Kuhusu Elie Mpanzu kucheza mechi za Ligi ya Shirikisho

Kuhusu Elie Mpanzu kucheza mechi za Ligi ya Shirikisho

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kumekuwa na maelezo mengi kuhusu nafasi ya Mpanzu kuanza kukipiga mechi zinazofuata. Wengine wanasema anachosubiri ni mechi za Ligi ya NBC tu lakini mechi za Shirikisho kila tayari.

Wengine wanasema hata mechi za shirikisho itabidi asubiri mpaka asajiliwe na TFF kwanza wakati wa dirisha dogo.

Wanazijua vizuri kanuni za mashindano watuambie ukweli ni upi kuhusu huyu winga anayeteleza kama kambale.

Nakumbuka katika ushiriki wa makundi waliwahi kusajiliwa kina Lukosa Jr kwa ajili ya kushiriki kimataifa tu. Hawa walisajiliwaje? Au walisajiliwa na TFF pia lakini kwa ajili ya kimataifa tu?

Naomba kujuzwa
 
Aliyewahi kua mwenyekiti wa Simba Mwina Seif Kaduguda aliwahi kusema kombe la shirikisho ni la kina mama Sasa Mambo ya kina mama tafadhali pelekeni jukwaa husika.

Mambo ya Soka kuhusisha na mashindano ya kina Mama kukuna Nazi msilete uku.
Ayo ni sawa na Mashindano ya kukuna Nazi na naamini Simba atafanya vizuri kwa kufikia hatua ya robo.
 
Aliyewahi kua mwenyekiti wa Simba Mwina Seif Kaduguda aliwahi kusema kombe la shirikisho ni la kina mama Sasa Mambo ya kina mama tafadhali pelekeni jukwaa husika.

Mambo ya Soka kuhusisha na mashindano ya kina Mama kukuna Nazi msilete uku.
Ayo ni sawa na Mashindano ya kukuna Nazi na naamini Simba atafanya vizuri kwa kufikia hatua ya robo.
Hilo kombe la kina baba unaloshiriki umechukua mara ngapi?
 
Kumekuwa na maelezo mengi kuhusu nafasi ya Mpanzu kuanza kukipiga mechi zinazofuata. Wengine wanasema anachosubiri ni mechi za Ligi ya NBC tu lakini mechi za Shirikisho kila tayari.

Wengine wanasema hata mechi za shirikisho itabidi asubiri mpaka asajiliwe na TFF kwanza wakati wa dirisha dogo.

Wanazijua vizuri kanuni za mashindano watuambie ukweli ni upi kuhusu huyu winga anayeteleza kama kambale.

Nakumbuka katika ushiriki wa makundi waliwahi kusajiliwa kina Lukosa Jr kwa ajili ya kushiriki kimataifa tu. Hawa walisajiliwaje? Au walisajiliwa na TFF pia lakini kwa ajili ya kimataifa tu?

Naomba kujuzwa
Kinachomzuia Mpanzu kucheza ni dirisha la TTF kuwa limefungwa tu, litakapofunguliwa usiku wa saa 6.01 kiamkia tarehe 15/12 atakuwa ameruhusiwa kucheza mechi zote za NBC na Shirikisho na iwapo tu Simba watakuwa wamepunguza jina moja la mchezaji wa kigeni.Kuhusu akina Lokosa Jr na Peter Muduwa,msimu ule CAF walikuwa wametoa kibali maalum cha kusajili wachezaji hadi 40 kwa sababu ya janga la Corona na si kwa misimu yote. Kumbuka CAF wanaruhusu timu kuongeza wachezaji hatua za makundi lakini ni lazima wawe na vibali vya kucheza ligi za nchi watokazo, sasa hata kama Mpanzu ataruhusiwa kucheza makundi na CAF lakini itabidi asubiri dirisha la Tanzania lifunguliwe hiyo tarehe 15/12 ili akidhi vigezo. Hivyo Mpanzu atacheza mechi ya tarehe 15/12 dhidi ya CS Sfaxien kwa sababu atakuwa tayari jina lake limeingizwa kwenye usajili tangu saa 6:01 usiku hivyo kukidhi vigezo vya CAF na TFF
 
Ikiwa waliwahi kumsajili kabla ya dirisha la CAF kufungwa atachezw.

Lakini haraka ya nini, subiri muda wa mechi ya kwanza ufike jibu litapatikana
 
Kumekuwa na maelezo mengi kuhusu nafasi ya Mpanzu kuanza kukipiga mechi zinazofuata. Wengine wanasema anachosubiri ni mechi za Ligi ya NBC tu lakini mechi za Shirikisho kila tayari.

Wengine wanasema hata mechi za shirikisho itabidi asubiri mpaka asajiliwe na TFF kwanza wakati wa dirisha dogo.

Wanazijua vizuri kanuni za mashindano watuambie ukweli ni upi kuhusu huyu winga anayeteleza kama kambale.

Nakumbuka katika ushiriki wa makundi waliwahi kusajiliwa kina Lukosa Jr kwa ajili ya kushiriki kimataifa tu. Hawa walisajiliwaje? Au walisajiliwa na TFF pia lakini kwa ajili ya kimataifa tu?

Naomba kujuzwa
uran Scars Kiweriweri Tsh
 
Back
Top Bottom