Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
😀😀😀😀Niaibu kujadili kombe lamaluza hapa kwann usipeleke uzi kwenye jukwaa lamakolo huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Niaibu kujadili kombe lamaluza hapa kwann usipeleke uzi kwenye jukwaa lamakolo huko
Hadithi zote za nini kwanza nani anajali?Maendeleo ni kwenda mbele sio kurudi nyuma.
Mwenzako alikua na Vits akajichanga akapata VX, wewe ulikua na VX ukawa unadharau wenzako, ukakumbana na ukata ukaenda kwenye vits.
Unakumbushwa unasema na wewe ulikua huku huku.
Ndugu mavi ya kale hayanuki.
6-0Ni 6-0 za 1977.
Zile 5-0 dunduka alikua analipa deni la 1968.
Mashindano ya kukuna nazi .mkaingia fainali?Aliyewahi kua mwenyekiti wa Simba Mwina Seif Kaduguda aliwahi kusema kombe la shirikisho ni la kina mama Sasa Mambo ya kina mama tafadhali pelekeni jukwaa husika.
Mambo ya Soka kuhusisha na mashindano ya kina Mama kukuna Nazi msilete uku.
Ayo ni sawa na Mashindano ya kukuna Nazi na naamini Simba atafanya vizuri kwa kufikia hatua ya robo.
Na mtaleta kombeShirikisho ndo mashindano Gani?
Young Africans tupo CAFCL
Jibu hoja,hajauliza takataka unazoandikaAliyewahi kua mwenyekiti wa Simba Mwina Seif Kaduguda aliwahi kusema kombe la shirikisho ni la kina mama Sasa Mambo ya kina mama tafadhali pelekeni jukwaa husika.
Mambo ya Soka kuhusisha na mashindano ya kina Mama kukuna Nazi msilete uku.
Ayo ni sawa na Mashindano ya kukuna Nazi na naamini Simba atafanya vizuri kwa kufikia hatua ya robo.
Namsubiri kwa hamu
So what? Uko peke yako?Shirikisho ndo mashindano Gani?
Young Africans tupo CAFCL
Hilo kombe yanga ndio mahala pake huko mwaka wamepotea njia tu!Hakika mkuu
Utopolo ni jitopolo tuu...Ni 6-0 za 1977.
Zile 5-0 dunduka alikua analipa deni la 1968.
Itakua umeamia sana nyuki kuwauma pua...Mimi nimekunywa wewe