Kuhusu biashara ya chakula kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara

Kuhusu biashara ya chakula kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara

Hahaha ushaingia ubaridi,kama unataka kwenda kufanya hiyo biashara usitegemee Msimu wa korosho pekee itakula kwako,na sehemu sahihi yenye mzunguko wa pesa siyo tandahimba Wala Newala utajilaumu sana,Ni Bora ukafanye biashara zako ndani ya mji wa Masasi utaelewa namaanisha nini..Kama hujafanya research vizuri usikurupuke utakata Hadi nauli.
 
Hahaha ushaingia ubaridi,kama unataka kwenda kufanya hiyo biashara usitegemee Msimu wa korosho pekee itakula kwako,na sehemu sahihi yenye mzunguko wa pesa siyo tandahimba Wala Newala utajilaumu sana,Ni Bora ukafanye biashara zako ndani ya mji wa Masasi utaelewa namaanisha nini..Kama hujafanya research vizuri usikurupuke utakata Hadi nauli.
Asante sana mkuu. Masasi mbona watu wanapasifia sana? Masasi ni bora kuliko Mtwara mjini?
 
Mtwara mjini maisha ni magumu kwa walio wengi mfano ndoo ya maji ya kunywa kutoka Ndanda inauzwa TSh. elfu 2000, maji ya mvua yenye ujazo wa mililita 1.5 huuzwa TSh. mia tano na ujazo wa mililita 500 yanauzwa TSh. 200, maji ya mvua yana thamani kuliko ya bomba kwa sababu maji ya bomba yana chumvi, maji ya dukani yanapatikana kwa ujazo wa mililita 1.5 bei=1000 na mililita 500= bei 500 ya lita moja huwezi kupata na mimi najitahidi kuyaulizia na mpaka sasa nina wiki tatu sijayaona.
 
Mtwara mjini maisha ni magumu kwa walio wengi mfano ndoo ya maji ya kunywa kutoka Ndanda inauzwa TSh. elfu 2000, maji ya mvua yenye ujazo wa mililita 1.5 huuzwa TSh. mia tano na ujazo wa mililita 500 yanauzwa TSh. 200, maji ya mvua yana thamani kuliko ya bomba kwa sababu maji ya bomba yana chumvi, maji ya dukani yanapatikana kwa ujazo wa mililita 1.5 bei=1000 na mililita 500= bei 500 ya lita moja huwezi kupata na mimi najitahidi kuyaulizia na mpaka sasa nina wiki tatu sijayaona.
Duh hatari
 
Asante sana mkuu. Masasi mbona watu wanapasifia sana? Masasi ni bora kuliko Mtwara mjini?
Mi masasi kwenyewe sioni hata cha maana kwakweli
Labda makazi tu yapo mengi ila kusema maendeleo mi siyaoni au sijui kwakua napita tu
 
Mi masasi kwenyewe sioni hata cha maana kwakweli
Labda makazi tu yapo mengi ila kusema maendeleo mi siyaoni au sijui kwakua napita tu
Mtwara mjini pia hakuna shida ya makazi, sioni, makazi ni mengi sana, ila mzunguko wa fedha.
 
Back
Top Bottom