Kuhusu Elie Mpanzu kucheza mechi za Ligi ya Shirikisho

Kuhusu Elie Mpanzu kucheza mechi za Ligi ya Shirikisho

Maendeleo ni kwenda mbele sio kurudi nyuma.
Mwenzako alikua na Vits akajichanga akapata VX, wewe ulikua na VX ukawa unadharau wenzako, ukakumbana na ukata ukaenda kwenye vits.
Unakumbushwa unasema na wewe ulikua huku huku.
Ndugu mavi ya kale hayanuki.
Hadithi zote za nini kwanza nani anajali?
 
Aliyewahi kua mwenyekiti wa Simba Mwina Seif Kaduguda aliwahi kusema kombe la shirikisho ni la kina mama Sasa Mambo ya kina mama tafadhali pelekeni jukwaa husika.

Mambo ya Soka kuhusisha na mashindano ya kina Mama kukuna Nazi msilete uku.
Ayo ni sawa na Mashindano ya kukuna Nazi na naamini Simba atafanya vizuri kwa kufikia hatua ya robo.
Mashindano ya kukuna nazi .mkaingia fainali?
 
Aliyewahi kua mwenyekiti wa Simba Mwina Seif Kaduguda aliwahi kusema kombe la shirikisho ni la kina mama Sasa Mambo ya kina mama tafadhali pelekeni jukwaa husika.

Mambo ya Soka kuhusisha na mashindano ya kina Mama kukuna Nazi msilete uku.
Ayo ni sawa na Mashindano ya kukuna Nazi na naamini Simba atafanya vizuri kwa kufikia hatua ya robo.
Jibu hoja,hajauliza takataka unazoandika
 
TABORA UTD 3 YANGA 1.

AZAM 1 UTO 0.

CHIKOLAAAAAAAAA.

MUNGANGAAAAAAA.

SILAAAAAAAAAAAA.
 
Kiwango cha mijadala JF kimeshuka sana.Watu hawastick tena kwenye topics,wanasutana kama wake wenza.Haikuwa hivi hii JF
 
Back
Top Bottom