maalumu kama unavyoon kwenye video hapo chini.
Asante sana mkuu kwa kunipa Mwanga. Vipi kuhusu minada ya kawaida? Kwa maana ya kwamba watu wanakuwa tayari wametoka kuuza korosho zao wanaenda kuhemea minadani?
 
Asante sana mkuu kwa kunipa Mwanga. Vipi kuhusu minada ya kawaida? Kwa maana ya kwamba watu wanakuwa tayari wametoka kuuza korosho zao wanaenda kuhemea minadani?
Hiyo ipo mingi na inafanyika kila siku(yaan kila siku wanapita miji tofauti) hawana mapumziko yaan wewe ndio uamue kupumzika na kipind hchi wanauza sana kwasabab watu wana uhakika wa fedha kwahy katika hiyo utachagua wewe unaenda mnada wa upande gani
 
Hiyo ipo mingi na inafanyika kila siku(yaan kila siku wanapita miji tofauti) hawana mapumziko yaan wewe ndio uamue kupumzika na kipind hchi wanauza sana kwasabab watu wana uhakika wa fedha kwahy katika hiyo utachagua wewe unaenda mnada wa upande gani
Asante sana mkuu samahani kwa usumbufu, unaweza kunitajia ratiba za majina ya minada kwa hapo Mtwara mjini. Kwa mfano Jumatatu mnada unakuwa sehemu gani. Ninakuja huko jumatatu ijayo Insha'allah
 
Asante sana mkuu samahani kwa usumbufu, unaweza kunitajia ratiba za majina ya minada kwa hapo Mtwara mjini. Kwa mfano Jumatatu mnada unakuwa sehemu gani. Ninakuja huko jumatatu ijayo Insha'allah
Kwasasa sikumbuki coz nimetoka muda kidogo ila huenda wakaja wadau kwenye huu uzi wakakupa muongozo zaid wakina LIKUD
 
Kwasasa sikumbuki coz nimetoka muda kidogo ila huenda wakaja wadau kwenye huu uzi wakakupa muongozo zaid wakina LIKUD
Siwezi kuandika maelezo mengi ila waeleze kuwa ukisikia msimu wa korosho kwa mkoa wa mtwara sio mtwara mjini ila ni 1 tandahimba 2 newala 3 masasi
 
Siwezi kuandika maelezo mengi ila waeleze kuwa ukisikia msimu wa korosho kwa mkoa wa mtwara sio mtwara mjini ila ni 1 tandahimba 2 newala 3 masasi
Asante sana mkuu ubarikiwe sana so boom linakuwa kwenye hizo wilaya 3 tu au hadi Mtwara mjini pia kunakuwa ma mzunguko mkubwa wa pesa?

Kingine, je tayari msimu wa korosho umeanza? Na unaisha lini?
 
Asante sana mkuu ubarikiwe sana so boom linakuwa kwenye hizo wilaya 3 tu au hadi Mtwara mjini pia kunakuwa ma mzunguko mkubwa wa pesa?

Kingine, je tayari msimu wa korosho umeanza? Na unaisha lini?
Nimekutajia hizo wilaya 3 kwasababu ndiko zinakolimwa hizo korosho na ndiko kunakuwa na mzunguko mkubwa .....korosho zimeànza tayari na ijumaa ijayo ni mnada wa 4
 
Asante sana mkuu ubarikiwe sana so boom linakuwa kwenye hizo wilaya 3 tu au hadi Mtwara mjini pia kunakuwa ma mzunguko mkubwa wa pesa?

Kingine, je tayari msimu wa korosho umeanza? Na unaisha lini?
Toka mwezi wa 9 watu walishaanza kula pesa za kangomba hapo mpka mwezi wa 12 msimu unaishia
 
Asante sana mkuu ubarikiwe sana so boom linakuwa kwenye hizo wilaya 3 tu au hadi Mtwara mjini pia kunakuwa ma mzunguko mkubwa wa pesa?

Kingine, je tayari msimu wa korosho umeanza? Na unaisha lini?
Kama sio kipepeo, njoo inbox, narudia tena kama sio kipepeo
 
Asante sana mkuu ubarikiwe sana so boom linakuwa kwenye hizo wilaya 3 tu au hadi Mtwara mjini pia kunakuwa ma mzunguko mkubwa wa pesa?

Kingine, je tayari msimu wa korosho umeanza? Na unaisha lini?
Usitegemee mzunguko wa pesa sahani ya wali nyama ni 1,500, wali kuku 3000. Na wapishi ni wengine kila moja na wateja wake
 
Back
Top Bottom