ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Usiongelee mashindano ya wanaumeYaana hata CAFCL huvuki makundi,tunza hii coment.
Kama timu lako linashiriki mashindano ya akina mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiongelee mashindano ya wanaumeYaana hata CAFCL huvuki makundi,tunza hii coment.
Wamesahau hayo mashindano ndo yamewafanya atleast kujulikana kama wapo...maana walikua wanakazi ya kukaribisha tuu wageni Mnyama akicheza zake Club Bingwa mfululu...Yaana hata CAFCL huvuki makundi,tunza hii coment.
Habari aunt zile shanga mlizoveshwa shingoni mmezigawa?Usiongelee mashindano ya wanaume
Kama timu lako linashiriki mashindano ya akina mama
Ile medali yenu mlioipeleka ikulu ilikuwa ya kombe gani?Kujadili kombe la wasiojiweza ni kupoteza muda
Ile medali mliopeleka ikulu ilikuwa ya mashindano gani?Hakika mkuu
Wanaume tupo kiumeniHabari aunt zile shanga mlizoveshwa shingoni mmezigawa?
Kwa hiyo mwaka juzi ulikua mmama sio? Saivi uke umefutika umeota uume?😂😂Usiongelee mashindano ya wanaume
Kama timu lako linashiriki mashindano ya akina mama
Sisi tulitoka CAFCL tukaenda kuamsha huko CAFCCIle medali mliopeleka ikulu ilikuwa ya mashindano gani?
Ukishashiriki kunywa damu basi jua na,ww ni wale wale...ushamnywa Shirikisho huna pa kujificha..labda,mtupe zile medali...ahahahaaaWanaume tupo kiumeni
Wa kikeni ongeleeni hizo kitchen party
Wamesahau hayo mashindano ndo yamewafanya atleast kujulikana kama wapo...maana walikua wanakazi ya kukaribisha tuu wageni Mnyama akicheza zake Club Bingwa mfululu...
Akina mama acheni usumbufuKwa hiyo mwaka juzi ulikua mmama sio? Saivi uke umefutika umeota uume?😂😂
Kweli Yanga wenye akili ni wawili tu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Kwa hiyo mwaka juzi ulikua mmama sio? Saivi uke umefutika umeota uume?😂😂
Kweli Yanga wenye akili ni wawili tu

WW mama mjane tunakusabahi...hahahaaAkina mama acheni usumbufu
Shirikisho ni aibu Kwa timu kama SimbaUkishashiriki kunywa damu basi jua na,ww ni wale wale...ushamnywa Shirikisho huna pa kujificha..labda,mtupe zile medali...ahahahaaa
Akina mama acheni usumbufu
Me nasema wamamaWW mama mjane tunakusabahi...hahahaa
Sisi ndo Simba popote kambi akikosekana swala hata chura tunakula...Shirikisho ni aibu Kwa timu kama Simba
Jitoeni tu
Bado hujajibu ile medali mliopeleka ikulu ilikuwa ya mashindano gani mpaka mbeze alipo simba sasaSisi tulitoka CAFCL tukaenda kuamsha huko CAFCC
Sasa nyie mmeshika nafasi ya 3
Mpo kikeni na Coast union
Si na ww ulikua mmama jamani? Kwa sasa umekua mjane..Me nasema wamama
Jadili namba ya kuvaa vijora huko shirikisho
5_1 Bado inakupa kiweweSawa Mama Tabora,Msalimie Mumeo😂😂