Uko sawa mkuu. Niliwahi kwenda Mbeya ule mkoa wanalima mchele ila hakuna sehemu utaenda kula wali au pilau ukute imepikwa vizuri. Kiufupi hao wakulima na wanaoendq kula na wapishi hawajali mapishi namna yoyote kitakavyopikwa wanakula. Usije ukapoteza muda na mtaji Mtwara bado uchumi uko chini sana kuna jirani yangu kajenga hoteli hajawahi pata faida na hoteli kawekeza fedha nyingi. Ipo Mtwara mjini anapika the best food ila wanunuzi hamna.Usitegemee mzunguko wa pesa sahani ya wali nyama ni 1,500, wali kuku 3000. Na wapishi ni wengine kila moja na wateja wake
🙏🏻🙏🏻🙏🏻 I know mkuu Mimi ninajiamini. Nina mkono wa mapishi halafu nimesomea mapishi..Usitegemee mzunguko wa pesa sahani ya wali nyama ni 1,500, wali kuku 3000. Na wapishi ni wengine kila moja na wateja wake
Huyo ndugu yako hotel yake inaitwaje?na je hata huko dar unakoamini kuna mzinguko mbona kuna hotel tunaziona zinageuzwa hostel?Uko sawa mkuu. Niliwahi kwenda Mbeya ule mkoa wanalima mchele ila hakuna sehemu utaenda kula wali au pilau ukute imepikwa vizuri. Kiufupi hao wakulima na wanaoendq kula na wapishi hawajali mapishi namna yoyote kitakavyopikwa wanakula. Usije ukapoteza muda na mtaji Mtwara bado uchumi uko chini sana kuna jirani yangu kajenga hoteli hajawahi pata faida na hoteli kawekeza fedha nyingi. Ipo Mtwara mjini anapika the best food ila wanunuzi hamna.
Asante sana mkuu.Kaanzishe biashara ya chakula pale masasi mjini itakulipa sana kipindi Chote
Ijumaa keshokutwa I will be on my way to MtwaraKaanzishe biashara ya chakula pale masasi mjini itakulipa sana kipindi Chote
ninayajua mazingira mazuri yahuko mama, naomba unisikilize utapata kitu hapa.Habari zenu wangu, Mimi ni mpishi mzuri sana. Ninaishi na kufanya shughuli zangu za upishi hapa Dar.
Ninataka kwenda kufungua banda la kupika kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara.
Wenyeji wa Mtwara mlio na uzoefu na minada ya korosho naombeni ABC za minada hiyo tafadhali. Ninacho taka kujua ni kama kuna kuwaga na watu wengi kwenye hiyo minada.
Kifupi nataka kupata picha halisi ya inavyo kuwa kwenye hiyo minada.
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nashukuru sana kaka ninaenda huko Jumatatu Insha'allah nitakuwa Tandahimbaninayajua mazingira mazuri yahuko mama, naomba unisikilize utapata kitu hapa.
kwanza hizi biashara za chakula huwa zinafanyika saana kwenye maeneo ambayo yana maghala makuu(maghala yanayotumika kuhifadhia korosho kabla na baada ya mnada).
kwenye haya maghala ndiko kunakuwa na mwiniliano wa watu wengi saaana wakiwemo wachukuzi, wafanyakazi waghala, wafanyakaz wa vyama vikuu, viongoz wa vyama vya msingi huaga wanakutana hapo na watu wengine wengii sana.
na biashara ya chakula inafanyika kwa uwingi saana hasa kama unajua kupika vizuri maana kipindi hik watu wanakuwa na pesa nying kwahiyo wana asili yakubagua chakula na kutaka chakula kizuri hata kiwe na bei kubwa.
kama kweli una nia nenda sehemu moja inaitwa tandahimba, ulizia lilipo ghala la TANECU kwa sku yakwanza nenda tu ukaangalie mazingira ya hapo alafu fanya maamuzi.
lakini pia kama una nia fanya haraka kwa sababu naona kama umechelewa kule shughuli za msimu zinaanza mwezi wa 10 mwanzoni kabisa.
Sehemu sahihi zaidi ya kufanya biashara ni mji wa Masasi.
Kwa sababu zifuatazo:-
1. Mji upo katikati ya Newala na Tandahimba upande wa kusini, Nachingwea na Liwale upande wa kaskazini, Lindi vijijini, Ruangwa na Lindi Manispaa au Mtwara Manispaa upande wa mashariki; wilaya ya Nanyumbu (Mangaka), Tunduru na Songea (mkoa wa Ruvuma) kwa upande wa magharibi.
2. Mwingiliano wa makabila mbalimbali.
Ukiwa Masasi utakuta watu toka sehemu au mikoa mbalimbali wanafanya biashara mji wa Masasi.
Hivyo basi ukiachana na kilimo shughuli nyingine za kiuchumi ni biashara kubwa na ndogo ndogo katika mitaa ya Mkuti, Kaumu, Tandale, Wabiso, nk. Kwa hiyo hukosi pesa kama utajikita kutoa huduma bora kwa jamii.
NB:
Changamoto za biashara hazikosi unapokuwa ugenini ila sio za kuziogopa.
Thank you for your concern. But anyways nitaenda tu hivyo hivyo.Story za Mtwara nilipokuwa Dar na nilipoenda ni vitu viwili tofauti, gharama za maisha Mtwara ni mara mbili ya Dar.
Huko Tandahimba pakishamba sana, vitu bei juu, utapata tabu kufanya biashara alafu wanaungisha wenyewe kwa wenyewe.
Usisahau ndumba!!Thank you for your concern. But anyways nitaenda tu hivyo hivyo.
Asante sana mkuu kumbe ndio maana nafsi ilikuwa inasita Mimi kwenda
Kwa hiyo hauendi?Asante sana mkuu kumbe ndio maana nafsi ilikuwa inasita Mimi kwenda
Kuuza inawezekana makuri na madereva wa malori ambao wapo kwenye foleni kwa siku tatu kwenye Godown za Mh. Majaliwa.Asante sana mkuu kumbe ndio maana nafsi ilikuwa inasita Mimi kwenda
SiendiKwa hiyo hauendi?